nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mj maziwa jumla

    Nahitaji wanunuzi wa maziwa mazuri ya mtindi kwa jumla(kuanzia lita 5)

    MJ maziwa jumla tuna uzoefu wa miaka mingi wa kuzalisha maziwa na kutengeneza mtindi bora kabisa, kwa walioona na kunywa maziwa yetu watakubaliana na mimi Tunazalisha na kutengeneza mtindi zaidi ya lita elfu 1000 kwa siku hivo kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wakati wa kunywa maziwa...
  2. buildings tanzania

    Nahitaji business partners biashara ya dhahabu

    Wakuu Habari, Kama heading inavyosema, nahitaji watu wa kushirikiana nao katika utekelezaji biashara ya madini aina ya dhahabu. Biashara hii nimeifanyia utafiti wa masoko hasa Dar es Salaam na pia sehemu ambapo naweza kupata dhahabu nzuri purity 99%. Nahitaji partner wakushirikiana nae katika...
  3. Masai wa Town

    Nahitaji mke wa kuoa

    Namuhitaji mke ambaye Yupo tayari kwa ndoa na siyo utani. Kama Yupo aje PM. Vigezo: 1. Umri usizidi miaka 30 2. Mkristo 3. Awe anapenda ujasiriamali 4. Mweusi na Mnene 5. Asiwe amesomea kozi za sheria 6. Awe na utayari wa ndoa, Asiwe na tamaa SIFA ZANGU 1. Mkristo 2. Muajiriwa sekta...
  4. Rich Dad

    Nahitaji Pharmacy (duka la dawa) linalouzwa Kigamboni

    Kwa mwenye kuuza duka la dawa kigamboni nahitaji. Iwe ni biashara yenye vibali vyote muhimu na pia unioneshe daftari la mauzo na location iwe nzuri ya kueleweka. Nicheki inbox tuzungumze zaidi.
  5. Roving Journalist

    Ripoti ya CAG 2021/2022. ATCL, NHIF, Deni la Taifa, Vyura wa Kihansi, risiti za kielektroniki, Biswalo. Vyazua Mjadala

    Leo April 06, 2023 mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali, Charles Kichere ameongea na waandishi wa habari kuhusu ripoti ya ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22. Miongoni mwa mambo muhimu CAG amewashukuru waandishi wa habari, wenyeviti na makamu wenyeviti wa kamati za Bunge kwa...
  6. P

    Nahitaji belo ya Mavazi ya kiarabu (Arabic dress)

    Habari zenu wakuu, Naomba msaada kwa anayejuwa mtu anayeuza mtumba ya arabic dress belo kutoka Dubai, Oman or Morocco cream quality. Nashkuru
  7. Hemedy Jr Junior

    Popote alipo zumaridi nahitaji Nimsaidie

    Mtanzania wa kwanza kudai alipelekwa mbinguni kutembea uko Motoni na peponi. Afu huyu zumaridi yuko na Mamia ya watu wanakubali alichokisema. Pia anadai yuko na Kanumba pale nyumbani, Jela sio nzuri aisee.... 📌 O
  8. Bree77

    Nahitaji marafiki

    Napenda sana kujiconnect na watu wapya, hivyo natafuta marafiki wawe wa kike au kiume its okay, tubadilishane mawazo na kushare life experience, then as u know anything can happen anytime [emoji3]. Naitwa Bree niko na miaka 23, natokea Dodoma.
  9. Mr No fair

    Kwa Tanzania ni sehemu gani unaweza kupata Chemicals mbalimbali

    Mfano labda nahitaji calcium carbonate, silicone ,Polyol Nk ni sehemu gani naweza kupata vitu kama hivyo labda TDI please Nisaidieni wana jamvi.
  10. L

