Mchungaji Lusekelo: Kwa mujibu wa Biblia mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa, hao wanaohoji baadae ni wavuta bangi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,832
141,750
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.

Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.

Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.

Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.

Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.

Maendeleo hayana vyama!
 
Based on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.

Mkulima wa mahindi
 
Huyu mzee wa uchafuzi lazima apiganie uhai wake, kwani baada ya korona kuisha sadaka zitapungua sana! Hivi nani wenye akili timamu atakwenda tena kuabudu kwa mzee wa uchafuzi!
 
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.

Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.

Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.

Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.

Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.

Maendeleo hayana vyama!
FB_IMG_1580291847911.jpg
 
You're right.
Based on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.

Mkulima wa mahindi
 
Back
Top Bottom