Hisia ni nini?🤔

Hisia ni nini?🤔

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
3,896
Reaction score
8,904
Je, hisia ni nini?

Mara nyingi utasikia mtu akisema baada ya jambo kutokea
Nilihisi tu itakuwa hivi au
Kabla hii issue haijatokea, nilihisi kuna kitu hakipo sawa
Maneno haya hujitokeza mara nyingi baada ya tukio husika kutokea

Je, hisia ndizo zinazoitwa machale?
Wengine husema :Machale yalinicheza

Hapa tnajiuliza, je hisia na machale ni kitu kimoja au kuna tofauti?
Hisia ni kitu gani hasa?

Zipo aina mbalimbali za hisia, kama vile
Hisia za maumivu
Hisia za furaha

Na ile hali ya kuhisi jambo fulani kabla halijatokea, mfano kuhisi hatari iliyo mbele

Je, inawezekana ku control hisia zako?
Je, unaweza kuzifanya ziwe nzuri au mbaya kulingana na hali?
Ni namna gani mtu anayetawaliwa na hisia anaweza kujinasua na kutumia akili zaidi?
Karibuni kwa mjadala 🙏

ShesRise_1
 
Je, hisia ni nini?
Mara nyingi utasikia mtu akisema baada ya jambo kutokea
Nilihisi tu itakuwa hivi au
Kabla hii issue haijatokea, nilihisi kuna kitu hakipo sawa
Maneno haya hujitokeza mara nyingi baada ya tukio husika kutokea
Je, hisia ndizo zinazoitwa machale?
Wengine husema :Machale yalinicheza
Hapa tnajiuliza, je hisia na machale ni kitu kimoja au kuna tofauti?
Hisia ni kitu gani hasa?

Zipo aina mbalimbali za hisia, kama vile
Hisia za maumivu
Hisia za furaha
Na ile hali ya kuhisi jambo fulani kabla halijatokea, mfano kuhisi hatari iliyo mbele

Je, inawezekana ku control hisia zako?
Je, unaweza kuzifanya ziwe nzuri au mbaya kulingana na hali?
Ni namna gani mtu anayetawaliwa na hisia anaweza kujinasua na kutumia akili zaidi?
Karibuni kwa mjadala 🙏

ShesRise_1
Nina 😴🛌💤, nitajibu kesho

giphy.gif
 
Hisia ni hali ya ndani ya mtu inayohusiana na moyo au akili, kama vile furaha, huzuni, hasira, au woga. Kwa kifupi, hisia ni namna mtu anavyojisikia kuhusu jambo fulani. Kisayansi hisia ni mechanism ya mwili inayoongozwa na parasympathetic nervous system ambayo inatumika zaidi kwnye kukabiliana na maamuzi ambavyo hayana control ya ubongo ambayo mara nyingi ni pale mwili unapojudge emergency na kutaka kitendo cha haraka ambacho kingepitia kwnye ubongo kingechelewa kufanyiwa maamuzi, kama vile unapokutana ghafla na simba maamuzi ya hapo ni hisia za kifo na unaweza kukuta umeruka shimo ambalo kawaida akili isngekutuma uruke!

Mtu mwenye kutawaliwa na hisia anaitwa ana emotional immaturity au ana low emotional quotient so hafanyi maamuzi kwa kufikiria sawasawa anarukaruka tu km anafanya emergency
 
Back
Top Bottom