Uchaguzi 2020 Lissu badala ya kueleza sera hugeuza mkutano kuwa Darasa la Sheria akitumia daftari zake za Mwaka wa Kwanza Chuo Kikuu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Ukweli Lissu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea urais.

Anapata shida mno kueleza sera za CHADEMA na hasikii raha na ujasiri wa kuzielezea na hawi na flow nzuri. Na Hakawii kuacha kueleza sera na kuhama kugeuza mkutano kuwa law classroom badala ya political campaign meeting.

Lissu badala ya kueleza sera hugeuza mkutano kuwa darasa la Sheria akitumia daftari zake za mwaka wa kwanza chuo kikuu.

Kwa mentality yake sio ya CHADEMA wala wasikilizaji yeye anaamini kuwa kazi ya mgombea uraisi ni kutoa tuition ya sheria sababu ndilo Hitaji kuu la wananchi.

Haamini moyoni mwake kuwa watu wanahitaji maji barabara, nk ndio maana inampa shida mno kunadi sera za CHADEMA.

Hadi sasa hajaweza kunadi sera za CHADEMA kwa ufasaha kiasi hata mtu akitoka mkutanoni ukimuuliza mtu akwambie sera alizodikia ni zipi, hakuna.

So far kunadi sera za CHADEMA kumemshinda. Ni vigumu my present kitu usichokikubali au kukiamini usemi huu umedhihirika kwa Lissu anashindwa kabisa kunadi sera za CHADEMA

Sijui CHADEMA wafanyaje lakini mgombea wao hiyo kazi ya kunadi sera yao kumemshinda au hataki lakini kwa maoni yangu na ukimwangalia usoni akiongea naona hataki kabisa kunadi sera za CHADEMA na hana mpango nazo.
 
Kiongozi unatuabisha wana CCM wote humu JF

Kwanini usijifunze kujenga hoja at least kama Pascal

Kila siku ni vichekesho, ngonjera, Mipasho na umbea tu

Yakupasa kuja na suluhisho kuhusu hizo hoja za lisu anazoongea mfano TRA kuumiza wafanyabiashara

Au kwanini Money circulation imekuwa dhoofu

Mipasho na taarabu mnatuabisha wana ccm hapa JF

Sasa wote tunaonekana akili kama zako

Toeni suluhisho, Kama huyo anatoa darasa la sheria ndio muda wa kuwaambia kuwa Mgombea wetu hatavunja katiba za nchi na atazingatia sheria kama alivyozingatia miaka mitano aliyomaliza.
 
Ukwell Lisu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea uraisi

Anapata shida mno kueleza sera za chadema na hasikii raha na Janeiro wa kuzielezea na hawi na flow nzuri
Na Hakawii kuacha kueleza sera na kuhama kugeuza mkutano kuwa law classroom class badala ya political campaign meeting

Lisu badala ya kueleza sera hugeuza mkutano kuwa darasa la sheria akitumia daftari zake za mwaka wa kwanza chuo kikuu

Kwa mentality yake sio ya chadema wala wasikilizaji yeye anaamini kuwa kazi ya mgombea uraisi ni iutoa tuition ya sheria sababu ndilo Hitachi kuu la wananchi

Haamini moyoni mwake kuwa watu wanahitaji majii barabara,nk ndio maana inampa shida mno kunadi sera za chadema

Hadi sasa hajaweza kunadi sera za chadema kwa ufasaha kiasi Bata akitoka mkutanoni ukimuuliza mtu akwambie sera alizodikia ni zip hakuna.

So far kunadi sera za chadema kumemshinda.Ni vigumu my present kitu usichokikubali au kukiamini usemi huu umedhihirika kwa Lisu anashindwa kabisa kunadi sera za chadema .

