Ni Ni's Treehouse is a preschool television series and was produced jointly by The Itsy Bitsy Entertainment Company and GMTV. It was originally aired on TLC and GMTV from 2000 until 2003.
Nilikuwa nakifuatilia sana kipindi cha leo cha Sam Sasali na Tupa Tupa muda huu Clouds TV kipindi cha 360 lakini wamekatisha matangazo ghafla, shida ni nini?
Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka jana na nilipata ufaulu ufuatao
CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
Ni kipi kitakuwa sahihi zaidi kwangu kusomea (haijalishi kipo advance au college)
Naombeni ushauri katika hilo
Ni aibu na fedhea sana...
Inakera, inachefua na kusikitisha sana..
Inaamsha hasira sana, kuona au kuskia mtoto, ndugu, jamaa au rafiki wa familia amekumbwa na uchafu, unyama au uharibifu huu..
uharibifu na uchafu huu unachochewa na mambo gani hasa ili kama miongoni mwa wanadamu humu JF...
Eti ebu njooni mnijibu sisi sijui tutaolewa na nani?
Mwanaume akikutongoza sasa hivi anakuuliza unaushi wapi, ukimwambia nyumbani
Anakuuliza tena kwako au kwenu?
Sasa ukijiroga ukasema unaishi kwako, basi ataanza nataka kuja kukusalimia ukikosea tu ukamkaribisha atakukula humo humo ndani...
Kumekuwa na idadi kubwa sana ya watoto wa kike wanao jihusisha na biashara ya ukahaba. Wengi wao kimuonekano wanapaswa kuwa wanafunzi wa sekondari. Je tatizo linaweza kuwa nini na nini kifanyike kuokoa kizazi? Au hatujui madhara ya kuwa na kizazi cha makahaba.
Ukahaba ni roho moja chafu...
Salaam Wadau,
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikipata hii alert kwenye moja ya simu zangu ninazotumia, simu yangu ni Redmi Note 12. Je ina maanisha nini?
Cc: Chief-Mkwawa
Inaonyesha after five minutes inazima ghafla na kujiweka katika standby mode, naomba msaada shida ni nini?
Zoezi hili limekuwa endelevu, nikiizima wiki nzima inaweza onyesha vizuri kama Haina shida, nilimuita fundi ikamshinda, shida ni nini?
Naomba msaada nafahamu wanajamvi mnaweza nipa...
Wanalenga nini hasa hili kundi?
Kumuomdoa incumbet mamlakani? kwa hoja na mipango gani...
Kupata nguvu na nafasi za kisiasa kwa kushiriki na kushinda uchaguzi?
Je wanatumia mbinu na mtindo gani wa mawasilianao ya wao kwa wao na kuwasiliana na umma?
Na je wanayo winning formular ya kushinda...
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Nyuzi zangu zote huwa zinapotezwa, ukibaki huu, nauliza Mfumo ni nini?
Ni Mazingira ya kuwasaidia walalahoi wainuke au ni mazingira ya kuchukua kila cha walalahoi?
Kichwa cha habari chajitosheleza, yaani mambo yamelala mno ule usharpness haupo, kujali hakupo. Kitu cha dk 2 kinachukua dk30. Aisee hii ni hatari, Serikali mlala mno.
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.
Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.
Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu...
Moja ya Bweni la shule ya Msingi ya green hill iliyoko Pugu Kajiungeni,Ilala Dar es Salaam liliungua moto tarehe 9.01.2024 (Siku moja naada ya kufungua shule) na baadhi ya wtoto kujeruhiwa vibaya, Hatujasikia vifo.
Ila hakuna taarifa ya chanzo cha moto huo na pia taarifa kamili ya athari...
Miaka mingi iliyopita, nilipokuwa nimetoroka kutoka kwa Warusi na nilipokuwa nikipitia njia yangu ya polepole na yenye uchungu kuvuka Ulaya ili hatimaye nifikie nchi huru, nilipata nafasi ya kufika Berlin iliyoharibiwa na vita kisha kushambuliwa na Warusi wakatili. Nilikuwa nikitembea...
Wengine wanasema mapenzi matamu hakuna mfano hasa mkitokea kupendana, kuaminiana, kuheshimiana nk
Wengine waliowahi kutendwa hawataki hata kusikia habari za mapenzi,
Wengine wamepoteza maisha kwa sababu ya vivu wa kimapenzi,
Wengine waliwasomesha wapenzi wao kwa gharama kubwa mwisho wa siku...
Tangazo la kitabu kipya kuhusu taaluma ya Ujasusi. Bei sh 45,000/= (free delivery jijini Dar, mikoani sh 5,000/=). Whatsapp/M-Pesa 0767-340-975
Yaliyomo kitabuni
👉Maana ya ujasusi
👉 Historia ya Ujasusi
👉 Aina za Ujasusi
👉 Ujasusi wa kimtandao
👉Ujasusi kama nyenzo ya diplomasia
👉Ujasusi...
Binafsi napenda sana kujisomea. But, bado sijawahi elewa kwanini wasomaji wenzangu wana huu utamaduni wa kuset malengo ya kusoma Idadi fulani ya vitabu kwa mwaka. I find the whole idea as flawed sababu unaufanya usomaji kuwa racing and not grasping the knowledge!
Mfano, ukiweka malengo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.