Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
Habari wadau nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016
Ninatoa 100k
Nicheki 0621973591.
Note:
Sihitaji pirated wala cracked version.
Ikiwa kwenye cd yake ni bora zaidi.
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane.
Huwezi kuniambia niendelee kuusifu Uafrika wakati kuna mambo ya kutumia tu akili ndogo tumeshindwa kuyafanya.
Mfano.
Taifa la Tanzania ni moja ya nchi inayopatikana kwenye hili bara la Afrika (BARA LILILOJAA NEEMA).Moja ya Rasilimali tulizonazo kama...
Salaam wakuu,
Nahitaji gari ndogo kwa ajili ya matumizi na mizunguko midogo midogo hapa mjini Dar es salaam. Napendelea zaidi Spacio, Premio, Allex, Runnex, Raum, Ractic na Rumion.
Bajeti yangu ni TZS 6M. Tuwasilisane kupitia namba 0622078182.
Wakuu habari,
Mtaji wa kuuza accessories za simu kama vile.
Earphones, Battery, Cover, Screen protector na Charger.
Unahitaji mtaji wa shingapi yaani kianzio
Naombeni Msaada wa mabus mazuri ya luxury ya kawaida kwa routes izi na bei zake.
Dar to Tanga city
Tanga city to Lushoto
Lushoto to Mwanza
Mwanza to Dar
Dar to Lindi city
Lindi city to Mtwara city
Mtwara city to Songea
Songea to Mbeya city
Mbeya city to Kigoma
Kigoma to Dar.
Serious answers plz...
Umri wangu miaka 34. Mwajiriwa serikalini, Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30
2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo
3. Awe mweupe au maji ya kunde
4. Awe na hofu ya Mungu
5. Awe amezaa au hajaza lakini asiwe na zaidi ya mtoto moja
6. Awe mkristo...
Habari
Kwa mmiliki wa suzuki carry, nahitaji kukodi kwa malipo ya mwezi au uniuzie kwa malipo ya kila mwezi..
Tutaandikishiana na dhamana zipo.
Kama unayo unaweza kunichek DM tukaelewana.
Naishi Kigamboni, Dar es salaam
Mambo vp wadau kama kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kujua faida na hasara kwa kufungua acc ya usd kwa kuhifadh hela naomba anifafanulie nipate uwelewa vizuri.
Mimi ni kijana wa miaka 25, katika kupambana kwangu nimepata mtaji wa milion 15 nataka nianze biashara ya duka la vifaa vya umeme.
Sasa naombeni muongozo (kupata mlango, kuagiza mzigo, maeneo mazuri ya kuchukulia mzigo Kwa dar, na location ya office za usafirishaji).
Kwa anaye jua A to Z juu...
Hello!
Mungu awababariki
Niko mwanaume with 42age
With VIH + and mtoto mmoja
NATAKA MWANAMKE wa kuoa
Same life.
Mwanamke akubari ku inshi Tanzania au Rwanda
Kwa SABABU Mimi nainshi Rwanda.
Niko na level bachelor degree
But napenda BIASHARA Sana
That is the why I know Arusha ,Kilimanjaro...
Fundi simu anahitajika kama kichwa ya habari inavyosema hapo juu,fundi ninae muhitaji ni fundi makini,anaejua kazi,anaejua majukumu ya kazi yake Maeneo yote mawili software na hardware.
Japo matatizo ya software sio mengi lakini fundi mwenye anajua basic tips za kuondoa FRP,FLASHING TOOLS,nk na...
Habari ya mchana wajumbe. Ninahitaji gari ya raum ile ambayo kwa hapa nchini tumeipachika jina la new model. Bajeti iliyopo ni 5.5 lakini inaweza kupanda kidogo sana.
Kama unalo tafadhali naomba tuwasiliane kwa 0755965775 calls/WhatsApp nije nikague nilipie.
Shukrani
Wandugu nahitaji kununua darubini kionambali naomba kama kuna anayejua aina zake ubora wake bei zake na mahali zinapopatikana hapa tanzania.
Na je sheria hazina tatizo juu ya umiliki wa darubini?
Wajeda hawawezi sumbua nikiwa nayo?
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.