Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,042
- 20,403
Kuna mtu kanipa kisanga hapa nimeona niwashirikishe ili nimshauri. Kijana anaishi Mbeya kabila Msangu kaoa mwanamke Mnyakyusa. Baada tu ya kuoa mama wa binti akahamia kwa kijana (mkwe wake] na kuacha familia yake huko Uyole.
Baada ya miezi 6 mama mkwe akaleta wajukuu zake wanne pale kwenye ndoa mpya [ndoa ya binti yake] na hawa watoto ni wanafunzi wanasoma shule ya bweni hivyo wakifunga wanafikia hapo.
Hii familia ni ya kilokole na hata mkwe ni mlokole. Kwa sasa familia hii imekuwa na watu 7, yaani Mume, mke, mama mkwe na wajukuu wa mama mkwe wanne.
Kijana wa kiume anasema hapati muda wa mapenzi na mkewe kwakuwa mke muda wote anakaa na mama yake mzazi sebuleni. Mama mkwe ndiye anaamua cha kupikwa, muda wa kusali, nyumba ikae vipi na mambo mengine kama hayo.
Mume kasusa tendo la ndoa maana kitanda kinapiga kelele na kipo karibu na sebule ambapo watoto wanakuwa wanaangalia TV.
Mke wa huyu rafiki yangu hajui kama ameolewa na mbaya zaidi ni wale watoto wameolewa kutokea nyumbani, hawajawahi kukaa gheto, yaani kahamishia familia yake yote hapo kwa mume.
Je, nimshauri awe anafanya mapenzi na mkewe hata kama mama mkwe yupo sebuleni na anasikia miguno ya utamu?
Huyu kijana ananiambia ukimuona mtu saa moja asubuhi yupo BAA anakunywa Pilisner baridi au ukiona mtu ananunua madada-poa muombee, hajapenda ila shida za kijinga kama hizi ndizo zinaleta stress.
Naombeni ushauri ili na mimi nimpe, JE, amchane laivu mama mkwe kwamba hamtaki ama amwambie mkewe kwamba nyumba ni ya wawili na siyo familia kubwa?
Baada ya miezi 6 mama mkwe akaleta wajukuu zake wanne pale kwenye ndoa mpya [ndoa ya binti yake] na hawa watoto ni wanafunzi wanasoma shule ya bweni hivyo wakifunga wanafikia hapo.
Hii familia ni ya kilokole na hata mkwe ni mlokole. Kwa sasa familia hii imekuwa na watu 7, yaani Mume, mke, mama mkwe na wajukuu wa mama mkwe wanne.
Kijana wa kiume anasema hapati muda wa mapenzi na mkewe kwakuwa mke muda wote anakaa na mama yake mzazi sebuleni. Mama mkwe ndiye anaamua cha kupikwa, muda wa kusali, nyumba ikae vipi na mambo mengine kama hayo.
Mume kasusa tendo la ndoa maana kitanda kinapiga kelele na kipo karibu na sebule ambapo watoto wanakuwa wanaangalia TV.
Mke wa huyu rafiki yangu hajui kama ameolewa na mbaya zaidi ni wale watoto wameolewa kutokea nyumbani, hawajawahi kukaa gheto, yaani kahamishia familia yake yote hapo kwa mume.
Je, nimshauri awe anafanya mapenzi na mkewe hata kama mama mkwe yupo sebuleni na anasikia miguno ya utamu?
Huyu kijana ananiambia ukimuona mtu saa moja asubuhi yupo BAA anakunywa Pilisner baridi au ukiona mtu ananunua madada-poa muombee, hajapenda ila shida za kijinga kama hizi ndizo zinaleta stress.
Naombeni ushauri ili na mimi nimpe, JE, amchane laivu mama mkwe kwamba hamtaki ama amwambie mkewe kwamba nyumba ni ya wawili na siyo familia kubwa?