Huku kukiwa na lundo la tuhuma kuwa utawala wa awamu ya tano umegubikwa na ubaguzi wa kikanda hatimaye Rais John Pombe Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika. Sherehe hizo kwa mara ya kwanza zinafanyika nje ya makao makuu ya nchi ukiachilia mbali...
Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa...
Wenyeji wa Mwanza naomba msaada wa kujua lodge nzuri ya kufikia Mwanza Mjini. Nina safari ya Mwanza hivi karibuni ila sina uzoefu wa wenyeji wa mjini.
Naomba anayefahamu Lodge nzuri anisaidie kujua kufahamu ila iwe mjini au maeneo ya jirani na mjini.
Ahsante.
Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Maeneo mengi hapa hakuna umeme. Hivi mgao wa umeme umeanza tena? Tulikwisha sahau kama kuna mgao wa umeme. Kama umeanza basi mtuarifu tufufue majenereta yetu.
Nakumbuka wakati Rais anatoa msamaha kufuta kesi kwa wafungwa aliahidi ifanyike na magereza mikoa mingine lakini hadi sasa bado kiza kinene.
Je lilikuwa changa la macho au wasaidizi wake hawakumwelewa?????
Au kwa kuwa Mwanza ni kanda atokayo?
1. Unascaniwa ikiwa haupo
2. Hakuna anayekujulisha kwa mdomo au text message
3. Unafanya jitihada kujua iwapo ulikuwa scanned, unaulizia kwa kutumia simu 152*00, usafiri, TARURA, deni jibu linakuja huna deni
4. Unakaa baada ya masaa kama 4 unajaribu tena jibu ni huna deni, unaachana na suala...
Serikali imesema zaidi ya watu 4,000 hufa maji kila mwaka Ziwa Victoria kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo hali halisi ya vyombo vya usafiri, uwezo wa mabaharia, ubebaji mizigo, hali ya hewa, pamoja na ziwa hilo kutofanyiwa vipimo kujua maeneo yenye miamba na kina kirefu tangu ilipofanyika...
Wakuu habari za wakati huu, kuna taarifa za chinichini japo hazijawa rasmi kuwa SHEREHE ZA UHURU mwaka huu kufanyika kitaifa jijini MWANZA, kiukweli nimeridhishwa na maamuzi haya kuleta sherehe hizi mikoani.
Rai yangu kwa SERIKALI isiishie Mwanza tu mwakani waangalie hata KIGOMA huko angalau...
Inauzwa: Nyumba kubwa ya kuishi, iko kwenye kiwanja kikubwa cha square meters 2,539 (surveyed area)
Mahali ilipo: Wilaya ya Ilemela, Busweru, Mwanza (Kilomita 2 kutoka ofisi za halmashauri ya Ilemela)
Vilivyomo:
vyumba vinne vya kulala, (master bedroom 1 na vyumba vitatu)
Sitting & Dining...
Wakuu heshima kwenu.
Kama kichwa cha thread kinavyosema nahitaji kujua kama jijini Mwanza kuna vacation house. Nafahamu kwa majiji makubwa kuna vacation house/apartment lakini sina uzoefu na Mwanza. Pls kama unafahamu itaje na location ilipo.
Heshima kwenu,
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu...
Huyu Afisa Mauzo wa METL pale Liberty Mwanza ni hovyo kabisa. Asubuhi wateja wakienda kununua mzigo unamkuta anavuta sigara na kutafuna ugoro, anamajibu ya hovyo hovyo tu kwa wateja na kiburi juu, bahati yao hakuna sehemu nyingine ya kupatia mzigo tungeshawahama.
Ujumbe huu uwafikie wahusika wa...
Wafanyabiashara wadogo maarufu machinga waliopo pembezoni mwa barabara ya Pamba na mtaa wa Sokoni jijini Mwanza, ambao wanatakiwa kuhamia soko kuu la muda eneo la kata ya Mbugani, wamezua tafrani baada ya kutaka kumshambulia mkurugenzi wa halmashauri ya jiji hilo Kiomoni Kibamba wakati akitoa...
Inapendeza kwa kweli viongozi wetu wanapoweka itikadi zao za vyama pembeni na kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na maendeleo.
Hongereni sana Dr Kigwangalla, Juliana Shonza na mchungaji Msigwa
Maendeleo hayana vyama
cc: Wakudadavuwa
Nimekuwa mtu wa kuja Dar es salaam na kuondoka mara kwa mara bila kufanikiwa kufika ndani ya majengo mawili yaliyondani ya jiji hili la dar es salaam( MLIMANI CITY & CITY MALL). Nashukuru awamu hii nimefanikwa kufika na kutembea ndani ya majengo hayo. kiukweli ni majengo ya kawaida sana katika...
Wasukuma sasa hivi wako juu ya sheria kuanzia Bashite hadi kule makao makuu, ni noooma duuh halafu majinga ya Jangwani yakasema yakapeleke mechi uskumani.
Weweeeeee jinga kabisa mngepeleka Chato stadium bora
Wewe tumekuambia mapema sana kuwa tibiwa Hospitali ya Muhimbili Mkoani Dar es Salaam utapona haraka dhidi ya Ugonjwa wako wa ‘ Pyramid Mwarabu Fever ‘ ukatuona wenye Akili akina GENTAMYCINE ni ‘ Mapopoma ‘ na ukasema kuwa unataka kwenda Kutibiwa Hospitali ya Bugando Mkoani Mwanza ambapo sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.