ndoa

  1. Sky Eclat

    Ametoka na millionaire miaka 20 bila ndoa wala mtoto

    Nilikuta hii stori kwenye Women Magazine, inamhusu dada mmoja mzaliwa wa Urusi lakini ni raia wa Uingereza. Aliwenda Uingereza na wazazi wake akiwa mdogo. Jina lake Natasha. Natasha akiwa na miaka 20 na mwanafunzi wa chuo kikuu, alikuwa binti mwenye kujipenda sana. Siku moja akiwa amejipamba...
  2. kikoozi

    Natafuta mpenzi wa kike ambaye kama itapendeza tutafunga ndoa

    Hello, I hope you are all fine,poleni na Majukumu ya hapa na pale back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa. Huu ni wasifu wangu: Jinsia- am a Boy,miaka 30 Kimo- mrefu, rangi maji ya kunde. Umbo-mwili wa kawaida si mnene...
  3. uttoh2002

    Fahamu hili kabla hujaamua kuacha ndoa au kutoka nje!

    Never give up on one another. Love can overcome all forms of hate. Love is strong. Love is real. Hold on to it and never let go. Also. Always. Love God!!!
  4. Pi Network

    Ndoa inayodumu inaanza kama hivi...

    Kila ndoa ina historia yake hasa kuhusu jinsi wahusika walivyo kutana, mlolongo wa mahusiano yao na mpaka kutokezea kwenye ndoa. Hii ni ndoa ambayo kwa kweli binafsi nimevutiwa nayo. Nawe nakukaribisha kuitazama kisha utoe maoni yako.
  5. Civilian Coin

    Tuunde Sheria mpya ya Ndoa kwa mtindo huu ili kuepuka upweke

    LET US CREATE NEW LAW IN BREAKING MARRIAGE or MARRIAGE TO BE COME DIVORCED ITSELF AFTER SEPARATION. Hey, my Funs to day DON NALIMISON a Musician, Human Rights Defendant and Security Affair Advisor giving you some points to show that a Marriage has already broken in Law an Fact due to one party...
  6. Equation x

    Ni yupi kati ya hawa wahusika wakiingia kwenye ndoa hutulia?

    Aliyefanya uhuni sana katika ujana wake halafu akaingia katika ndoa, na yule ambaye hakufanya uhuni katika ujana wake akaingia kwenye ndoa. Ni yupi akiingia katika ndoa hutulia? na ni kwanini hutulia?
  7. 5

    Mnalionaje hili la wakati wa kudamshi bado sekunde chache mtoto anaamka anataka kuanguka kitanda

    Nimeona nililete hapa kwa wataalamu wa mambo yetu kwa wale walio kwenye ndoa labda tayari wameshapata mtoto 1 ivi au zaidi. Kuna wakati unakuwa na hamu sana na mama watoto mpaka unafika ule wakati unakuwa upo kileleni labda bado kama sekunde kadhaa kukamilisha taratibu mtoto anaamka na...
  8. Super Villain

    Nilikuwa kahaba nikiwa kwenye ndoa

    Purity Wanjiru alitoroka kwao na kuanza kuishi maisha ya utotoni akiwa na umri wa miaka 13 Kila anapokumbuka alikotoka maishani, Purity Wanjiru hudondokwa na machozi asijue la kufanya. Purity ambaye ni mama wa watoto wawili anasema hakuwahi kufikiria kwamba kuna wakati angeuza mwili wake...
  9. Abdallahking

    Nilivunja Ndoa Zangu 3 Kulipiza Kisasi (Kisa Cha Kweli)

    Mkasa : NILIVUNJA NDOA ZANGU 3 KULIPIZA KISASI Mwandishi: IRENE MBOWE (Irene Mbowe Kungwi Lao) Imeletwa kwenu na: BURE SERIES KISA CHA UKWELI ANACHOSIMULIA CHARLOTE, ANASEMA HIVI, MAJIBU YA MAMA WA HAWARA WA MUME WANGU YALIVYOSABABISHA NIKAVUNJA NDOA TATU. Charlote, mwanamke aliyeishi kwenye...
  10. SumadaVinci

    Kama sex ingekuwa sababu ya ndoa...

