Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo

____________

Shirika la Ndege la Precision Air limetangaza kusitisha kurejeshwa kwa safari zake za Nairobi nchini Kenya kutokana na uhitaji mdogo. Taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imesema watatangaza ratiba mpya hivi karibuni

Uamuzi huo unakuja siku chache baada ya gazeti la Business Daily kumnukuu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Safari za Ndege (KCAA), Gilbert Kibe akisema kampuni ya Precision Air ina haki za usafiri ambazo hazitaathirika licha ya sintofahamu iliyopo kati ya Tanzania na Kenya

Mamlaka ya Usalama wa Anga (TCAA) imezuia mashirika manne ya ndege kutoka Kenya kutua nchini. Mashirika hayo ni Kenya Airways, AirKenya Express, Fly540 na Safarilink Aviation
 

MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo
Hahahaha haha nataman kucheka Kwa sauli nimetoka kusema asubuhi tu hapo hata huku wanapokimbilia Kwa kujua Shikari hilo TZ hawatolifungia Kwasababu letu dawayao inachemka sasa nadhani ishaiva Yani hawa ndio dawa yao hii kila kamba wanayoshika tunakata c wametaka kujua nguvu ya TANZANIA wacha tuwaoneshe wanazani TZ nguvu yake ya kupewa na wazungu ya kwenye makaratasi kama Ke ?
 
Mwanaume kutoa milio ya kike unamaanisha nini?

Turudi kwenye mada. Unadhani hiyo itaongeza mapato kwenye kampuni hiyo ya ndege?
Kaka wewe hujui kinachoendelea ndio sababu mtizamo wako ni mfupi sana, lengo la Kanya lilikua ni kuweka mazingira magumu kwa wasafiri watokao Tanzania kuingia Kenya, jambo hilo lingewafanya watalii wanaotaka kutembelea hizi nchi mbili kushukia Kenya na sio Tanzania, hilo lingeumiza sana utalii wa Tanzania na kuifaidisha Kenya, wewe wacha kuangalia faida ndogondogo ya nauli za ndege na kusahau pesa nyingi za utalii.
 
Roho mbaya ya ukabila wao huko huko ,halafu nimeiona ile misanii yao isiojuak uongea inafosi kuomba inafanya interview WCB inakuwaje wanaruhusiwa bila ya karantini inabidi Wakenya wote nao wawekwe karantini ili waonje raha yake
Ni life goals kwa msaanii wa kenya kuperfom Tanzania na kufanyiwa interview wasafi
 
Hivi mnafahamu hata wamiliki wa hiyo kampuni?
Sio kazi yetu kazi yetu kuona anajibiwa sawa na swali lake na sio kinyume shenzi , mpaka waseme ATCL tumeiruhusu bila ya kukaa karantini wasijifanye kuzunguka zunguka hapa kuchagua shirika kenye hisa yao inamana wakipanda ndege ambayo wanahisa yao tu korona inakua hamna ? Yaki rombaya na chuki zingine za kitoto
 
Kaka wewe hujui kinachoendelea ndio sababu mtizamo wako ni mfupi sana, lengo la Kanya lilikua ni kuweka mazingira magumu kwa wasafiri watokao Tanzania kuingia Kenya, jambo hilo lingewafanya watalii wanaotaka kutembelea hizi nchi mbili kushukia Kenya na sio Tanzania, hilo lingeumiza sana utalii wa Tanzania na kuifaidisha Kenya, wewe wacha kuangalia faida ndogondogo ya nauli za ndege na kusahau pesa nyingi za utalii.
Unajua kuwa waweza kuta kuna familia unaiongoza !
 
Kaka wewe hujui kinachoendelea ndio sababu mtizamo wako ni mfupi sana, lengo la Kanya lilikua ni kuweka mazingira magumu kwa wasafiri watokao Tanzania kuingia Kenya, jambo hilo lingewafanya watalii wanaotaka kutembelea hizi nchi mbili kushukia Kenya na sio Tanzania, hilo lingeumiza sana utalii wa Tanzania na kuifaidisha Kenya, wewe wacha kuangalia faida ndogondogo ya nauli za ndege na kusahau pesa nyingi za utalii.
Yani ifaidike kampuni nchi ipate hasara wakati nchi inaweka mazingira mazuri ndio maana mpaka hao wawekezaji wanakuja sasa nchi ikiwa inapata hasara kuna faida gani ya hiyo biashara hii ndio China ya Africa mashariki wataelewa tu
 
Back
Top Bottom