nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Nitapata wapi Powerful Laptop (Mobile Workstation)?

    Nahitaji laptop powerful iwe; 1. DELL au HP 2. 15 inch screen size and above 3. Numeric keyboard 4. 11th generation and above 5. Minimum Core i7 Wapi naweza pata?
  2. Afisa Mteule Drj 2

    Msaada Nahitaji Display Original ya Samsung Galaxy A10

    Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
  3. Mamujay

    Nahitaji Nyumba ya kununua iwe mabibo mwisho

    Kama nilivyo sema ninahitaji nyumba ya kununua mabibo ofa yangu mil 20 madalali wekeni picha msilete biashara za kufatana inbox
  4. Mamujay

    Nahitaji flemu ya kununua Kariakoo

    Kama nilivyo sema ninahitaji flemu ya kununua kariakoo ipo mil 10 hapa
  5. The last don

    Nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016

    Habari wadau nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016 Ninatoa 100k Nicheki 0621973591. Note: Sihitaji pirated wala cracked version. Ikiwa kwenye cd yake ni bora zaidi.
  6. UMUGHAKA

    Nahitaji kupingwa kwa hoja kwa mambo ninayo amini kuhusu watu weusi

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane. Huwezi kuniambia niendelee kuusifu Uafrika wakati kuna mambo ya kutumia tu akili ndogo tumeshindwa kuyafanya. Mfano. Taifa la Tanzania ni moja ya nchi inayopatikana kwenye hili bara la Afrika (BARA LILILOJAA NEEMA).Moja ya Rasilimali tulizonazo kama...
  7. R

    Nahitaji gari used (Saloon car)

    Salaam wakuu, Nahitaji gari ndogo kwa ajili ya matumizi na mizunguko midogo midogo hapa mjini Dar es salaam. Napendelea zaidi Spacio, Premio, Allex, Runnex, Raum, Ractic na Rumion. Bajeti yangu ni TZS 6M. Tuwasilisane kupitia namba 0622078182.
  8. M

    Mtaji kiasi gani unatosha kufanya biashara ya kuuza vifaa (accessories) za simu?

    Wakuu habari, Mtaji wa kuuza accessories za simu kama vile. Earphones, Battery, Cover, Screen protector na Charger. Unahitaji mtaji wa shingapi yaani kianzio
  9. Ricky Blair

    Naomba kujuzwa nauli za safari hizi

    Naombeni Msaada wa mabus mazuri ya luxury ya kawaida kwa routes izi na bei zake. Dar to Tanga city Tanga city to Lushoto Lushoto to Mwanza Mwanza to Dar Dar to Lindi city Lindi city to Mtwara city Mtwara city to Songea Songea to Mbeya city Mbeya city to Kigoma Kigoma to Dar. Serious answers plz...
  10. G

    Nahitaji mke aliye serious na mwenye hofu ya Mungu

    Umri wangu miaka 34. Mwajiriwa serikalini, Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo: 1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30 2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo 3. Awe mweupe au maji ya kunde 4. Awe na hofu ya Mungu 5. Awe amezaa au hajaza lakini asiwe na zaidi ya mtoto moja 6. Awe mkristo...
  11. No SQL

    Nahitaji suzuki carry ya kukodi / kununua kwa malipo ya kila mwezi

    Habari Kwa mmiliki wa suzuki carry, nahitaji kukodi kwa malipo ya mwezi au uniuzie kwa malipo ya kila mwezi.. Tutaandikishiana na dhamana zipo. Kama unayo unaweza kunichek DM tukaelewana. Naishi Kigamboni, Dar es salaam
  12. N

    Nahitaji mpenzi (Mume)

    Mimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!
  13. Financial

    Nahitaji vifungashio kama hivi

    Habari wana jf nahitaji vifungashio vya kuwekea mafuta ya kupaka mgando vikiwa na uwezo wa kutosha kuweka 500gm kilo 1 na kuendelea
  14. E

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Mambo vp wadau kama kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kujua faida na hasara kwa kufungua acc ya usd kwa kuhifadh hela naomba anifafanulie nipate uwelewa vizuri.
  15. MrWings

    Nina mtaji wa Tsh. Million 15, nahitaji muongozo

    Mimi ni kijana wa miaka 25, katika kupambana kwangu nimepata mtaji wa milion 15 nataka nianze biashara ya duka la vifaa vya umeme. Sasa naombeni muongozo (kupata mlango, kuagiza mzigo, maeneo mazuri ya kuchukulia mzigo Kwa dar, na location ya office za usafirishaji). Kwa anaye jua A to Z juu...
  16. J

    Nahitaji mwanamke wa kuoa Ana VIH +

    Hello! Mungu awababariki Niko mwanaume with 42age With VIH + and mtoto mmoja NATAKA MWANAMKE wa kuoa Same life. Mwanamke akubari ku inshi Tanzania au Rwanda Kwa SABABU Mimi nainshi Rwanda. Niko na level bachelor degree But napenda BIASHARA Sana That is the why I know Arusha ,Kilimanjaro...
  17. The bump

    Fundi simu anahitajika, nina ofisi nahitaji fundi

    Fundi simu anahitajika kama kichwa ya habari inavyosema hapo juu,fundi ninae muhitaji ni fundi makini,anaejua kazi,anaejua majukumu ya kazi yake Maeneo yote mawili software na hardware. Japo matatizo ya software sio mengi lakini fundi mwenye anajua basic tips za kuondoa FRP,FLASHING TOOLS,nk na...
  18. B

    Nahitaji mwanamke wa kuoa

    Nahitaji mwanamke wa kuoa, awe muislamu na umri kuanzia 19 Hadi 24. Aliye serious anitafute: 0678625773
  19. Bexb

    Nahitaji gari raum inayouzwa 5.5M

    Habari ya mchana wajumbe. Ninahitaji gari ya raum ile ambayo kwa hapa nchini tumeipachika jina la new model. Bajeti iliyopo ni 5.5 lakini inaweza kupanda kidogo sana. Kama unalo tafadhali naomba tuwasiliane kwa 0755965775 calls/WhatsApp nije nikague nilipie. Shukrani
  20. Superbug

    Nahitaji darubini (binoculars) mwenye ujuzi wake juu ya specifications bora na bei

    Wandugu nahitaji kununua darubini kionambali naomba kama kuna anayejua aina zake ubora wake bei zake na mahali zinapopatikana hapa tanzania. Na je sheria hazina tatizo juu ya umiliki wa darubini? Wajeda hawawezi sumbua nikiwa nayo? Asanteni
Back
Top Bottom