ni nini

Ni Ni's Treehouse is a preschool television series and was produced jointly by The Itsy Bitsy Entertainment Company and GMTV. It was originally aired on TLC and GMTV from 2000 until 2003.

View More On Wikipedia.org
  1. The Father of All

    Hii ni nini wanangu?

    Juzi, nilipita sehemu. Nilikuta watu wazima tena wanaojiita wenye akili na busara wakishindana kumpaka kiti moto lipstick nikashangaa. SIkkujua akili, busara na maana yake ni nini. Nilijiuliza. Kwanini wasimtafunilie mbali badala ya kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa. Nilijiuliza. Je, hii ni...
  2. LiFe 2-point-0

    Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Wakuu na wanabodi habari zenu!. Za masiku mengi? Ni muda mrefu sana toka nimeondoka rasmi jijini Dar es salam, na japo huwa nakuja kuja one time huwa inakua ni kwa specific task so naonana na specific people at specific one area. Huwa sipati muda wa kuzunguka sana ,then naondoka. But this time...
  3. Royal Son

    Ni nini wanawake humaanisha wanaposema wanahitaji 'Real man'

    NINI WANAWAKE HUMAANISHA WANAPOSEMA WANAHITAJI "REAL MAN" [ MWANAUME WA KWELI ]? Hii sio kauli ngeni kwa wanawake kusema wanahitaji "real man", huwa unawaelewa? Real man kwa wanawake haimaanishi ile maana ambayo dunia tunaijua, wao wana maana yao. Bro ukiona mwanamke anakuita "real man" basi...
  4. stakehigh

    Cardiac arrest(Ugonjwa wa raila) ni nini? na unasababishwa na nini

    Kwa ufupi sana ni kusimama kwa ghafla kwa moyo" au "shtuko la moyo". Hali hii hatari hutokea wakati moyo unapoacha kufanya kazi ghafla na bila kutarajiwa, na kusababisha mtiririko wa damu kwenye ubongo na viungo vingine muhimu kukatika. Ikiwa haitatibiwa haraka, inaweza kusababisha kifo ndani ya...
  5. comrade_kipepe

    Viongozi wa dini ya Kikristo wanazidi kuwindwa, wengine wameshakimbia nchi, SHIDA NI NINI??

    Ni kutomkubali tuu malkia?? Inamaana upande wa dini ile wote wanamkubali mtu wao??. Viongozi wa dini ya kikristo ambao hawafuati maelekezo ya malkia wanakiona cha moto, naanza kuamini ile barua ya mange kimambi japo Msigwa aliikanusha lakini sasahivi yanatendeka yaleyale.
  6. blackstarline

    Naomba kujua Mobile Wallet ni nini na inafanya kazi namna gani?

    Mabosi wangu wanataka kunilipa pesa ila nimeambiwa wataniwekea kwenye mobile wallet kwa mjuzi hii imekaaje?
  7. Kichuguu

    Kubabatiza Maana yake ni nini?

    Ninapowasikia watangazaji wa mpira mara kadhaa husema mpira umebabatiza. Maana yake hasa ni nini?
  8. M

    Mtwara ilipaswa kuwa Business Center nchi hii na je kilichomfanya ndugu Nyerere aiondoe Reli ya Mtwara ni nini?

    Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu...
  9. N

    Hii imekaaje wakuu? Hapa kosa langu ni nini?

    wazee hali hii ndio mara yangu ya kwanza kukutana nayo Leo katika kugegedana na girlfriend wangu ame onekana Kua na genye sana, yaani nimepiga round ya kwanza akadai amechoka ikabidi nimwage nipumzike zangu lakini chaajabu baada kama dk 10 kaniamsha anadai tuliamshe tena nikasema hapa ndipo...
  10. Dogoli kinyamkela

    Je uamsho wa kiroho ni nini?

    🤷🏾‍♂️JE UAMSHO WA KIROHO NI NINI? Mwamko wa Kiroho ni pale mtu anapofahamu asili yake halisi na utu wake wa kipekee. Wakati hii itatokea katika maisha yako, utakuwa na hisia mpya ya kuona vitu na ulimwengu unaokuzunguka. Utaanza kuamini maisha na kutumia sauti yako ya ndani wakati wa...
  11. secretarybird

    Nywele zangu za kifuani zimeanza kuwa na mvi, je tatizo ni nini?

