news

  1. Mkikuyu- Akili timamu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Japanese working in kenya will no longer pay Taxes..Meanwhile more taxes added on kenyans

    Rasmi sasa: Ukoloni mambo Leo..Nchi ya kijinga
  2. Ferruccio Lamborghini

    JamiiForums Tanzania Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

    Msanii wa Bongo Fleva anayependa kiki Bongo, Hamorapa amekamatwa na polisi, leo Jumamosi, Mei 8, 2021, katika Ukumbi wa Hotel ya Kebbys, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari. Kukamatwa kwa Harmorapa kunatokana na kauli yake aliyoitoa akidai kuwa mtoto wa...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mohammed Hussein Tshabalala 'asinya' Simba SC mbele ya Kocha Mkuu Profesa Gomez

    Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa. Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu. Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu. Klabu...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Wimbo wa attitude wa Harmonize yafikisha views million 3 ndani ya masaa 27 you tube. Hii ni record ya aina yake inawekwa na Harmonize. Kama anatania vile lakini ndio anachukua kijiti Cha king of bongofleva kwasasa. Tumsuport jeshi ili tupate kuongeza international artist from Tanzania.
  5. digba sowey

    JamiiForums Tanzania Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin. Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita ======...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba yapewa siku 14 kulipa kodi ya ardhi jumla ya Tshs milioni 77

    Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam ( kupitia Baraza la Ardhi na Nyumba) imeipa Klabu ya Simba muda wa siku 14 kulipa tshs milioni 77 kama fidia ya kodi ya ardhi vinginevyo mali za Klabu hiyo ikiwemo kiwanja cha Bunju kitashikiliwa au kitauzwa Utekelezaji wa agizo hilo...
  7. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Lawd hamercy!! This can’t be!!

    Is this really real or my mind is playing tricks on me? Everyone involved in this phuckery got to go.
  8. Tronics guru

    JamiiForums Tanzania Meli ya Evergiven yaanza kuelea Suez Canal

    Ever Given, the massive container ship blocking Egypt’s Suez Canal for nearly a week, has been partially refloated, the Suez Canal Authority (SCA) said, raising hopes the busy waterway will soon be reopened. Monday’s move comes a week after the container ship ran aground in high winds, blocking...
  9. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyanya wa Barack Obama, Bi Sarah Obama afariki dunia

    Nyanya (Bibi) wa Barack Obama amefariki. Habari hii ya huzuni imetangazwa na Ktn news. Pole kwa familia ya Obama. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. -- Mama Sarah had been sick for a while and died while undergoing treatment at Jaramogi Oginga Odinga Teaching and Referral Hospital in...
  10. Ndebile

    JamiiForums Tanzania ISIS Wameuteka Mji wa Palma Kaskazini mwa Msumbiji

    Habari ya hivi punde kutoka kituo cha televisheni cha France24, Mungu ibariki Msumbiji, Mungu ibariki Afrika.
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania ITV News Uingereza yaeleza hali ya Corona Tanzania

    Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini. Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mbaroni kwa kusambaza uzushi Mtandaoni kwamba Rais Magufuli ni Mgonjwa. Kigogo wa Twitter naye anasakwa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa. Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita...
  13. HIMARS

    JamiiForums Tanzania Hii Coming 2 America sijaielewa...

    Jamani maoni yenu kuhusu hili dude, naliona. Lina matusi mno Haifai kwa watoto Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  14. Niwahi_Kibangi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IXAfrica breaks ground on data center campus in Nairobi, Kenya

    IXAfrica has broken ground on an 18MW data center in Nairobi, Kenya. Speaking during the ground breaking ceremony, IXAfrica chairman Guy Willner said that the data center will be IXAfrica’s first after years of delays and is on track to be East Africa’s largest ‘hyperscale-ready’ campus. The...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Nigeria's Ngozi Okonjo-Iweala appointed WTO Director-General

    Hon Dr Ngozi Okonjo- Iweala from Nigeria is appointed as the next WTO Director General. Dr Okonjo Iweala makes history as the first woman and the first African to lead the WTO. Her term stars on the 1 /03/2021. ====== Nigeria’s Ngozi Okonjo-Iweala was appointed the seventh...
  16. rosemarie

    JamiiForums Tanzania South African Government Minister Jackson Mthembu dies of Covid-19

    Minister in the Presidency Jackson Mthembu Minister in the Presidency Jackson Mthembu died of Covid-19-related complications on Thursday, just 10 days after testing positive for the disease. President Cyril Ramaphosa described him as "an exemplary leader, an activist and life-long champion of...
  17. N

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Hackers hatari duniani waidukua serikali ya Uganda

    ukitaka kujipakulia ujionee mambo ingia. hapa ni hatari sana. info.csv - AnonFiles
  18. Mag3

    JamiiForums Tanzania US Joint Chiefs call riot a ‘direct assault’ on the constitutional process, affirm Biden as next commander in chief

    The Joint Chiefs of Staff, the group of the most senior uniformed leaders at the Pentagon, issued a force-wide statement Tuesday condemning the riot at the Capitol as a “direct assault” on Congress and the constitutional process and affirming President-elect Joe Biden will become the nation’s...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Simba SC kushinda leo dhidi ya FC Platinum hatimaye CAF yatangaza Tanzania mwakani kuingiza timu nne

    Nasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi CL iliyopo. Taarifa: Mtandao rasmi wa CAF Ni matumaini yangu sasa Timu zingine zote hasa ile yenye Washamba wengi nchini Tanzania itaitii na Kushukuru kubebwa sana tu na...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Walter Bwalya asajiliwa Al Ahly

    Jamaa alitoka Nkana akaenda timu ndogo huko Egypt kagongesha magoli hadi ma-giants wamemchukua. Hongera sana Bwalya naona ndugu yetu Okwi huko Al Itihad hata namba ni shida kupata.
Back
Top Bottom