Upendo ni
upekee wa Mungu alioudhihirisha kupitia YESU:
1) Alitupenda tukiwa
hatustahili upendo wake
"Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu."
Waroma.5.8.BHN
2) Alijitoa / aliacha vya
hadhi ya juu kwa ajili yetu
"Bali, kwa hiari yake mwenyewe, aliachilia hayo yote, akajitwalia hali ya mtumishi, akawa sawa na wanadamu, akaonekana kama wanadamu.
Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani."
Wafilipi.2.7-8.BHN
3) Alitoa
uhai wake kwa ajili yetu.
"Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake."
Yohana.15.13.BHN
So ili kuthibitisha kama mtu
kapenda au
anakupenda atiki pote hapo:
Unakuta mtu kutwa kukutoa
kasoro kukueleza kwanini hufai. Kukosoakosoa. Wanakwambia judge them by their past. Forgive but never forget.
Mtu baada ya muda
anakuacha / anakusaliti akafuate anavyoona vyenye hadhi ya juu zaidi. Wanakwambia tafuta pesa ule vitu vizuri.
Na kuhusu uhai ndo kabisa

wanakwambia umezaliwa peke yako utakufa peke yako.
No one is coming to save you.
Kulikuwa na this
joke some time back: majambazi waliingia ndani wakawaweka mume na mkewe chini ya ulinzi, wakawaona majambazi yanajitayarisha kubaka, mume akamuambia mkewe sasa wewe tulia kila watakachotaka kubali tu ili wasitudhuru. Jambazi likamuita mwanamke kumuuliza mafuta yako wapi wanataka kumfuata mumewe yeye mke atoke. Mke akaenda kuwaonyesha akamuambia mume wangu wamesema ni wewe wanakutaka so kama tulivyokubaliana tulia ufanye yote wanayotaka wasitudhuru

.
Mungu ndiye Upendo, hakuna atakayekupenda zaidi yake,
though I beleive if the
Spirit of God truly dwells in that person then God's character will be reflected through them. Indeed they will love you even when you don't deserve it, they will sacrifice themselves for you and surely they will die for your sake.