Sijui chadema wafanyaje lakini mgombea wao hiyo kazi ya kunadi sera yao kumemshinda au Hataki lakini kwa maoni yangu na ukimwangalia usoni akiongea naona hataki kabisa kunadi sera za chadema na hana mpango nazo
Sasa ni dhahiri kabisa Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako....

hakuna jiwe litalosalia juu ya jiwe!
 
Lisu kampeni anaongea kama anaongea na Elites ,middle class na high class people ambao mahitaji yao makubwa wanayohitaji ni freedom of expression, new constitution na medical insurance!

Lissu kajiweka kwenye high class speaking to high class audience!

Wakati Magufuli kajikita kwenye Low class audience ambao ndio wengi NA NDIO WAPIGA KURA WENGI akiwaelezea mahitaji yao halisia wanayohitaji kama maji, umeme, shule za bure, barabara nk na anawatimizia na kuaahidi kuendelea kuwatimizia.

Lisu anaeleweka zaidi kwa baadhi ya wasomi wa mijini anachoongea ndio maana hata wanaopigia makofi kwenye hotuba zake ni wa kuhesabika sababu mtu kukuelewa ukisema tunataka uhuru wa kuongea hakuelewi anasema mbona sisi huwa tunaongea tu mitaaani na hadi kutukanana lakini hatujawahi zuiwa.

Ukiongelea uhuru wa mikutano hawaelewi ya nini ina maana watu wasifanye kazi wawe wanashinda mikutanoni

Ukisema katiba mpya ndio kabisa umechemka watu wa kawaida hawaelewi chochote kwao katiba iwepo isiwepo wanachohitaji ni mahitaji yao yatimie kama barabara, maji, hospitali nk ndio maana Slogani ya Magufuli ni ya kusema mimi ni Raisi wa wanyonge

Lisu sio siri hawezi ku present sera hakujiandaa. Kugombea uraisi sio kitu cha kukurupuka huhitaji maandalizi na kuandaliwa sio hasira ohh nimepigwa risasi nagombea uraisi!!!
 
Haki inaendana na Sheria. Hiyo ni hatua katika kujua haki za msingi.
 
Lisu kampeni anaongea kama anaongea na ELites ,middle class na high class people ambao mahitaji yao makubwa wanayohitaji ni freedom of expression,new constitution na medical insurance!!!

Lisu kajiweka kwenye high class speaking to high class audience!!!

Wakati Magufuli kajikita kwenye Low class audience ambao ndio wengi NA NDIO WAPIGA KURA WENGI akiwaelezea mahitaji yao halisia wanayohitaji kama maji,umeme,shule za bure ,barabara nk na anawatimizia na kuaahidi kuendelea kuwatimizia

Lisu anaeleweka zaidi kwa baadhi ya wasomi wa mijini anachoongea ndio maana hata wanaopigia makofi kwenye hotuba zake ni wa kuhesabika sababu mtu kukuelewa ukisema tunataka uhuru wa kuongea hakuelewi anasema mbona sisi huwa tunaongea tu mitaaani na hadi kutukanana lakini hatujawahi zuiwa

Ukiongelea uhuru wa mikutano hawaelewi ya nini ina maana watu wasifanye kazi wawe wanashinda mikutanoni

ukisema katiba mpya ndio kabisa umechemka watu wa kawaida hawaelewi chochote kwao katiba iwepo isiwepo wanachohitaji ni mahitaji yao yatimie kama ,barabara,maji,hospitali nk

Lisu sio siri hawezi ku present sera hakujiandaa.Kugombea uraisi sio kitu cha kukurupuka huhitaji maandalizi na kuandaliwa sio hasira ohh nimepigwa risasi nagombea uraisi!!!
Magufuli anajinasibu kuwa yeye ni Rais wa wanyonge na anajua kweli kuwanyonga hao wanyonge.
Elimu bure ni bora elimu watoto 100 darasa moja na mwalimu mmoja.

Mama kule kijijini aliendelea kujifungua ni lazins anunue mpaka gloves za mkunga.

korosho aliwapoka wakulima.
 
Back
Top Bottom