Zanzibar 2020 Utitiri wa watiania kiti cha Urais Zanzibar

Mheshimiwa_Mtemi

JF-Expert Member
Oct 27, 2014
288
215
Wadau,

Mpaka leo 19/06/2020 wanachama 13 wa CCM wamechukua fomu kuwania kuteuliwa ili kugombea nafasi ya Urais katika visiwa vya Zanzibar.

Idadi hii sio haba, je ni kukua kwa demokrasia au kudhoofika? Je, hatma yake ni shwari au sharii? Yajayo yanfurahisha.

CCM oyee
===
Hii hali inayoendelea Zanzibar ya wengi kujitokeza kuchukua fomu ya ugombea urais inaweza ikawa siyo hali ya kawaida.

Inawezekana kuna mpango wa kundi flani huku, kusuka wa kumpitisha mgombea wao lakini labda upande wa pili wakaona namna ya kuuvuruga huo mpango na kufanya suprise ni wengi kuchukua fomu.

Haiwezekani Bashiru ashangazwe na watu wengi kuchukua fomu,na zamu hii zanzibar hamna 3 au 5 bora anatafutwa tu mmoja.

Hii hali ya wengi kuchukua fomu inawezekana ni kuvuruga mipango ya upande mwingine au kuna watu wana mpango wao binafsi.
---
Kufuatia utitiri wa wagombea urais Zanzibar, kuna mkakati gani wa siri? Au wanataka kupingana na chaguo la mkuu?

Karibuni tujadili.
 
Ngoja tuwaone Wazanzibar awamu hii iwapo watamchagua Mpambanaji wa kutetea maslahi ya Nchi yao au wataendeleza desturi yao ile ile ya kuchagua Mgombea ambaye ataiongoza Zanzibar huku maelekezo yote yakitoka Bara.
 
  • Thanks
Reactions: MLO
Wadau,

Mpaka leo 19/06/2020 wanachama 13 wa CCM wamechukua fomu kuwania kuteuliwa ili kugombea nafasi ya URAIS katika visiwa vya Zanzibar.

Idadi hii sio haba, je ni kukua kwa demokrasia au kudhoofika? Je, hatma yake ni shwari au sharii? Yajayo yanfurahisha.

CCM oyee
We had 40 contestants in 2015 Bara, so what is strange here?
 
Wadau,

Mpaka leo 19/06/2020 wanachama 13 wa CCM wamechukua fomu kuwania kuteuliwa ili kugombea nafasi ya Urais katika visiwa vya Zanzibar.

Idadi hii sio haba, je ni kukua kwa demokrasia au kudhoofika? Je, hatma yake ni shwari au sharii? Yajayo yanfurahisha.

CCM oyee

Wanadhani kama hata Shein amekuwa Rais basi URAIS umekuwa RAHISI.
 
Hawana ubavu wa kumchagua kiongozi wanaemtaka hao? Mfano halisi Gharib Bilal ameshinda mara kadhaa huko ZNZ ktk kura za maoni lkn kichwa kikaliwa kule kanda ya kati
Ngoja tuwaone Wazanzibar awamu hii iwapo watamchagua Mpambanaji wa kutetea maslahi ya Nchi yao au wataendeleza desturi yao ile ile ya kuchagua Mgombea ambaye ataiongoza Zanzibar huku maelekezo yote yakitoka Bara.
 
Hii sasa too much, mpaka Ali Karume! 2015 alipiga kampeini yuko bye mbele ya tv, leo anataka urais?
Ana haki ya kikatiba ya kuchagua au kuchaguliwa. Kwani walevi hawaruhusiwi kichagua au kuchaguliwa?? Mbona serikali inavisifiwa viwanda vya pombe kwa kazi nzuri? Kwa nini iwachukie wateja wake?
 
Hii hali inayoendelea Zanzibar ya wengi kujitokeza kuchukua fomu ya ugombea urais inaweza ikawa siyo hali ya kawaida.

Inawezekana kuna mpango wa kundi flani huku, kusuka wa kumpitisha mgombea wao lakini labda upande wa pili wakaona namna ya kuuvuruga huo mpango na kufanya suprise ni wengi kuchukua fomu.

Haiwezekani Bashiru ashangazwe na watu wengi kuchukua fomu,na zamu hii zanzibar hamna 3 au 5 bora anatafutwa tu mmoja.

Hii hali ya wengi kuchukua fomu inawezekana ni kuvuruga mipango ya upande mwingine au kuna watu wana mpango wao binafsi.
 

30 August 2018
12 Mnatafuta Urais Zanzibar! Katibu Mkuu Wa CCM, Dkt Bashiru Ally Amesema Anawajua Wanasiasa na Baadhi ya wanachama Wa CCM Zanzibar Wanaozunguka Zunguka Kabla Ya Muda Kuwania Kiti Cha Urais Wa Zanzibar.
Source : Global TV online
 
Kufuatia utitiri wa wagombea urais Zanzibar, kuna mkakati gani wa siri? Au wanataka kupingana na chaguo la mkuu?

Karibuni tujadili.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom