johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu amekwenda Arusha mara mbili nyakati hizi za uchaguzi pasi na kufika nyumbani kwa muasisi wa chama chake kumsabahi na kuchota baraka.
Akiwa mkoani Mara Tundu Lissu aliforce hadi akalala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere huku luninga zikimfatilia.
Simlaumu Tundu Lissu kwa sababu sijui kilichomsibu akiwa Arusha lakini namkumbusha tu wakati mwingine asirudie kosa hili la kiufundi.
Nawatakia Watanzania uchaguzi wenye baraka.
Ukimkubali Nyerere utampigia kura Dr Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Akiwa mkoani Mara Tundu Lissu aliforce hadi akalala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere huku luninga zikimfatilia.
Simlaumu Tundu Lissu kwa sababu sijui kilichomsibu akiwa Arusha lakini namkumbusha tu wakati mwingine asirudie kosa hili la kiufundi.
Nawatakia Watanzania uchaguzi wenye baraka.
Ukimkubali Nyerere utampigia kura Dr Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!