nyerere

  1. J

    Mzee Mwamakula: Waislamu walimkaribisha Nyerere na kumpa uongozi wakati wa kudai uhuru ili kumuondoa mkoloni!

    Mzee Mwamakula ambaye ni afisa wa jeshi la polisi mstaafu akizungumza katika kipindi cha Malumbano ya hoja kinachorushwa na ITV amesema wazee wa kiislamu ndio waliokuwa wanaendesha harakati za kudai uhuru na kwamba Mwalimu Nyerere alikaribishwa na wazee hao ili kuongeza nguvu wakampa na uongozi...
  2. Mwalimu Julius Nyerere followers; Wafuasi wa Mwalimu Julius Nyerere

    MWALIMU JULIUS NYERERE FOLLOWERS;WAFUASI WA MWALIMU JULIUS NYERERE. Leo 14:15hrs 09/12/2020 Niwatakie Watanzania wote bara na visiwani heri na baraka tunaposherehekea kumbukumbu ya siku ya Uhuru wetu,Uhuru na maendeleo ni vitu vinavyohusiana sana,uhusiano wao ni sawa na uhusiano baina ya kuku...
  3. F

    Nini kingetokea kama Mwl. Nyerere angestaafu Urais mwaka 1971 na Oscar Kambona kuvaa viatu vyake hadi mwaka 1981?

    Wadau wa JF habari zenu. Leo nimewaza hivi ikiwa Mwl Nyerere angestastaafu Urais mwaka 1971 kwa kufuata mihula miwili na baadae kufuatiwa na Oscar Kambona ambaye naye angestastaafu mwaka 1981, nchi hii ingekuwaje? Mfano kiuchumi, kisiasa, kijamii, kitamaduni, kidiplomasia nk. Natanguliza...
  4. T

    Mzimu wa Hayati Baba wa Taifa ukifufuka kila mtu ataingia chini ya uvungu

    Hayati Baba wa Taifa inasemekana kabla ya kututoka aliweka kila kitu kwenye mstari. Ndie Rais alitwala muda mrefu na ndie Rais aliona mengi nakujuwa mengi kuliko watangulizi wake. Kutokana na vile aliona mengi Mwalimu aliona miaka miamoja ya Taifa hili hivyo aliweka mikakati yakuhakikisha...
  5. Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

    Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba. Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo...
  6. S

    Katika wanasiasa kumi wa Tanzania ya leo, wanasiasa wa enzi za kina Nyerere ni wangapi katika hao kumi?

    Naomba tufanye tathimini kupitia mtandao huu wa JamiiForums juu ya namna gani wananchi wanawachukulia wanasiasa wa kizazi cha leo kuwalinganisha na wale wa kiza cha Mwalimu Nyerere,mtu alieacha kazi ya ualimu na kwenda kupigania uhuru wa Taifa hili kazi ambayo kama sikosei haikuwa na masilahi...
  7. S

    Tofauti na Magufuli, Nyerere alielewa mataifa tajiri yanatuonea, kutuingilia na alijua jinsi ya kubabiliana nayo kwa busara bila nguvu na umwamba!

    Kuna kitu kimoja ambacho Magufuli anapaswa kutafakari sana - jinsi ya kukabiliana na mataifa tajiri pale ambapo anaona kama yanatukandamiza au kutuingilia. Nasema hivi kwa kuwa ni wazi sana Magufuli anapewa ushauri usiofaa na Kabudi - kujaribu kuyakabili haya mataifa kama vile tuko sawa nayo -...
  8. Vita ya Tundu Lissu vs Magufuli na Vita ya Kambona vs Nyerere, ipi Kali?

    Jaribio la mapinduzi la mwaka 1964 lilihusishwa kwa sehemu kubwa na Oscar Kambona. Hapa wakituhumiwa Kambona na Lusinde kuvunja kitengo maalum cha intelijensia kilichoitwa SPECIAL BRANCH na kujaza UVCCM (wakati huo TYL) 1 ambao hawakuwa na mafunzo na ujuzi wowote hivyo kukwamisha upatikanaji wa...
  9. J

    Mtizamo wa Mwalimu Nyerere kuhusu Libya, Misri, na Palestina

    ..kwanza nimpe shukurani mwanachama mwenzetu Shwari kwa kutuletea makala hii. ..nimeona niilete makala hii ktk jukwaa la siasa ili iweze kusomwa na wanachama wengi zaidi. In an interview with Nawal El Saadawy of Egypt's El Mussawar first published on 19 October 1984, Mwalimu Nyerere discusses...
  10. S

    Si halali wala haki kwa Serikali ya CCM kuwatoza wananchi fedha ili kutumia Daraja la Nyerere kwenda Kigamboni, ni ubaguzi

