Hallo wakuu, na imani mpo salama kabisa time hii.
Samahani naomba kuuliza kwenye uelewa wa swala hili.
Ni hivi tangu nikiwa advance level nilikuwa napenda sana na kuvutiwa na cigarette, lakini kutokana na mazingira ya school zetu hizi za boarding nikashindwa kufanya nachotaka na ninachopenda...