MWENYEZI MUNGU akupe hitajio lakoHabari mimi mdada mwenye umri wa miaka 39 ni muajiriwa, nahitaji kuwa na mwenza awe na miaka 41 hadi 50.
Awe HIV+, Mkristo mwenye hofu ya Mungu.
Aliye tayari na serious aje PM tuzungumze.
NakuombeaHabari mimi mdada mwenye umri wa miaka 39 ni muajiriwa, nahitaji kuwa na mwenza awe na miaka 41 hadi 50.
Awe HIV+, Mkristo mwenye hofu ya Mungu.
Aliye tayari na serious aje PM tuzungumze.
Dah! Status tunaenda ila umri ndio nimeenguliwa jamaniHabari mimi mdada mwenye umri wa miaka 39 ni muajiriwa, nahitaji kuwa na mwenza awe na miaka 41 hadi 50.
Awe HIV+, Mkristo mwenye hofu ya Mungu.
Aliye tayari na serious aje PM tuzungumze.
Akimaliza apitie na huu uzi https://www.jamiiforums.com/threads...limeniharibia-feelings-na-mume-wangu.2085195/sasa nimekuelewa
Kwani sikajitambulisha ana hitaji mweny HIV+ WE jiongezeWajihi wako upoje, mnene, mweupe, mrefu, mfupi, umejazia, mwembamba mweusi.......!
All the best. Japo am not sure kama upo serious au la.Habari mimi mdada mwenye umri wa miaka 39 ni muajiriwa, nahitaji kuwa na mwenza awe na miaka 41 hadi 50.
Awe HIV+, Mkristo mwenye hofu ya Mungu.
Aliye tayari na serious aje PM tuzungumze.