mwanza

  1. Jamii Opportunities

    New Internship Opportunities at FHI 360 MWANZA: Project Interns

    Position: Project Interns - Mwanza, Tanzania Location: Mwanza FHI 360 is a non-profit human development organization dedicated to improving lives in lasting ways by advancing integrated, locally driven solutions. Our staff include experts in Health, Education, Nutrition, Environment, Economic...
  2. K

    Natafuta shamba au kiwanja Mwanza/ Sengerema

    Natafuta kiwanja au shamba eneo la Busisi / Kigongo feli Mwanza au upande wa kuelekea Sengerema. Eneo liwe barabarani Ukubwa wowote kuanzia nusu hekari hadi hekari 2. -Eneo liwe barabarani linaweza kuwa na hati au halina. -Linaweza kuwa limepimwa au halijapimwa. Uaminifu ni muhimu malipo...
  3. beth

    Mwanza: Moto wateketeza vibanda vya biashara zaidi ya 30

    Vibanda zaidi ya 30 vya wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga wapatao 200 vimeteketekea kwa moto ulioanza majira ya saa 10 usiku katika eneo la Makoroboi jirani na msikiti wa Wahindi jijini Mwanza. Vyanzo vya habari vinaeleza kwamba moto huo umesababishwa na hitilafu ya umeme na...
  4. Sinister

    Kenyan Girl Running Multi-million Online Empire

    Fortune favours the bold and Ivy Kungu is one girl who decided to go after her fortunes from a tender age. Born in Baltimore, Maryland, her everyday looks and creative makeup concept have made her a huge hit across all her social media platforms. According to networthstats.com, the young...
  5. J

    RAS mpya wa Mwanza yawezekana ndiye Mbunge mtarajiwa wa Kigoma mjini atakayemrithi Zitto Kabwe

    Kama ilivyokuwa kwa Harmonize yawezekana kabisa huyu RAS mpya wa Mwanza ndiye chaguo la CCM kwa Kigoma Mjini. Wakati wa kumuapisha, Rais Magufuli amesema anampeleka kijana huyo mtaalamu wa masuala ya fedha jijini Mwanza ambako ni jirani na kwao Kigoma lakini hategemei kama atatumia ukaribu huo...
  6. M

    Ushauri: Kampuni ya Twiga ijenge jengo la Makao Makuu Jiji Mwanza waliite Madini House

    Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
  7. S

    Hivi gari za kutoka Mwanza kwenda Mbeya zinafika saa ngapi Mbeya

    Nauliza basi za Mwanza kwenda Mbeya zinafika huku saa ngapi na huwa zinalala njiani au ni moja kwa moja? Ikiwezekana nipatieni na mawasiliano yao hapo Mwanza.
  8. Barbarosa

    Sasa Mwanza tuigeuze ,,Egoli“ yetu!

    Mji wote wa Johannesburg nchini AK ulijengwa na dhahabu ya nchi hiyo, hivyo sasa tumeanza ukurasa mpya nimesikia makao makuu ya Kampuni yetu ya Dhahabu ya Twiga yatakuwa Mwanza City, hivyo hiyo ndiyo ,,Egoli“ yetu, kazi ni kwetu tu sasa, ... Egoli, AK, Mji wote wa Johannesburg ulijengwa na...
  9. Craig

    Champion Investment matapeli Mwanza

    Habari za kazi wanajamvi. Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria. Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini. Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada...
  10. James William

    Jipatie dagaa safi wa Mwanza waliokaangwa

    Kwa wale wapenzi wa dagaa safi waliokaangwa kutoka Mwanza wakati ndo huu sasa wa kuchukua mzigo unaohitaji. Tunapima kulingana na mahitaji ya mteja na mzigo ambao mteja anauhitaji. Wanaohitaji mzigo mkubwa zaidi utahudumiwa, hata kwako wewe unayehitaji mzigo kidogo utapata kuanzia sh 1000 tu...
  11. Wangari Maathai

    Nauza dagaa wa Mwanza

    Heri ya mwaka mpya. Ninauza dagaa wa Mwanza, ukitaka kuwa wakala nicheki tufanye biashara kwa bei nzuri sana na wale wanaoagiza gunia chache chek na mimi Natuma mikoa yote Tanzania Dagaa hawana mchanga kabisa, wapyaa. Mawasiliano: 0688 590080 Airtel 0626 740265 Halotel
  12. elivina shambuni

