mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ndoa ni chama cha majukumu makubwa sana, majukumu ya kujenga familia na kujenga jamii bora na baadae taifa bora. Tulio kwenye ndoa tupongezane na wanaotegemea kuingia chamani mjue tuu hili ni jukumu zito lenye raha na starehe ndani yake na linalohitaji watu wawili wenye upendo wa kweli, upendo ulio mkuu.
Starehe na raha ya ndoa haishushwi kama mana ilivyoshushwa kwa wana wa Israel kule jangwani bali inapatikana kwa kila mmoja kuwajibika katika nafasi yake na kujitoa kwelikweli.
Cc Kuhani Noah Ushimen mrangi Extrovert Equation x
Happy school fees week kwa wazazi wote
Starehe na raha ya ndoa haishushwi kama mana ilivyoshushwa kwa wana wa Israel kule jangwani bali inapatikana kwa kila mmoja kuwajibika katika nafasi yake na kujitoa kwelikweli.
Cc Kuhani Noah Ushimen mrangi Extrovert Equation x
Happy school fees week kwa wazazi wote