Ndugu Watanzania na taifa kwa ujumla, mimi leo nakuja mbele yenu kuwaambia jambo moja zito sana na kiukweli naomba mnielewe. Nawaomba tuliombee taifa letu na viongozi wetu wasasa na wazee pia.
Hakuna asiyejua tunapita kipindi gani kama taifa na hakuna asiyejua kwa wakati huu mezani kwa Rais kuna maamuzi magumu kuchukuliwa kabla ya kuwepo kwa taifa hili mbaya kuliko yote maamuzi hayo ynamuitaji yeye na Mungu wake kuyachukua kwa niaba yetu sote Watanzania. Ni maamuzi magumu ni maamuzi yatakayoumiza wengi lakini yanatakiwa yachukuliwe japo sio lazima.
Tunapita kipindi kigumu sana kiukweli; serikali yetu kwa hakika na hali tuliyonayo ni dhahiri shahiri hawakuwa wanategemea yatatokea haya yametokea na kuharibu kila jambo jema lililokusudiwa na serikali ya awamu ya tano.
Kila mtu anasema la kwake na huenda lipo kundi linamlaumu mkuu wa nchi lingine linamsifia kila mtu, almradi kujikomba au kukosoa. Yote ni maoni japo kundi linamsifia Rais kwa asilimia kubwa lina kundi la wanafiki ndani na hawa mimi nawaona ni wabaya sana maana wamekuwa sehemu ya kumpotosha Rais.
Ndugu zangu, gari ikiwa kwenye safari ndefu na mwendo mkali huwezi isimamisha kwa ghafla na kuizima maana lolote laweza tokea. Hivi ndivyo uchumi wetu ulivyokuwa before Covd-19 hivyo kusimamisha kila kitu kwa mara moja serikali itashindwa na tutakuwa kwenye hali mbaya sana.
Kwa bahati mbaya sana, samahani lakini kama kuna mtu atakwazika. Kwa mimi ninavyoona, kwa maoni yangu, sector binafsi kipindi hiki hatukujenga mahusiano mazuri ambapo katika nyakati kama hizi serikali ingetumia sector binafsi kujinasua ktk hali mbaya inayotaka kutokea kupitia taasisi kama TRA.
Hii sector badala ya kuwa rafiki wa serikali, nadhani wengi wana kila aina ya vilio na sasa Covid19 imeingia basi kila mmoja analia kwa namna yake; serikali ana kilio while sector binafsi ina kilio.
Wengi covid-19 imekuta hawana mitaji mizuri au wamepunguza uzalishaji basi ni tabu tupu. Ikumbukwe sector binafsi na serikali ni ndugu wawili wanaopaswa kupendana; yaani serikali ikiimarisha sector binafsi inaajiri Watanzania ambao serikali isingeweza waajiri. Wakati huo huo, serikali iinapanua wigo wa makusanyo while pp ya watu ikipanda na hivyo kuwa na mzunguko mzuri wa uchumi.
Sasa baada ya hayo yote, ni vyema tukajiandaa kisaikolojia hasa nyakati hizi ambapo ikiwa serikali itatangaza total lockdown, kuna kila dalili watu wengi watapoteza ajira, pia hali yetu huenda ikawa mbaya kuliko Kenya maana wakati Kenya atakuwa visa vinashuka sisi ndio tutakuwa tuna panda jambo litakuwa baya sana.
Ndio maana napinga siasa kuchukua nafasi katika kipindi hiki na tuwape wataalam nafasi wafanye kazi yao. Nje ya hapo tutalilia chooni.
Mungu ibariki Afrika, Tanzania na viongozi wake. Amen!
Hakuna asiyejua tunapita kipindi gani kama taifa na hakuna asiyejua kwa wakati huu mezani kwa Rais kuna maamuzi magumu kuchukuliwa kabla ya kuwepo kwa taifa hili mbaya kuliko yote maamuzi hayo ynamuitaji yeye na Mungu wake kuyachukua kwa niaba yetu sote Watanzania. Ni maamuzi magumu ni maamuzi yatakayoumiza wengi lakini yanatakiwa yachukuliwe japo sio lazima.
Tunapita kipindi kigumu sana kiukweli; serikali yetu kwa hakika na hali tuliyonayo ni dhahiri shahiri hawakuwa wanategemea yatatokea haya yametokea na kuharibu kila jambo jema lililokusudiwa na serikali ya awamu ya tano.
Kila mtu anasema la kwake na huenda lipo kundi linamlaumu mkuu wa nchi lingine linamsifia kila mtu, almradi kujikomba au kukosoa. Yote ni maoni japo kundi linamsifia Rais kwa asilimia kubwa lina kundi la wanafiki ndani na hawa mimi nawaona ni wabaya sana maana wamekuwa sehemu ya kumpotosha Rais.
Ndugu zangu, gari ikiwa kwenye safari ndefu na mwendo mkali huwezi isimamisha kwa ghafla na kuizima maana lolote laweza tokea. Hivi ndivyo uchumi wetu ulivyokuwa before Covd-19 hivyo kusimamisha kila kitu kwa mara moja serikali itashindwa na tutakuwa kwenye hali mbaya sana.
Kwa bahati mbaya sana, samahani lakini kama kuna mtu atakwazika. Kwa mimi ninavyoona, kwa maoni yangu, sector binafsi kipindi hiki hatukujenga mahusiano mazuri ambapo katika nyakati kama hizi serikali ingetumia sector binafsi kujinasua ktk hali mbaya inayotaka kutokea kupitia taasisi kama TRA.
Hii sector badala ya kuwa rafiki wa serikali, nadhani wengi wana kila aina ya vilio na sasa Covid19 imeingia basi kila mmoja analia kwa namna yake; serikali ana kilio while sector binafsi ina kilio.
Wengi covid-19 imekuta hawana mitaji mizuri au wamepunguza uzalishaji basi ni tabu tupu. Ikumbukwe sector binafsi na serikali ni ndugu wawili wanaopaswa kupendana; yaani serikali ikiimarisha sector binafsi inaajiri Watanzania ambao serikali isingeweza waajiri. Wakati huo huo, serikali iinapanua wigo wa makusanyo while pp ya watu ikipanda na hivyo kuwa na mzunguko mzuri wa uchumi.
Sasa baada ya hayo yote, ni vyema tukajiandaa kisaikolojia hasa nyakati hizi ambapo ikiwa serikali itatangaza total lockdown, kuna kila dalili watu wengi watapoteza ajira, pia hali yetu huenda ikawa mbaya kuliko Kenya maana wakati Kenya atakuwa visa vinashuka sisi ndio tutakuwa tuna panda jambo litakuwa baya sana.
Ndio maana napinga siasa kuchukua nafasi katika kipindi hiki na tuwape wataalam nafasi wafanye kazi yao. Nje ya hapo tutalilia chooni.
Mungu ibariki Afrika, Tanzania na viongozi wake. Amen!