    Bil 3/- zatua Mwanza kulipa fidia ujenzi daraja Kigongo - Busisi

    JUMLA ya Sh bilioni 3.145 zimepokelewa mkoani Mwanza na Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kwa ajili ya kuwalipa fi dia wananchi. Watu hao ni watakaopisha ujenzi wa Daraja la Kisasa la Kigongo- Busisi lililopo Wilaya za Misungwi na Sengerema mkoani Mwanza. Hilo ndilo daraja...
  13. K

    Malipo ya maegesho ya magari jijini Mwanza sio haki

    Nimebahatika kutembelea jijini Mwanza mwisho wa mwaka huu na nimekutana na kitu cha ajabu ambacho sijawahi kukiona duniani kokote kuhusu jinsi ya kulipia maegesho ya gari. Mtu anakuja kuscan plate number yako bila hata wewe kujua, hivyo ni wajibu wako kujua hata kama ni mgeni kuwa unatakiwa...
  14. Influenza

    Mwanza: Achanwa tumbo hadi kutolewa utumbo kwa kuhoji matumizi ya Tsh. 10,000 aliyoacha asubuhi

    Benedictor Gogogo (48) mkazi wa kijiji Cha Itabagumba Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza nchini Tanzania amenusurika kifo kwa kuchanwa tumbo na kitu chenye ncha kali hadi utumbo kutoka nje baada ya kutokea ugomvi kati yake na mke wake. Akizungumza na Mwananchi kwa simu leo Alhamisi Januari 2...
  15. Mmawia

    Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

    Wana MWANZA wamempokea Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa shangwe na kuweka historia kwenye mkoa huo kwa kuamua kukabidhi hadhi ya Chifu wa Wasukuma. Hakika huu ni msimamo wa kujivunia sana kwa wana MWANZA na inaonyesha kuwa sasa wameanza kujua mchele ni upi na chuya ni zipi kati ya CCM na CHADEMA...
  16. Miss Zomboko

    Temesa yakanusha kuhusu magugumaji kuzuia vivuko kufanya kazi Mwanza

    TEMESA inapenda kukanusha uvumi unaoenea mitandaoni kupitia video pamoja na picha zikielezea kusimama kwa huduma za vivuko katika kivuko cha Kigongo Busisi mkoani Mwanza kutokana na kuwepo kwa magugu maji. Tukio la magugu maji lilitokea siku ya tarehe 24 Desemba 2019 na magugu maji hayo...
  17. K

    Kama una mzigo wowote unaitaji usafirishwe kutokea Dar na mikoa yote ya kati kwenda Mwanza wiki hii, pata msaada haraka

    Hello JF team, Kama una mzigo wowote unaitaji usafirishwe kwa gari aina ya Canter kutoka Dar, Moro, Dodoma, Singida, Shinyanga hadi Mwanza. Au kama unahitaji mzigo utoke kati ya mikoa hiyo na kwenda kati ya mikoa hiyo ndani ya wiki ya tarehe 30 hadi tarehe 5 January nitakusaidia. Nipigie simu...
  18. Chagu wa Malunde

    Kwa hili tukio polisi Mwanza wanapeleleza nini?

    Tukio lilitokea tarehe 26/10/2019. Watuhumiwa walikamatwa na kupelekwa ofisi ya kata ya Kahama Ilemela Mwanza. Watuhumiwa waliteswa na kupigwa na mwanajeshi akishirikana na Migambo wa mtendaji wa kata. Mtendaji wa kata alikuwepo na mwenyekiti alikuwepo. Wananchi walijazana hapo kwenye ofisi ya...
  19. F

    X-Mass in pictures Moshi, Arusha, Dar, Mwanza, Dodoma, Mbeya, Tabora, nk

    Heri ya Xmass wana JF! Karibuni tusherehekee xmass japo kwa picha. Share picha za shamra shamra za xmass hapa kutoka popote ulipo, pamoja wana JF.
  20. tereweni

    Tsh 96 billion set to transform Mwanza Airport

    Good afternoon wadau After ujio wa Rais Magufuli Mwanza; government has embarked on a sh 96bn project for the expansion and upgrading of mwanza Aiport to international standards. Ukiangalia kwa haraka unaweza sema Mwanza wamechelewa mno kwenye kurekebisha miundombinu yake ili kuendana na kasi...
Back
Top Bottom