ndoa

  1. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Sherehe za ubatizo, ndoa, kifo, mahari,hitma nk sasa kutozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako

    Sherehe za ubatizo, Ndoa, kifo, mahari,hitma nk Sasa zinatozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako. Hii ni aibu Kubwa kwa Serikali hii. https://t.co/pDXnXxa4zD
  2. Grand Canyon

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Mahusiano ya kimapenzi na ndoa hayana formula maalum?

    Jackson alimwoa Jackline ndoa ikavunjika, Jackson anadai Jackline hana heshima,mmbea,akirudi nyumbani ni kelele mwanzo mwisho, Jackline anadai Jackson hayuko romantic na anampiga mara kwa mara. Hassan alimwoa Rehema na ndoa ikavunjika, Hassan anadai Rehema hana heshima ,mmbea na ni mtu wa...
  3. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wenye ajira hizi wanapata shida kwenye Soko la Ndoa. Wanaume huwakwepa

    Kumekuwa na malalamiko sana kutoka kwa Makundi haya ya Wanawake kuhusiana na mtizamo wa Wanaume wengi juu ya Kazi zao. 1. Wanasiasa 2. Manesi 3. Masekretari 4. Askari/ Wanajeshi 5. Wanasheria 6. Wafanya biashara wanaosafiri safiri 7. Air hostess 8. Wasanii Wanaume wengi wamekuwa wakiogopa kuoa...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Unatarajia kufunga ndoa karibuni? (Honeymoon experience)

    Kama unatarajia kufunga ndoa karibuni chukua nafasi ya punguzo la bei kwa safari za utalii lililosababishwa na na janga la CODID-19 kula fungate (honeymoon)kwenye mbuga maarufu duniani ya Serengeti. Tegemea ushauri wa kitaalamu kutoka kwa muongoza watalii mwenye uzoefu wea miaka 14 aliyeongoza...
  5. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ikiwa changa raha sana

    Mkiwa mnaishi wenyewe bado kupata watoto, ndani ya mjengo mkubwa ni raha sana. Alafu uwe na mzigo wa maana, unaweza kuiona dunia yote ni ya kwako. Tunasema hapo maisha ni full shangwe, hakuna kuchelewa kufika nyumbani, muda wote unatamani muwe wawili tu kwenye eneo lenu la kujidai. Vijana...
  6. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahari na Tendo la Ndoa vina uhusiano gani?!

    Money Penny me bado sijaelewa, kwani Mahari na Tendo la Ndoa vinaingiliana vipi?! Money Penny: kwanini?! Mdau: huyu bwana amenilipia mahari milion 8, lakini tangu tufunge ndoa NI kama ananilioiza mahari aliolipa Money Penny: analipizaje sijaelewa Mdau: huko kitandani ananifanya Kwa nguvu...
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano ya kimapenzi na tendo la ndoa

    Wakuu inakuwaje pale unapoanzisha mahusiano ya kimapenzi na binti kisha kuwekeana au kumwekea msimamo wa kufanya tendo la ndoa baada ya kuwa mmeunganishwa kwa ndoa tu, yaani hakuna kujuana kimwili mpaka ndoa, kwanini inakuwa ngumu kwa binti kuvumilia hili na kusubiri tendo la ndoa mpaka ndoa...
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Suala hili la ndoa na usaliti

    Wakuu habarini za kazi, poleni majukumu na shughuli za hapa na pale katika kujitafutia mkate wa kila siku na imani mko vizuri. Tuingie kwenye point, kiukweli mimi ni kijana wa miaka 25 nimekuwa member wa muda mrefu sana wa JF toka nikiwa na miaka 21 katika kusoma comments za watu mbali mbali...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

    Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana...
  10. Abdul mrope

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhaifu matano (5) yanayodidimiza Mahusiano na Ndoa

    Makala hii ni tafakari huru kuhusu mambo ya msingi katika mahusiano. Hapa utapata tafakari ya maana ya maneno na imani ambazo zinatutatiza wengi wetu. 1. Mchanganyiko mkubwa kuhusu maana ya mahusiano, mapenzi na ndoa: Labda kipengele hiki tuanze kwa kueleza kuwa kunaweza kuwepo ndoa, lakini...
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni jambo la Kheri lakini wa dada msiache ndoa iwafanye muwe watumwa wa mapenzi

