beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Naibu Spika wa Bunge la Dkt. Tulia Ackson ameweka wazi nia ya kugombea Ubunge Mbeya japokuwa hajaweka wazi jimbo atakalogombea
Naibu huyo amesema atatoa taarifa kuhusu Jimbo hilo muda utakapofika. Dk. Tulia aliteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum na Rais Magufuli Novemba 16, 2015
Alichaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge Novemba 19, 2015