Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,466
- 2,642
Wasalaam.
Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema.
Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya wanyonge ilivyowakopa na kuwadhulumu wakulima wa pamba, korosho na tumbaku.
Inasikitisha jinsi ilivyowakopa wafanyakazi wa umma stahiki zao km;
1.likizo
2.uhamisho
3.eScott
4.kupanda madaraja
5.mafao kwa wastaafu n.k
Hitimisho: kama serikali hii ina pesa na ni tajiri kulikua na sababu zipi za kutesa wananchi wako kwa kuwakopa visenti na kununua midege na kujenga uwanja chato kwa mabilioni ya pesa?
Ova.
Maendeleo yana vyama
Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema.
Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya wanyonge ilivyowakopa na kuwadhulumu wakulima wa pamba, korosho na tumbaku.
Inasikitisha jinsi ilivyowakopa wafanyakazi wa umma stahiki zao km;
1.likizo
2.uhamisho
3.eScott
4.kupanda madaraja
5.mafao kwa wastaafu n.k
Hitimisho: kama serikali hii ina pesa na ni tajiri kulikua na sababu zipi za kutesa wananchi wako kwa kuwakopa visenti na kununua midege na kujenga uwanja chato kwa mabilioni ya pesa?
Ova.
Maendeleo yana vyama