The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,458
- 17,245
Wataalamu na watafiti nchini Marekani wameonya wavuta bangi kua sio salama kwa moyo wako.
Chama cha madaktari wa Moyo Marekani wamesema uvutaji bangi sio salama kwa moyo wa binadamu, hivyo kabla hujaanza kuvuta bangi shauriana kwanza na wataalamu wa afya.
Weed is not good for your heart, studies say
Chama cha madaktari wa Moyo Marekani wamesema uvutaji bangi sio salama kwa moyo wa binadamu, hivyo kabla hujaanza kuvuta bangi shauriana kwanza na wataalamu wa afya.
Weed is not good for your heart, studies say