britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,999
Watia nia Mpaka sasa
1. Tundu Lissu
2. Freeman Mbowe
3. Lazaro Nyalandu
4. Peter Msigwa,
Hawa ni watia nia ambao ninawatenga katika makundi matatu
KUNDI A
Wanaoonekana kuimiliki chadema kimtizamo na mawazo ya waliowengi japo wana maono na ni wachapakazi
KUNDI B
Wanaoonekana Kuwa wapya na wana uwezo wa kuongoza
KUNDI C
Wanaoonekana kutoaminiwa kutokana na kosa walilofanya CHADEMA Mwaka 2015,
Hapo nayeona anafaa kukaa kundi B ni TUNDU ANTI PASS LISSU
Kwanza ana uwezo mkubwa sana kulinganisha na Wengine
Ana nia ya dhati na amedhamiria hatanii,
Uwezo wake wa Kuongoza unaonekana dhahiri
SABABU ZA KWANINI SIMPENDELEI MBOWE
Moja pamoja na kazi nzuri anayofanya Mbowe ila CHADEMA kwa muda mrefu imeonekana kuwekwa mfukoni , japo si kweli , lakini ilo yapaswa lifutike kwa kutomsimamisha,
Pili, Mbowe anatakiwa astaafu siasa ndani ya CDM maana aliyoyafanya ni makubwa na Ameshaweka Heshima
Tatu, Hana uthubutu wa Lissu
KWANINI SIMPENDELEI NYALANDU
Pamoja na watu kumuona ana uwezo mkubwa kimataifa na kiintelijensia, lakin tuwape kwanza waliosiginwa vya kutosha ndani ya CHAMA, Ku avoid makosa ya Kumpa wa Kuja alafu baadae akahama,
KWA MSIGWA
niwe Mkweli Msigwa siyo Presidential Material at all
Nampendekeza lissu Japo naye anapaswa kupunguza madhaifu yake
Pitia hapa
Ufanano na utofauti wa Magufuli na Lissu kwenye ngazi ya juu ya uongozi wa nchi
Britanicca
1. Tundu Lissu
2. Freeman Mbowe
3. Lazaro Nyalandu
4. Peter Msigwa,
Hawa ni watia nia ambao ninawatenga katika makundi matatu
KUNDI A
Wanaoonekana kuimiliki chadema kimtizamo na mawazo ya waliowengi japo wana maono na ni wachapakazi
KUNDI B
Wanaoonekana Kuwa wapya na wana uwezo wa kuongoza
KUNDI C
Wanaoonekana kutoaminiwa kutokana na kosa walilofanya CHADEMA Mwaka 2015,
Hapo nayeona anafaa kukaa kundi B ni TUNDU ANTI PASS LISSU
Kwanza ana uwezo mkubwa sana kulinganisha na Wengine
Ana nia ya dhati na amedhamiria hatanii,
Uwezo wake wa Kuongoza unaonekana dhahiri
SABABU ZA KWANINI SIMPENDELEI MBOWE
Moja pamoja na kazi nzuri anayofanya Mbowe ila CHADEMA kwa muda mrefu imeonekana kuwekwa mfukoni , japo si kweli , lakini ilo yapaswa lifutike kwa kutomsimamisha,
Pili, Mbowe anatakiwa astaafu siasa ndani ya CDM maana aliyoyafanya ni makubwa na Ameshaweka Heshima
Tatu, Hana uthubutu wa Lissu
KWANINI SIMPENDELEI NYALANDU
Pamoja na watu kumuona ana uwezo mkubwa kimataifa na kiintelijensia, lakin tuwape kwanza waliosiginwa vya kutosha ndani ya CHAMA, Ku avoid makosa ya Kumpa wa Kuja alafu baadae akahama,
KWA MSIGWA
niwe Mkweli Msigwa siyo Presidential Material at all
Nampendekeza lissu Japo naye anapaswa kupunguza madhaifu yake
Pitia hapa
Ufanano na utofauti wa Magufuli na Lissu kwenye ngazi ya juu ya uongozi wa nchi
Britanicca