Mwanachama mwandamizi wa Chadema , Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu atazungumza na wanahabari Leo saa 12 kamili jioni.
Taarifa za uhakika ni kwamba mwanasiasa huyo kijana mwenye umaarufu mkubwa anatarajiwa kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia chama pendwa Cha Chadema.
Tayari nchi imesisimka kutokana na wanasiasa mashuhuri ndani ya Chadema kutangaza nia.Nyalandu atakuwa ni mtu wa tatu nyuma ya Tundu Lissu na Peter Msigwa.
Kesho tarehe 15 ndiyo siku ya mwisho ndani ya Chadema huku masikio na minong'ono pia ikielekezwa kwa Mwenyekiti wa chama hicho Mwamba Freeman Mbowe kwamba huenda naye akatangaza nia hapo kesho ingawa bado hajapona tangu ashambuliwe
Chini ni Tangazo la Mhe Nyalandu.....
Nitazungumza na Wanahabari na nitakuwa LIVE ndani ya Global TV na Millard Ayo TV leo Jumapili June 14 saa 12 jioni. Karibu sana unisikilize!
Mh. Lazaro Nyalandu
Taarifa za uhakika ni kwamba mwanasiasa huyo kijana mwenye umaarufu mkubwa anatarajiwa kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia chama pendwa Cha Chadema.
Tayari nchi imesisimka kutokana na wanasiasa mashuhuri ndani ya Chadema kutangaza nia.Nyalandu atakuwa ni mtu wa tatu nyuma ya Tundu Lissu na Peter Msigwa.
Kesho tarehe 15 ndiyo siku ya mwisho ndani ya Chadema huku masikio na minong'ono pia ikielekezwa kwa Mwenyekiti wa chama hicho Mwamba Freeman Mbowe kwamba huenda naye akatangaza nia hapo kesho ingawa bado hajapona tangu ashambuliwe
Chini ni Tangazo la Mhe Nyalandu.....
Nitazungumza na Wanahabari na nitakuwa LIVE ndani ya Global TV na Millard Ayo TV leo Jumapili June 14 saa 12 jioni. Karibu sana unisikilize!
Mh. Lazaro Nyalandu