Naombeni ushauri kuhusu ndoa

Naombeni ushauri kuhusu ndoa

Joined
Jul 8, 2026
Posts
6
Reaction score
7
Salaam wakuu, mimi ni mwenzenu ila account yangu sijui imefanyaje na ile email walihack ila nimefungua account mpya.

Sasa ndugu zangu mimi nina 38 sasahv na ndio naingia kwenye ndoa, huyu binti nilizaa nae miaka 12 iliyopita, ila nilikuwa sijapata kibali cha kuishi nae pamoja.

Sasa naombeni ushauri je, kwa umri wangu huu kuna mambo gani ya kuzingatia ili nisifeli maana kama Mungu akinipa umri mrefu labda miaka 60 inamaana nitakaa kwenye ndoa miaka 20+, Je wakongwe nini cha kufanya na nini si chakufanya.

Natanguliza shukrani.
 
zipompa ila huyu wa kwangu naona muda wote anacheka na anapenda sana mtanange haswa usiku wa manane na asubuhi, unajua nae ni age go yeye ana 39 je inawezekana ni effect za menopouse zinaanza au labda ni nini ? Wataalamu mje mtusaidie wanandoa...
 
Salaam wakuu, mimi ni mwenzenu ila account yangu sijui imefanyaje na ile email walihack ila nimefungua account mpya.

Sasa ndugu zangu mimi nina 38 sasahv na ndio naingia kwenye ndoa, huyu binti nilizaa nae miaka 12 iliyopita, ila nilikuwa sijapata kibali cha kuishi nae pamoja.

Sasa naombeni ushauri je, kwa umri wangu huu kuna mambo gani ya kuzingatia ili nisifeli maana kama Mungu akinipa umri mrefu labda miaka 60 inamaana nitakaa kwenye ndoa miaka 20+, Je wakongwe nini cha kufanya na nini si chakufanya.

Natanguliza shukrani.
Ndoa Haina ushauri mkuu hao washauri wenyewe wanaongoza kupigiwa wake zao komaa na NAFSI yako usihishi Kwa mtazmo wa watu wengne
 
zipompa ila huyu wa kwangu naona muda wote anacheka na anapenda sana mtanange haswa usiku wa manane na asubuhi, unajua nae ni age go yeye ana 39 je inawezekana ni effect za menopouse zinaanza au labda ni nini ? Wataalamu mje mtusaidie wanandoa...
Wanawake huwajui wewe. Kama umeishi naye miaka 12 bila ndoa. Siku ukifunga ndoa, mwezi chali. Ni bora kuishi hivyo bila ndoa mpaka mzikane
 
Back
Top Bottom