Watanzania tunadanganya na wabunge kwa kujifanya kama vile wanatusaidia. Bunge kwa mfumo wa sasa ndiyo sehemu ya matumizi bila faida yeyote kwa taifa
1. Kwanza Budget ambazo wanatumia muda kujadili na kuchukua pesa nyingi serikali kwenye utekelezaji hawatumii pesa kama walivyopanga. Hivyo wanapiga kelele bungeni kuombea agenda zao lakini hakuna kinacho amuliwa kutokana na mijadala. Zaidi ya miaka mitano sasa budget ni asilimia chini ya 35% ya pesa inatolewa kutokana na budget. Sasa mijadala na upotevu pesa wa nini kama serikali haifuati budget na mapendekezo
2. Hawana maamuzi yeyote kwenye majimbo yao, maamuzi ya kodi ni ya serikali na sio wabunge na hata meya ana nguvu kuliko mbunge kwenye matumizi ya pesa
Bunge lingetakiwa kuwa dogo na matumizi kupunguzwa kama tumeamua kutokuwasikiliza badala ya kupoteza pesa za wananchi. Nashangaa wamaotumia pesa kujifanya wataka kusaidia watu kwamba mtu wa chama fulani atabadilisha sehemu. Kama serikali haifuati budget ya Bunge mbunge unaleta vipi maendeleo kama sio kudanganyana. Hakuna utapeli mkubwa Watanzania tunafanyiwa kama ubunge.
Kama mapendekezo na budget za bunge hazifuatwi tusishangae wale wabunge wa zamani kama Mkono walikuwa hawaongei maana walikuwepo kulinda tu biashara zao. Walijua mawazo yao ni bure tu. Ubunge ni ulaji mkubwa kama wewe unataka kusaidia nchi fanya biashara, anzisha NGO, somesha watu, saidia hospitali n.k
1. Kwanza Budget ambazo wanatumia muda kujadili na kuchukua pesa nyingi serikali kwenye utekelezaji hawatumii pesa kama walivyopanga. Hivyo wanapiga kelele bungeni kuombea agenda zao lakini hakuna kinacho amuliwa kutokana na mijadala. Zaidi ya miaka mitano sasa budget ni asilimia chini ya 35% ya pesa inatolewa kutokana na budget. Sasa mijadala na upotevu pesa wa nini kama serikali haifuati budget na mapendekezo
2. Hawana maamuzi yeyote kwenye majimbo yao, maamuzi ya kodi ni ya serikali na sio wabunge na hata meya ana nguvu kuliko mbunge kwenye matumizi ya pesa
Bunge lingetakiwa kuwa dogo na matumizi kupunguzwa kama tumeamua kutokuwasikiliza badala ya kupoteza pesa za wananchi. Nashangaa wamaotumia pesa kujifanya wataka kusaidia watu kwamba mtu wa chama fulani atabadilisha sehemu. Kama serikali haifuati budget ya Bunge mbunge unaleta vipi maendeleo kama sio kudanganyana. Hakuna utapeli mkubwa Watanzania tunafanyiwa kama ubunge.
Kama mapendekezo na budget za bunge hazifuatwi tusishangae wale wabunge wa zamani kama Mkono walikuwa hawaongei maana walikuwepo kulinda tu biashara zao. Walijua mawazo yao ni bure tu. Ubunge ni ulaji mkubwa kama wewe unataka kusaidia nchi fanya biashara, anzisha NGO, somesha watu, saidia hospitali n.k