Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kati ya Jambo linaloigharimu CCm kila siku Ni kuwekeza kwa Mwenyekiti na dola kuliko kuwekeza kwa wananchi.
Wananchi kwa namna Hali ilivyo wanatambua hata ungekuwa na utajiri mkubwa kiasi gani lakini watu wakakosa Uhuru ipo siku utajiri huo utapotea.
Tunajenga vitu na ni Jambo jema ila tulipokosea nikuthamini vitu tukasau utu. Hakuna daraja wala ndege wa jengo lolote linaweza kuthaminishwa na utu..nafsi ya mtu ni ghali kuliko kitu chochote.
Mnaendelea kuwekeza kwenye vitu bila uungwaji mkono wa watu Jambo linalovikosesha vitu hivyo thamani.
JK alijenga mwendo kasi akaweka na mfumo mzuri wa kuhudumia watu, awamo ya tano imeachana kabisa na miundombinu hiyo nakujikita kwen
Wananchi kwa namna Hali ilivyo wanatambua hata ungekuwa na utajiri mkubwa kiasi gani lakini watu wakakosa Uhuru ipo siku utajiri huo utapotea.
Tunajenga vitu na ni Jambo jema ila tulipokosea nikuthamini vitu tukasau utu. Hakuna daraja wala ndege wa jengo lolote linaweza kuthaminishwa na utu..nafsi ya mtu ni ghali kuliko kitu chochote.
Mnaendelea kuwekeza kwenye vitu bila uungwaji mkono wa watu Jambo linalovikosesha vitu hivyo thamani.
JK alijenga mwendo kasi akaweka na mfumo mzuri wa kuhudumia watu, awamo ya tano imeachana kabisa na miundombinu hiyo nakujikita kwen