    If SEX can make a man, marry you then all prostitutes would be married. A man commits where he has PEACE. Be his PEACE & he'll run to you be his WAR & he'll run from you
  11. Pdidy

    Mambo manne ambayo mwanaume ayajue kabla ya kukukuruka na ndoa

    4 THINGS EVERY MAN MUST KNOW ABOUT A WOMAN BEFORE MARRIAGE 1) THEY LOVE COMPLIMENTS It is wicked for your wife to put effort into her looks, taking care of you (and the kids) and making you happy daily and you never pay her any compliments. In fact that kills her moral and spirit. Women...
  12. Pdidy

    Mume hanyimwi tendo la ndoa. Mpe haki yake, soma maandiko

    Ndoaa NYINGI zinapoanzaa kuchokana hutumia tendo LA NDOA kuadhibiana Hii n moja ya SUMU KUBWA KWENYE NDOA.mkifika.stage hii inahitaji MMOJA wenu ama wote kusimama nafasiyake na kumwomba Mungu Awaweke SAWA else mkishindana mtatuongezea majani pale kinondoni ama mbwen na ununioo Anza kuchukua...
  13. Mzukulu

    Huenda Wanawake wengi wangekuwa na Hekima na Busara ya hali ya juu kama huyu Dada, basi Ndoa zingedumu na Wanaume tungeacha hata Kuwasaliti

    " Mfano nimekuta mume wangu anacheat na mwanamke mwingine ninayemfahamu, siwezi kumfuata yule mwanamke nikamtukana, nitaanza na mume wangu na kumuuliza kwa sauti ya upole " - Riziki. globalpublishers Tatizo ni kwamba Wanawake wenye Utu, Hekima, Upendo na Busara kama ya huyu Dada Mungu Baba...
  14. Abdallahking

    Ndoa ilivyoteteresha imani yangu (Kisa Cha Kweli)

    Mkasa : NDOA ILIVYOTETERESHA IMANI YANGU Mwandishi: IRENE MBOWE (Irene Mbowe Kungwi Lao) Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Hiki ni kisa cha ukweli kabisa, anachokielezea Flora, Mwanamke ambaye anakiri Imani yake kutereteka kwa sababu ya Ndoa yake. Alikuwa na alilelewa kwenye familia yenye...
  15. I

    Raha ya sisi tulio kwenye ndoa

    Wana JF jamani tuseme ukweli sisi tulio kwenye ndoa ni kama tuko paradiso ndogo; hakuna kuhangaikia tena kutafuta au kupigwa kalenda, yaani nikiingia tu ndani naambiwa "karibu baby, unakula kwanza au utakula baadae ukimaliza kula" yaani mpaka raha.
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Msimsimange, mie nampenda hivyo hivyo

    Ni mrembo hakika, kwa sura na umbo ameumbika. Tatizo hataki kuoga, linapokuja swala la kuoga ni ugomvi mkubwa. Yeye huwana uso, husugua makwapa, na kuiosha Tukuyu, baada ya hapo ndio Hadi kesho. Mswaki anapiga vizuri kabisa. Hana tabia yoyote mbaya, nyumba Safi Kama peponi, adabu ndio mahali...
  17. Money Penny

    Pandisha Mzuka wa Tendo la Ndoa Kwa Misamiati ya kimapenzi

    Juzi nilipelekwa Buza, Kwa mara ya pili maana Buza NI kubwa Sana Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti Basi akapita binti mwenye Shepu yake, babu mmoja akamwambia Yule binti, "Mariam nakuja huko huko...
  18. Chizi Maarifa

    Katika ndoa ukiona tatizo huliwezi tengeneza tatizo lingine utakalo limudu

    Mke wangu mkali balaa, papuchi ananipa kwa ratiba. Feminist...still ananipiga bit kuwa siku agundue nina mchepuko ataanza na huo mchepuko kwanza kuufanya kitu ambacho hautajuta. Ni mjeuri mpaka nlishawahi mwamba mbata mara kadhaa na bado akawa analia huku ananisema kijeuri.siku nikaamua...
  19. Carleen

    Hivi hii nadharia ya kila pendo la kweli lazima liishie kwenye ndoa ipo sahihi?

    Hi guys, Naomba kufahamishwa usahihi wa hii nadharia ya kila mnayependana kwa dhati ni lazima muonane ina ukweli kiasi gani? Maana ukizungumzia tu upendo wa dhati halafu hayo mazungumzo yasiishie kwenye ndoa hakuna anayekuelewa kama kweli mlipendana. Hivyo natamani kufahamishwa kuwa je ni...
  20. Mzukulu

    Wabobezi wa tendo la ndoa na hata lile la uzinifu hii nadharia ina ukweli?

    Kwamba.... Ukiona Siku yoyote ile unafanya Mapenzi (Unanyiriana) ama na Mkeo au Mpenzi (Demu) wako na ukaona hiyo Siku Ufanisi wake na Bidii yake Kitandani imeongezeka maradufu basi hapo tambua Jambo moja wapo kati ya haya nitakayoyaorodhesha hapa chini... 1. Anakuzuga kwakuwa ametoka Kufanywa...
Back
Top Bottom