    Natafuta mume wa kunioa, awe HIV+

    Habari mimi mdada mwenye umri wa miaka 39 ni muajiriwa, nahitaji kuwa na mwenza awe na miaka 41 hadi 50. Awe HIV+, Mkristo mwenye hofu ya Mungu. Aliye tayari na serious aje PM tuzungumze.
  11. TAJIRI MSOMI

    Nahitaji kitabu hiki "Alkaline Herbal Medicine: Reverse Disease and Heal the Electric Body"

    Wakuu, Nahitaji kitabu hiki: "Alkaline Herbal Medicine: Reverse Disease and Heal the Electric Body"
  12. DR HAYA LAND

    Je, kuna watu walizaliwa ili waje kutatuliwa matatizo yao na watu wengine?

    Ninapotazama majira ya leo kitu nashangaa ni maisha ya mtu mweusi, 90% lengo lake la kuzaliwa ni kuja kuujaza ulimwengu na sio kuendeleza Diunia. Yaani Maisha yetu watu weusi hayana maana! Yaani unasoma, unamaliza unaajiriwa au unajiajiri, unaoa au kuolewa, unajenga nyumba na kununua gari...
  13. Dr. Zaganza

    Nahitaji fremu mtaa wa livingstone kwa ajili ya spea za gari

    Habari wakuu Mwenye kazi yake ,Nipigie kwa 0713 039 875 .Kodi hamna shida
  14. M

    Nahitaji mpenzi

    Habari wakuu, nahitaji la kuwa mpenzi, hivyo binti alie tayar anaweza Kuni pm tukayajenga. Sifa zangu Age 23 Elimu: bado nipo chuo Rangi: black, Dini: mkristo Vigezo, Age 20-25 Elimu, sio issue sana. Dini, mkristo kama ni si mkristo awe tayar kubadili. Mengine ni ziada
  15. C

    Nahitaji kazi yoyote, nipo Dar es Salaam

    Habarini wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 28 nipo Dar ni camera man video editor na graphic designer pia ni content creator. Sina kazi kwa sasa, nahitaji kazi yoyote ya kujikimu kimaisha maana kwa kazi za video production bila conmection huwezi pata, hivyo nikaona nitafute kazi yoyote ile ili...
  16. Cholowao

    Nahitaji Maziwa ya Jumla Tanga

    Hivi ni wapi naweza pata maziwa kama lita 1,000 kwa siku nikiwa Tanga?
  17. A

    Natafuta mwanamke wa kuoa, tukielewana taratibu za kuoana zitafuata

    Naitwa Jumanne Nina umri wa miaka 29 Mkazi wa Ifakara morogoro, Kwa Sasa napatikana Mwanza kikazi. Ni mrefu kiasi. Mweusi kiasi. Sio mnene. Nahitaji Mwanamke aliye tayar Kwa ajili ya kuanzisha familia. Umri kuanzia miaka 18-27. Awe mweusi kiasi. Mnene kiasi. Dini yoyote. Kabila lolote. Aliye...
  18. H

    Nahitaji ushauri juu ya Toyota Corona

    Naombeni ushauri kwa wale wanaozijua gari za Toyota corona, maana kuna mtu anaiuza na ni namba B, nipo kweny process ya kuilipia na kuifanyia matengenezo mdg mdg.
  19. I

    Nahitaji certified mbegu za maharage ya njano

    Naombeni msaada kwa atakayeweza kunisaidia kuzipata mbegu hizi. Nahitaji angalau kg 150 nifanye kilimo cha kitaalamu.
  20. S

    Nahitaji nahodha wa boti ya uvuvi

    Ndugu zangu, Nawasalimu. Nina miliki boti ya uvuvi yenye uwezo wa kuvua bahari kuu, chombo kinaweza kubeba hadi tani moja na nusu ya samaki. Kwa mazingira yetu ya Kitanzania, chombo hiki ni cha kisasa na kinatumia injini ya ndani (Inboard) ya isuzu yenye HP 95. Nahitaji nahodha mjuzi, mzoefu...
Back
Top Bottom