Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa imesema shirikisho la mpira(TFF ) kuna hela zimetumika vibaya,baadhi ya watuhumiwa wameitwa kuhojiwa na nyaraka mbalimbali zimechukuliwa .
TAKUKURU imesema watu hao wana hiari ya kurudisha hela au kusubiri uchunguzi ukamilike.
Mkurugenzi wa TAKUKURU Brigadia John Mbungo amesema Kwenye shirikisho la Mpira nchini TFF Kuna Fedha zimetumika vibaya amesema baadhi ya wameitwa na kuhojiwa na nyaraka mbalimbali zimechukuliwa
> Amesema kuwa watu hao wana hiari ya kurejesha fedha ama kusubiri uchunguzi ukamilike
>. Amesema kuwa miongoni mwa fedha hizo ni zile zilizo tolewa na Rais John Magufuli
TFF wajibu > Baada ya TAKUKURU kusema itawahoji TFF kuhusu Bilioni 1 ya AFCON ya vijana iliyotolewa na Rais Magufuli, TFF yasema haijawahi kupokea fedha hizo
NB: Kuna nini TFF kwanini kila awamu inayoingia lazima ipige hela .
TAKUKURU imesema watu hao wana hiari ya kurudisha hela au kusubiri uchunguzi ukamilike.
Mkurugenzi wa TAKUKURU Brigadia John Mbungo amesema Kwenye shirikisho la Mpira nchini TFF Kuna Fedha zimetumika vibaya amesema baadhi ya wameitwa na kuhojiwa na nyaraka mbalimbali zimechukuliwa
> Amesema kuwa watu hao wana hiari ya kurejesha fedha ama kusubiri uchunguzi ukamilike
>. Amesema kuwa miongoni mwa fedha hizo ni zile zilizo tolewa na Rais John Magufuli
TFF wajibu > Baada ya TAKUKURU kusema itawahoji TFF kuhusu Bilioni 1 ya AFCON ya vijana iliyotolewa na Rais Magufuli, TFF yasema haijawahi kupokea fedha hizo
NB: Kuna nini TFF kwanini kila awamu inayoingia lazima ipige hela .