matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,570
- 15,310
Mwalimu alipopata mkopo anasema alijifikiria sana. Akiwapa masikini chakula watakula ila baadae watasikia njaa na kutaka waprwe tena.
Yeye na team take wakaamua badala yake wamsomeshe mtoto wa masikini akiisha soma akaelimika basi ataisaidia familia yake yote moja kwa moja.
Nguvu kubwa ikaingizwa katika Elimu kwa mtoto wa masikini.
Kinachoendelea leo kama matokeo ya mkakati huu.
1. Wasomi tunao wengi lakini ni masikini kuliko wazazi wao. Yaani wengi ombaomba, watu wa kujipendekeza na waliosoma sana wamekimbilia kwenyr siasa kula kwa Maneno badala ya kula kwa taaluma.
2. Walitegemea wasome kisha waajiliwe sasa hats Mkuu wa nchi kakili hajawatendea hali katika ajira.
3. Leo Machinga darasa la nne anaweza kulisha familia nzima huku msomi chuo kikuu hawezi hata kujinunulia boxer.
4. Maisha ya wasomi wengi yanategemea ajira za wasiosoma. Yaani hawana uwezo wa kutengenrza ajira
Najiuliza wakuu, nani hapa kakosea wasomi au Mwalimu Nyerere alikuwa na uono hafifu?
Yeye na team take wakaamua badala yake wamsomeshe mtoto wa masikini akiisha soma akaelimika basi ataisaidia familia yake yote moja kwa moja.
Nguvu kubwa ikaingizwa katika Elimu kwa mtoto wa masikini.
Kinachoendelea leo kama matokeo ya mkakati huu.
1. Wasomi tunao wengi lakini ni masikini kuliko wazazi wao. Yaani wengi ombaomba, watu wa kujipendekeza na waliosoma sana wamekimbilia kwenyr siasa kula kwa Maneno badala ya kula kwa taaluma.
2. Walitegemea wasome kisha waajiliwe sasa hats Mkuu wa nchi kakili hajawatendea hali katika ajira.
3. Leo Machinga darasa la nne anaweza kulisha familia nzima huku msomi chuo kikuu hawezi hata kujinunulia boxer.
4. Maisha ya wasomi wengi yanategemea ajira za wasiosoma. Yaani hawana uwezo wa kutengenrza ajira
Najiuliza wakuu, nani hapa kakosea wasomi au Mwalimu Nyerere alikuwa na uono hafifu?