Wataalamu: Bangi sio salama kwa moyo wa binadamu

USITUTISHE: Kumbuka hata kula wali unakuwa unajiweka kwenye hatari ya kuongeza uzito unaoweza kukufanya upate blood pressure. Ongeza vyakula vyote vya wanga navyo ni hatari kwenye kujaza gesi tumboni na shida zingine hatari.

Kunywa soda kunaweza kukufanya uugue Kisukari kwasababu ya uwepo wa sukari nyingi ndani yake.

Majani ya chai yanayo madini ya caffeine ambayo wataalamu wa afya wanajua shida yake kiafya.

Kula nyama kwa wingi hasa ile nyekundu bado ni tatizo kwa afya ya mwanadamu.

Kula mboga za majani ni tatizo hasa endapo ile sumu itakuwa haijakwisha vizuri ambayo hutumiwa kustawisha na kuua vijidudu vishambuliavyo mboga hizo.

Kuvuta sigara ndiyo hatari kabisa kwa ile nikotini iliyomo kwenye mmea wa tumbaku (kuna kansa ya mapafu).

Kunywa pombe napo ndiyo hatari isiyohitaji hata mjadala.



SWALI: Unataka tutumie nini kilicho salama? Au ni research kubaini watetezi wa mmea wa bangi?


Soma na jamaa wengine niliona wameandika kwenye link ifuatayo:
Top 10 harmful foods
 
USITUTISHE: Kumbuka hata kula wali unakuwa unajiweka kwenye hatari ya kuongeza uzito unaoweza kukufanya upate blood pressure. Ongeza vyakula vyote vya wanga navyo ni hatari kwenye kujaza gesi tumboni na shida zingine hatari.

Kunywa soda kunaweza kukufanya uugue Kisukari kwasababu ya uwepo wa sukari nyingi ndani yake.

Majani ya chai yanayo madini ya caffeine ambayo wataalamu wa afya wanajua shida yake kiafya.

Kula nyama kwa wingi hasa ile nyekundu bado ni tatizo kwa afya ya mwanadamu.

Kula mboga za majani ni tatizo hasa endapo ile sumu itakuwa haijakwisha vizuri ambayo hutumiwa kustawisha na kuua vijidudu vishambuliavyo mboga hizo.

Kuvuta sigara ndiyo hatari kabisa kwa ile nikotini iliyomo kwenye mmea wa tumbaku (kuna kansa ya mapafu).

Kunywa pombe napo ndiyo hatari isiyohitaji hata mjadala.



SWALI: Unataka tutumie nini kilicho salama? Au ni research kubaini watetezi wa mmea wa bangi?


Soma na jamaa wengine niliona wameandika kwenye link ifuatayo:
Top 10 harmful foods
Aisee we noma maana umetukumbusha vitu vinavyotuua bila kujijua huku tukiiponda bangi ambayo wengi huwa hatuivuti
 
Hamna starehe tamu kama bangi,kwanza ni starehe isiyo na gharama.Onyo vuta bangi bila kuchanganya na kilevi chochote utaifurahia.

Haha mkuu siku moja vuta usikilizie zile hisia nna uhakika hutakuja kuisema vibaya bangi(dawa) humu.
 
USITUTISHE: Kumbuka hata kula wali unakuwa unajiweka kwenye hatari ya kuongeza uzito unaoweza kukufanya upate blood pressure. Ongeza vyakula vyote vya wanga navyo ni hatari kwenye kujaza gesi tumboni na shida zingine hatari.

Kunywa soda kunaweza kukufanya uugue Kisukari kwasababu ya uwepo wa sukari nyingi ndani yake.

Majani ya chai yanayo madini ya caffeine ambayo wataalamu wa afya wanajua shida yake kiafya.

Kula nyama kwa wingi hasa ile nyekundu bado ni tatizo kwa afya ya mwanadamu.

Kula mboga za majani ni tatizo hasa endapo ile sumu itakuwa haijakwisha vizuri ambayo hutumiwa kustawisha na kuua vijidudu vishambuliavyo mboga hizo.

Kuvuta sigara ndiyo hatari kabisa kwa ile nikotini iliyomo kwenye mmea wa tumbaku (kuna kansa ya mapafu).

Kunywa pombe napo ndiyo hatari isiyohitaji hata mjadala.



SWALI: Unataka tutumie nini kilicho salama? Au ni research kubaini watetezi wa mmea wa bangi?


Soma na jamaa wengine niliona wameandika kwenye link ifuatayo:
Top 10 harmful foods
fact we steel smoke weed to reduce sress
 
Back
Top Bottom