    Kila mtu anapenda kufunga ndoa na kuwa na familia. Bahati mbaya kwetu wanawake ni mwanaume anaefanya maamuzi kuwa huyu ndiye ananifaa katika safari ya maisha. Hapa hakuna formular wengine watapenda binti mzuri, wengine wanapenda kwasababu ni kabila moja, wengine wanapenda msomi ni mambo...
  12. ubnt

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi ambaye atakuwa mke wangu wa ndoa soon

    Habarini ndugu zangu, nimeingia kwenye jukwaa ili kutafuta mpenzi wa kike ambaye ataenda kuwa mke wangu ivi karibuni: SIFA ZANGU: Urefu: Ni mrefu wa wastani Umbo: sio mnene wala sio mwembamba sana. Rangi: Maji ya kunde Dini: Christian (RC) Elimu: Degree 1 Status: Single na sijawahi kuwa na mke...
  13. Stroke

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani sahihi ya kufunga ndoa, unakoendeshea shughuli zako au ilipo asili yenu?

    Mfano unaishi mji A ambao ndiko makazi yako na ndiko unapoendeshea shughuli zako za kila siku, kiasi kwamba watu wako unaoshirikiana nao kila siku wanapatikana Mji huo. Pia, una makazi yako Mji B ambako huko ndio asili yako, wazazi, ndugu na jamaa wengine wanapatikana kwa wingi. Utafunga...
  14. palahingwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau: Kuwahi kumaliza Tendo la Ndoa na kuchelewa kipi kina madhara? Na kipi ni sahihi?

    Habari ndugu zangu Naombeni msaada wa kutambua kuhusiana na hoja tajwa hapo juu. Generation ya leo tunashuhudia vijana, na hata rika za kati kwa madai ya kuwahi kumaliza tendo la ndoa na wengi wao kutafuta dawa kukabiliana na tatizo.
  15. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ametoka na millionaire miaka 20 bila ndoa wala mtoto

    Nilikuta hii stori kwenye Women Magazine, inamhusu dada mmoja mzaliwa wa Urusi lakini ni raia wa Uingereza. Aliwenda Uingereza na wazazi wake akiwa mdogo. Jina lake Natasha. Natasha akiwa na miaka 20 na mwanafunzi wa chuo kikuu, alikuwa binti mwenye kujipenda sana. Siku moja akiwa amejipamba...
  16. kikoozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi wa kike ambaye kama itapendeza tutafunga ndoa

    Hello, I hope you are all fine,poleni na Majukumu ya hapa na pale back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa. Huu ni wasifu wangu: Jinsia- am a Boy,miaka 30 Kimo- mrefu, rangi maji ya kunde. Umbo-mwili wa kawaida si mnene...
  17. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Fahamu hili kabla hujaamua kuacha ndoa au kutoka nje!

    Never give up on one another. Love can overcome all forms of hate. Love is strong. Love is real. Hold on to it and never let go. Also. Always. Love God!!!
  18. Pi Network

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa inayodumu inaanza kama hivi...

    Kila ndoa ina historia yake hasa kuhusu jinsi wahusika walivyo kutana, mlolongo wa mahusiano yao na mpaka kutokezea kwenye ndoa. Hii ni ndoa ambayo kwa kweli binafsi nimevutiwa nayo. Nawe nakukaribisha kuitazama kisha utoe maoni yako.
  19. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Tuunde Sheria mpya ya Ndoa kwa mtindo huu ili kuepuka upweke

    LET US CREATE NEW LAW IN BREAKING MARRIAGE or MARRIAGE TO BE COME DIVORCED ITSELF AFTER SEPARATION. Hey, my Funs to day DON NALIMISON a Musician, Human Rights Defendant and Security Affair Advisor giving you some points to show that a Marriage has already broken in Law an Fact due to one party...
  20. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni yupi kati ya hawa wahusika wakiingia kwenye ndoa hutulia?

    Aliyefanya uhuni sana katika ujana wake halafu akaingia katika ndoa, na yule ambaye hakufanya uhuni katika ujana wake akaingia kwenye ndoa. Ni yupi akiingia katika ndoa hutulia? na ni kwanini hutulia?
Back
Top Bottom