johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,801
Afisa habari wa Chadema mh Makene amesema zoezi la kutia nia kugombea urais wa JMT kupitia chama hicho limefungwa rasmi.
Tarehe ya mwisho ilikuwa ni 15 June, 2020 saa 10:00 jioni.
Orodha ya walioandika barua itatolewa na utaratibu unaofuta mtaelexwa.
Freeman Mbowe amekuwa mwanachadema wa mwisho kutia nia na amewashtua wengi.
Maendeleo hayana vyama!
Tarehe ya mwisho ilikuwa ni 15 June, 2020 saa 10:00 jioni.
Orodha ya walioandika barua itatolewa na utaratibu unaofuta mtaelexwa.
Freeman Mbowe amekuwa mwanachadema wa mwisho kutia nia na amewashtua wengi.
Maendeleo hayana vyama!