    Nimetafakari sana juu ya hii Serikali ya CCM inayodai ipo kwa ajili ya wananchi, hasa wanyonge. Na hakuna mtu anakaebisha kwamba Kigamboni kuna hao wanyonge wengi tu. Sasa kwanini hawa wanyonge wa Kigamboni walazimishwe kutoa fedha kwa kutumia daraja la Nyerere kwenda Kigamboni? Tunajua kwamba...
  11. M

    Busara za Nyerere zisisahaulike

    Mara mbili katika matukio muhimu nchini, Mwalimu Nyerere aliwahi kutoa ushauri ambao huenda tumeanza kuusahau. Moja ni pale alipowashauri wa Tz kuukubali mfumo wa vyama vingi vya kisiasa - alisema, pamoja na kwamba waliokataa ni wengi, lakini hawa wachache wana umuhimu wake la sivyo tutabweteka...
  12. J

    Kitendo cha Tundu Lissu kulala nyumbani kwa mwalimu Nyerere bila kwenda nyumbani kwa mzee Mtei siyo cha kiungwana

    Mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu amekwenda Arusha mara mbili nyakati hizi za uchaguzi pasi na kufika nyumbani kwa muasisi wa chama chake kumsabahi na kuchota baraka. Akiwa mkoani Mara Tundu Lissu aliforce hadi akalala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere huku luninga zikimfatilia. Simlaumu Tundu...
  13. Kifimbo Cha Mwalimu Nyerere vs Fimbo ya Moi (Fimbo ya Nyayo)

    HII NDIYO SIRI YA KWA NINI MWALIMU NYERERE HAKUWA AKITHUBUTU KUVIACHA VIFIMBO VYAKE. Unapofika katika nyumba yake iliyopo jijini Dar es Salaam maeneo ya Msasani maarufu kwa Mwalimu Nyerere, kinachoyatofautisha maisha ndani ya nyumba hiyo na zile za Magomeni na Ilala ni mazingira nadhifu. Si...
  14. Hayati Mwl. Nyerere alikuwa mpinzani dhidi ya Wakoloni. Kuwa mpinzani siyo lazima uwe na lengo baya kwa jamii

    Nimesikiliza sera mbalimbali za vyama vyetu kuelekea uchaguzi Mkuu 2020. Kuna watu wanaaminishwa huku vijijini kuwa ukichagua mpinzani kutatokea vita. Pia nimesikia baadhi ya redio na Tvs na kauli hata za viongozi wa juu kutoa mifano kama ya Rwanda, Libya, Misri nk kuwa ndiyo picha ya matokeo...
  15. Mwalimu Nyerere akiwa na John F Kennedy nchini Marekani

  16. J

    Madaraka Nyerere asema atastaafu siasa siku chache zijazo!

    Mtoto wa Baba wa Taifa ndugu Madaraka Nyerere amesema atastaafu siasa siku chache zijazo. Ikumbukwe kuwa Madaraka alikuwa mwenyeji wa mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu alipotembelea Butiama na kulala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere. Source: Radio One Maendeleo hayana vyama!
  17. Je, Mwalimu Nyerere alikuwa na uono hafifu katika hili au sisi wasomi ndio shida?

    Mwalimu alipopata mkopo anasema alijifikiria sana. Akiwapa masikini chakula watakula ila baadae watasikia njaa na kutaka waprwe tena. Yeye na team take wakaamua badala yake wamsomeshe mtoto wa masikini akiisha soma akaelimika basi ataisaidia familia yake yote moja kwa moja. Nguvu kubwa...
  18. T

    Miaka 21 baada ya kifo cha Baba wa Taifa, mgombea yupi anabeba maono ya Mwl. Nyerere?

    Leo ni takribani miaka 21 tangia kifo cha muasisi wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Tangia kifo cha Baba wa Taifa mnamo Oktoba 14, 1999, Swali kubwa kwa watanzania lilikuwa ni 'Nani atabeba maono ya Baba wa Taifa katika kuiendeleza Tanzania?.' Huu ni mwaka wa uchaguzi na watanzania...
  19. Askofu Bagonza: Ni Nyerere tu!

    NI NYERERE TU.. Leo ni siku ya NYERERE. Jina hili ni fursa kwetu sote. Amani na umoja wetu ni matunda ya ubongo na mikono yake. Mapema mwaka 1996 nilifika Kijijini Butiama kwa kazi maalum ya maandalizi ya masomo yangu ya juu nchini Marekani. Majira ya saa 4 asubuhi nilipokelewa na...
  20. Famous Quotes by Julius Nyerere

    Most people don't have time to sit through a whole clip or even read through a whole article or book to pick Nyerere's brain. But quotes are a fast and convenient way to honor this great man and even learn from him whether from his mistakes or achievements. In Tanzania, it was more than one...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…