nia

  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Baraza la Uongozi la CHADEMA Mkoa wa Mbeya lakutana na watia nia wa Ubunge na Udiwani

    Huu ni ushahidi mwingine kwamba sasa kumekucha , na kwamba kama kuna anayedhani ccm itaambulia chochote Mbeya basi bila shaka atakuwa amelogwa
  2. mheshimiwamtemi

    JamiiForums Tanzania Utitiri wa watiania kiti cha Urais Zanzibar

    Wadau, Mpaka leo 19/06/2020 wanachama 13 wa CCM wamechukua fomu kuwania kuteuliwa ili kugombea nafasi ya Urais katika visiwa vya Zanzibar. Idadi hii sio haba, je ni kukua kwa demokrasia au kudhoofika? Je, hatma yake ni shwari au sharii? Yajayo yanfurahisha. CCM oyee === ---
  3. britanicca

    JamiiForums Tanzania GE2020 Sababu za msingi kwanini nimchague huyu ndani ya CHADEMA licha ya watia Nia kibao

    Watia nia Mpaka sasa 1. Tundu Lissu 2. Freeman Mbowe 3. Lazaro Nyalandu 4. Peter Msigwa, Hawa ni watia nia ambao ninawatenga katika makundi matatu KUNDI A Wanaoonekana kuimiliki chadema kimtizamo na mawazo ya waliowengi japo wana maono na ni wachapakazi KUNDI B Wanaoonekana Kuwa wapya na wana...
  4. CHADEMA

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA: Wanachama 11 wachukua fomu za kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania

    Ikumbukwe kwamba waliotia nia ni wengi lakini ni wachache waliojitangaza hadharani , Sasa leo tega sikio ili usikie ni akina nani wengine Wazito sana waliotia nia ya kuomba Urais wa Tanzania kupitia Chadema . Mungu ibariki Chadema ======= ----UPDATE---- Ndugu wanahabari Chama cha Demokrasia...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbeya bhukile : Mabaraza ya Majimbo yaanza kuwahoji watia nia kwa lengo la kuchuja pumba na mchele

    Chadema Mkoa wa Mbeya imeanzisha program maalum kwa ajili ya kuwasaili Watia nia wote kwenye Udiwani ili kufahamu uwezo , dhamira na uaminifu wao kwa chama na wananchi kwa lengo la kuwapata wagombea bora wasio mamluki .
  6. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Chadema: Zoezi la kutia nia kugombea nafasi ya Rais wa JMT limefungwa rasmi tutatoa orodha ya walioandika barua

    Afisa habari wa Chadema mh Makene amesema zoezi la kutia nia kugombea urais wa JMT kupitia chama hicho limefungwa rasmi. Tarehe ya mwisho ilikuwa ni 15 June, 2020 saa 10:00 jioni. Orodha ya walioandika barua itatolewa na utaratibu unaofuta mtaelexwa. Freeman Mbowe amekuwa mwanachadema wa...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania GE2020 Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

    Wanabodi, Naomba kuanza na angalizo: Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo...
  8. Dam55

    JamiiForums Tanzania GE2020 Freeman Mbowe atia nia kugombea urais kupitia CHADEMA

    Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema. Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia...
  9. beth

    JamiiForums Tanzania GE2020 Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson atangaza nia ya kugombea Ubunge Mbeya

    Naibu Spika wa Bunge la Dkt. Tulia Ackson ameweka wazi nia ya kugombea Ubunge Mbeya japokuwa hajaweka wazi jimbo atakalogombea Naibu huyo amesema atatoa taarifa kuhusu Jimbo hilo muda utakapofika. Dk. Tulia aliteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum na Rais Magufuli Novemba 16, 2015 Alichaguliwa...
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2020 Watia nia ya Urais CHADEMA: Mmetangaza nia, mmejipangaje kuyakabili yaliyotokea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Maana for sure yatatokea hayo au zaidi

    Kwangu mimi nadhani mngeanza ku-address hilo. Kutia nia bila kulisemea hilo, kwangu mimi ni kupoteza muda. Kwa utawala huu watafanya kama walivyofanya Serikali za Mitaa au hata zaidi ya hapo. Kama bila aibu Ndugai anafanya anayoyafanya Bungeni na hakuna wa kumkemea: executive, mahakama...
  11. Papa D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mnaotangaza nia ya kugombea Urais CHADEMA kwa kutoa vipaumbele mmevipata wapi wakati chama hakijatengeneza ilani?

    CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela. Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama. Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi...
  12. CHADEMA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lazaro Nyalandu atangaza nia ya kuwania Urais kupitia CHADEMA

    VIDEO Courtesy: CHADEMA Lazaro Nyalandu 2020 Mabibi na Mabwana, Ndugu Wanahabari, Leo natangaza rasmi azma yangu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA. Mapema asubuhi ya leo, nimemwandikia burua Katibu Mkuu wa Chama...
  13. Q

    JamiiForums Tanzania Lazaro Nyalandu kutangaza nia ya Urais Leo

    Mwanachama mwandamizi wa Chadema , Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu atazungumza na wanahabari Leo saa 12 kamili jioni. Taarifa za uhakika ni kwamba mwanasiasa huyo kijana mwenye umaarufu mkubwa anatarajiwa kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mchungaji Msigwa rasmi kutangaza nia Dodoma hotel Jumapili 14 Juni

    Wote mnakaribishwa Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara...
  15. Kichwamoto

    JamiiForums Tanzania RC-Mnyeti anyooshe kauli kuhusu wanaohisiwa kuwa watangaza nia kujipitisha majimboni kwa kivuli cha misaada

    Masipota/Tareirota kwenu nyote! Wadau Kuna Clip inaonesha RC wa Mkoa wa Manyara ndugu Mnyeti akisema ni ujinga na upumbavu kuwashuku kuwa watoa misaada majimboni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wana harufu ya kujitakirimisha. Hivi karibuni tumeshudia TAKUKURU wakiwa bize na wenye...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

    Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani. Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake. Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake. Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara, Chrisant Nyakitita ajitokeza kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania

    Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara Mh Chrisant Nyakitita , leo amejitokeza mbele ya vyombo vya habari na kutangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Oktoba . Wagombea wanaojitokeza wote watapimwa na Watanzania wenyewe kuona ni yupi kati yao anafaa , ni vema vyama vya siasa...
  18. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mh Tundu Lissu amewasilisha barua rasmi ya kutia nia ya kuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA.

    Habari wakuu. Hivi hii habari imekaaje maana naona kama Tundu Lisu sasa hiv kutokuwepo kwake kunaweza kusababiswa kushindwa kufanya vzr katika uchaguzi mwaka huu hasa kwa uapnde wake yeye mtia nia ya uraisi na isitoshe tayari chadema kama wameshapotena kwenye kasi za ubingwa wa uchaguzi msimu huu .
  19. SECRET AGENT

    JamiiForums Tanzania Developers na wenye nia ya kujifunza changamkieni hii kitu (google Africa Developer Scholarship 2020)

    Grow with Google, Andela and Pluralsight have partnered to provide a new program to support software developers in Africa on Android, Google Cloud and Mobile Web skills development tracks. The aim of this program is to continuously engage with aspiring and existing developers to help them become...
  20. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania GE2020 Bashiri Ally mwenyekiti CUF wilaya ya Ubungo atia nia kugombea ubunge jimbo la Handeni Vijijini

    Mwenyekiti wa Wilaya ya Ubungo CUF Bashiri Ally Atia nia ya Kugombea Ubunge Jimbo La HANDENI VIJIJINI katika Uchaguzi
Back
Top Bottom