Katafute pesa/kazi ya uhakika ili uwe na ndoa nzuriWanaume makini tupo ila hatuna pesa, unawashauri vipi hapo?
Ulitimiza hayo ndoa Inanoga Sana mkuuKatafute pesa/kazi ya uhakika ili uwe na ndoa nzuri
We una pesa/kazi ya uhakika? Una ndoa nzuri?Katafute pesa/kazi ya uhakika ili uwe na ndoa nzuri
Weee tracebongo si umeomba ushauri, au!!??We una pesa/kazi ya uhakika? Una ndoa nzuri?
Sasa kama huna pesa endelea kuzitafuta. Mwanaume ndio kichwa kiongozi na mlinzi wa familia yake.Wanaume makini tupo ila hatuna pesa, unawashauri vipi hapo?
Huyu dada Shusho ana Roho wa MunguWanaume makini wapo..... tena wengi tuu. Kabla ya kufanya maamuzi piga goti umshirikishe Mungu, sikiliza moyo wako huku ukishirikisha ubongo wako.
View attachment 1658928
Kumekua na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa lakini za kuambiwa changanya na zako
Sasa unategemea angekuwa bora bila kuwa na vigezo hivyo??? Nashauri tena wazidi kuvipandisha juu hadi mbinguni ili vicholechole vishindwe kuvifikia, au vikipanda vinakutana na Malaika Gabrieli angani, mpaka waokoke ndipo mengine yaendeleee.Huyu dada Shusho ana Roho wa Mungu
Wenye masikio wamesikia.
Wanaume wazuri wapo kama ilivyo kwa wanawake wazuri ambao pia wapo,wengi sana wanao faa.
Bahati mbaya vigezo ndiyo huharibu kila kitu
Hakika Shusho ana roho wa MunguHuyu dada Shusho ana Roho wa Mungu
Wenye masikio wamesikia.
Wanaume wazuri wapo kama ilivyo kwa wanawake wazuri ambao pia wapo,wengi sana wanao faa.
Bahati mbaya vigezo ndiyo huharibu kila kitu
Takwimu zinaonesha wazi kati ya mambo 8 makuu yanayosababisha kukosa furaha ndoani, michepuko, mahusiano hafifu, ugomvi & talaka --- namba moja ni uchumi duni wa wanandoa. Likelihood ya ndoa kudumu penye pesa ni kubwa sana. Yaani, kwa mfano halisi, hakuna mtu mwenye anaamini Zari & Diamond wameachana. It is as though yuko anafanya business tu huko ila wangali mtu na mzazi mwenzie.Wapo wanaume wenye mapesa mengi lakini ndoa bado zimekua ngumu. Pesa ni muhimu ili maisha yaende lakini kupata mke sahihi ni muhimu zaidi
Utumwa??? Unaruhusiwa kubandika jina lolote upendalo, but ukweli haubadiliki. Kuna watu chakula fulani wanaita ZEGE! Note kwamba ndoa must be and should be sooooooooooooo sweeeet a thing not to miss.Ndoa ni utumwa kama utumwa mwingine tu, sema ndoa ni utumwa wa hiari!
Utandawazi unatupeleka kasi lakini tujue tuu kuna vitu havitabadilika..... Kwa asili na kwa imani zetu mwanamke ndio mwangalizi wa nyumba na mwanaume ndio mpangaji na mtafutaji mkuu.Takwimu zinaonesha wazi kati ya mambo 8 makuu yanayosababisha kukosa furaha ndoani, michepuko, mahusiano hafifu, ugomvi & talaka --- namba moja ni uchumi duni wa wanandoa. Likelihood ya ndoa kudumu penye pesa ni kubwa sana. Yaani, kwa mfano halisi, hakuna mtu mwenye anaamini Zari & Diamond wameachana. It is a though yuko anafanya business tu huko ila wangali mtu na mzazi mwenzie.
Ni kwel mkuu,mwanaume ambae hana pesa huwa na mapenz ya kwel na humhudumia mke wake ipasavyo ktandan kwa kumpga shipa la kimkakati.....najsemea Mimi wakati sina helaWanaume makini tupo ila hatuna pesa, unawashauri vipi hapo?
Ukikutana na anayekukamilisha na wewe ukawa ndie unayemkalisha ndoa ni paradiso. Tatizo siku hizi vijana siku hizi wanaangalia vitu vya now na kusahau kuzisoma tabia na mioyoNdoa ni utumwa kama utumwa mwingine tu, sema ndoa ni utumwa wa hiari!