    Uchaguzi wa October ni feki! Wadau nywele zangu za kifuani zimeanza kuwa na rangi nyeupe yaani mvi na sijui sababu ni nini. Mimi kichwani Sina hata mvi Moja, ndevuni pia Sina hata mvi Moja na mavuzi ndo kwanza yananiota maana Mimi kiumri bado ni mdogo. Kwapani nywele zangu ni nyeusi kama zile...
  12. Robert Mbathane

    H. pylori ni nini!

    H. pylori ni nini? Ni bakteria hatari wanaoishi tumboni na mara nyingi husababisha gastritis, vidonda vya tumbo na hata saratani ya tumbo. Dalili kuu: ✅ Maumivu makali ya tumbo (hasa ukiwa hauna chakula tumboni ukiwa na njaa) ✅ Kichefuchefu, gesi nyingi na tumbo kujaa ✅ Kukosa hamu ya kula na...
  13. Akotia

    “CCM haiwezi, CCM imeshindwa, CCM lazima iondoke”. Sawa, lakini mbadala wenu ni nini?

    CCM imesimama zaidi ya nusu karne, na bado Tanzania ipo stable, peaceful, na imara kuliko jirani zetu wengi. Kila mwekezaji na kila mtalii anajua huwezi kulinganisha Dar es Salaam na Juba, Kinshasa au Mogadishu. Hii amani na utulivu sio mzaha. CCM ndiyo imetengeneza stability ya taifa hili...
  14. N

    Fahamu Domain ni nini na inavyotumika kwenye biashara yako

    Domain ni nini? Domain ni jina la kipekee linalotambulisha tovuti yako kwenye mtandao. Kwa mfano, katika anwani ya tovuti www.google.com, sehemu ya google.com ndiyo domain. Badala ya kukumbuka namba ngumu (IP address), domain hukupa jina rahisi linaloendana na biashara yako. Kwa nini domain ni...
  15. Mmanu

    Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

    Habari wanaJf Nimekuwa nikijiuliza swali moja la msingi sana lakini majibu thabiti nimekuwa nikikosa kabisa... Kwa wale wanaoamini kuhusu uwepo wa Mungu naomba wanijuze kwanini tumeletwa hapa duniani ambako tunaishi maisha mafupi na kupita, je Mungu hakuona namna nyingine ya kutufanya tufike...
  16. Fortyseven

    Chanzo cha shetwan ( shetani ) ni nini katika uislam?

    Surat Al-Baqarah (2:34): "Na tulipowaambia Malaika: Mumsujudieni Adam, wakasujudu isipokuwa Iblis. Alikataa na akajivuna, na alikuwa miongoni mwa makafiri." Pia inatajwa katika: Surat Al-A'raf (7:11–12) Surat Sad (38:71–74) Surat Al-Hijr (15: 28- 31) Surat Sad (38:71–72): "Mwenyezi...
  17. Knock life

    Wakuu hivi Popoma ni nini je ni aina ya binadamu au ?.

    Wakuu hivi Popoma maana yake ni nini ? ni MTU wa aina gani .?
  18. SlimFit

    Kero: Mdudu mla mbao juu ya dari dawa yake ni nini?

    Ndugu zangu habari ya usiku? Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimekumbwa na wadudu wala mbao juu ya dari / bati kwa takribani miezi 6 sasa. Kero iliyopo sasa ni kwamba nyakati za usiku hao wadudu wanapiga kelele hatari wakiwa wanakula hizo mbao. Nimejaribu mara kadhaa kupanda huko juu kuona...
  19. Samia atosha tukutane2030

    Tukiwaambia kuwa enzi za Magufuli na Polepole nchi ilikuwa totally crazy muwe waelewa. Haya hiki ni nini?

  20. J

    Sala ya Bwana ni nini

    Sala ya Bwana ni nini Sala ya Bwana Sala ya Bwana ni sala ambayo Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake, kabla ya kuondoka kwake. Na kwa kupitia sala ile, hakuwafundisha tu wanafunzi wake bali alitufundisha na sisi pia. Maana yake ni kwamba, nasi pia tunapaswa tuombe kama vile Bwana...
Back
Top Bottom