GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa.
Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu.
Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu.
Klabu zote za Afrika Kusini au Uarabuni zikimuhitaji basi tutawapa ( tutawauzia ) kwa Tsh Milioni 500 tu pekee.
Yaani Tshabalala atoke anakokula Kuku na Mrija 24/7 aende wanakogombania Maukoko ya Ugali, Mnafu na Maharage yaliyochacha Yanga SC? Hivi mpo serious kweli nyie?
Asante Mo Dewji na Asanteni Simba SC.
Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu.
Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu.
Klabu zote za Afrika Kusini au Uarabuni zikimuhitaji basi tutawapa ( tutawauzia ) kwa Tsh Milioni 500 tu pekee.
Yaani Tshabalala atoke anakokula Kuku na Mrija 24/7 aende wanakogombania Maukoko ya Ugali, Mnafu na Maharage yaliyochacha Yanga SC? Hivi mpo serious kweli nyie?
Asante Mo Dewji na Asanteni Simba SC.