Yvonne Ndege is an international journalist, and media and communications professional. She started her career at the British Broadcasting Corporation, as a graduate trainee in London, United Kingdom.
Salamu kwenu,
Kumekuwa na kelele nyingi kuwa ndege zetu hazina maana yoyote kwa mwananchi wa kawaida. Watu wanaenda mbali zaidi kuhoji ikiwa flyovers za Dar es Salaam zina umuhimu wowote kwa watanzania waishio vijijini, mikoani huko.
Ukiangalia hizi hoja, unapata picha mbili. Ya kwanza ni kuwa...
Wadau, habari zenu?
Naomba kujua aina ya ndege (flight) inayoweza kunipatia huduma ya kusafiri toka Tanzania (Dar) kwenda Namibia (Windhoek).
Ni aina gani ya flight? Nauli ni kiasi gani (one way, go & return)? Wakala gani anaweza kunisaidia? Contact number ya wakala?
Assuming all other...
Kati ya Jambo linaloigharimu CCm kila siku Ni kuwekeza kwa Mwenyekiti na dola kuliko kuwekeza kwa wananchi.
Wananchi kwa namna Hali ilivyo wanatambua hata ungekuwa na utajiri mkubwa kiasi gani lakini watu wakakosa Uhuru ipo siku utajiri huo utapotea.
Tunajenga vitu na ni Jambo jema ila...
Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
Serikali imesema ndege aina ya Bombardier Q400 itaanza safari zake za kuruka na kutua katika Kiwanja cha ndege cha Songea ifikapo Septemba mwaka huu ili kufungua fursa za kiuchumi na kijamii.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, ameyasema hayo akiwa mkoani Ruvuma...
Sijatua hapa KIA tangu 2016. Jana nimetua hapa kwa mara nyingine. Kama ningezibwa macho nikasafirishwa mpaka hapa then nikaachiwa nione bila matangazo na mabango yaliyoko hapa kwa haraka haraka nisingeweza kutambua kama pale nilipokuwa ni KIA, asimilia kubwa
ya miundombinu imeboreshwa na...
Niliposikia Kenya na Tanzania wamefikia muafaka kuhusu kusafiri kwa ndege kati ya Dar es Salaam na Nairobi, nilidhani kwamba makubaliano haya yangehusu pia usafiri wa shuttle kati ya Arusha na Namanga. Kufika Arusha naambiwa hakuna kitu cha namna hiyo, bado wanaoruhusiwa kuvuka mpaka pale...
Kiwanja kinauzwa chanika Nguvu kazi kipo mita 900 toka barabara ya ram.kuna umeme .barabara ipo mpaka kwenye kiwanja .Ni eneo Endelevu,Tambarare.ujenzi ni rahis sana mchaka unapata hapo hapo kwenye kiwanja .ukumbwa miguu 38 kwa 20.bei maelewano.cmu 0713 95 92 90 ,0685 65 55 35
Mataifa ya nje ukiharibu biashara zao wanakuwekea vikwazo na kukunyima misaada
Safari mataifa ya ulaya na Marekani wamegoma kutoa misaada ya Hali na Mali kea vyama vya upinzani Tanzania Baada ya wao kupinga bungeni na nje ya bunge kuwa serikali isinunue Ndege za bombarier na Boeing
Sasa hivi...
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya...
Kenya iliposema lazima kila Mtanzania anayekuja huku apimwe kwanza, Watz walipiga makelele sana humu, wakafunga mipaka,
wakalipuka lipuka kwa kauli za kiajabu, ila baadaye walikubali yaishe maana hadi leo hakuna anayepita huo mpaka bila kupimwa, labda wanaotoa hongo kwa polisi wetu mafisadi...
Tanzania na Kenya wafafanua suala la kuzuia Ndege
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (TCAA), Hamza Johari, amesema kuwa sababu iliyopelekea na wao kuzizuia Ndege za Kenya kutua nchini ni baada ya nchi hiyo kuzuia ndege za Tanzania kutua kwao na kuongeza kuwa hali ya namna hiyo ni...
Ama kwa hakika mambo si shwari. Naona ndege za Tanzania nazo zimeanza kupata hitilafu kama ile ya Kenya
---
Akizungumza jijini Nairobi wakati akitoa taarifa kuhusu mwendendo wa maambukizi ya janga la Covid-19 nchini Kenya, Waziri wa Usafirishaji James Macharia amesema kuwa anga la Kenya...
Hivi sijui kama hawa watu wanajua Tz kuna ndege mpya 8.
===
The Government has announced that international flights will resume starting August 1 with China and Zimbabwe among countries allowed air travel to Kenya.
According to Transport CS James Macharia, agreed protocol dictates that...
Wenzetu Kenya Airways wametonywa, ndege zao ambazo hazijaruka hewani muda mrefu, watalazimika kuzipeleka service nzito, ama sivyo kuna hatari ya engine zake ku- stall (kuzima) hewani.
Kwa hiyo Air Tanzania vile vile wauchukue mtonyo huo na kuufanyia kazi.
US issues safety alert for 10 KQ Boeing...
Haijafahamika kama walitimuliwa au ndege ilikatazwa ruhusa ya kutua au kitu gani, ila wajumbe hao ambapo humo kuna viongozi, walifika Tanzania na ndege kugeuza nao, bado inasubiriwa ieleweke nini haswa mbivu na ipi mbichi. Waziri wa Tanzania bwana Kabudi amesema hali ya hewa ndio ilikua mbovu...
Jana nikiwa msibani Tegeta, kwa nyuma nilisikia wazee wakilaani kitendo cha mdada mmoja. Mfanyakazi wa ndege aliejiua S. Africa #KISA MWANAUME
Katika maongezi nilijitahidi kutaka kusikia ni kampuni gani marehemu alifanya, mwenzie aliongea Kiingereza usitaje jina. Kilichoniumiza zaidi, marehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.