mwanza

  1. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Watu 4000 hufa maji Ziwa Victoria kila mwaka

    Serikali imesema zaidi ya watu 4,000 hufa maji kila mwaka Ziwa Victoria kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo hali halisi ya vyombo vya usafiri, uwezo wa mabaharia, ubebaji mizigo, hali ya hewa, pamoja na ziwa hilo kutofanyiwa vipimo kujua maeneo yenye miamba na kina kirefu tangu ilipofanyika...
  2. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Sherehe za uhuru 2019 kitaifa kufanyika jijini Mwanza

    Wakuu habari za wakati huu, kuna taarifa za chinichini japo hazijawa rasmi kuwa SHEREHE ZA UHURU mwaka huu kufanyika kitaifa jijini MWANZA, kiukweli nimeridhishwa na maamuzi haya kuleta sherehe hizi mikoani. Rai yangu kwa SERIKALI isiishie Mwanza tu mwakani waangalie hata KIGOMA huko angalau...
  3. alphonce.NET

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa ipo Buswelu Mwanza Tanzania

    Inauzwa: Nyumba kubwa ya kuishi, iko kwenye kiwanja kikubwa cha square meters 2,539 (surveyed area) Mahali ilipo: Wilaya ya Ilemela, Busweru, Mwanza (Kilomita 2 kutoka ofisi za halmashauri ya Ilemela) Vilivyomo: vyumba vinne vya kulala, (master bedroom 1 na vyumba vitatu) Sitting & Dining...
  4. Delight

    JamiiForums Tanzania Kwa Wenye uzoefu na jiji la Mwanza.

    Wakuu heshima kwenu. Kama kichwa cha thread kinavyosema nahitaji kujua kama jijini Mwanza kuna vacation house. Nafahamu kwa majiji makubwa kuna vacation house/apartment lakini sina uzoefu na Mwanza. Pls kama unafahamu itaje na location ilipo.
  5. pantheraleo

    JamiiForums Tanzania Wanataka Uwanja wa Mwanza uitwe Magufuli international Airport

    Heshima kwenu, Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo. Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Afisa mauzo wa METL (Mo Dewji) pale Liberty, Mwanza ni janga

    Huyu Afisa Mauzo wa METL pale Liberty Mwanza ni hovyo kabisa. Asubuhi wateja wakienda kununua mzigo unamkuta anavuta sigara na kutafuna ugoro, anamajibu ya hovyo hovyo tu kwa wateja na kiburi juu, bahati yao hakuna sehemu nyingine ya kupatia mzigo tungeshawahama. Ujumbe huu uwafikie wahusika wa...
  7. beth

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Mkurugenzi wa Jiji anusurika kupigwa na Wamachinga waliopo pembezoni mwa barabara ya Pamba

    Wafanyabiashara wadogo maarufu machinga waliopo pembezoni mwa barabara ya Pamba na mtaa wa Sokoni jijini Mwanza, ambao wanatakiwa kuhamia soko kuu la muda eneo la kata ya Mbugani, wamezua tafrani baada ya kutaka kumshambulia mkurugenzi wa halmashauri ya jiji hilo Kiomoni Kibamba wakati akitoa...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kigwangalla, Shonza na mchungaji Msigwa kwa pamoja wakagua mabanda katika tamasha la Urithi Wetu jijini Mwanza

    Inapendeza kwa kweli viongozi wetu wanapoweka itikadi zao za vyama pembeni na kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na maendeleo. Hongereni sana Dr Kigwangalla, Juliana Shonza na mchungaji Msigwa Maendeleo hayana vyama cc: Wakudadavuwa
  9. G

    JamiiForums Tanzania Rock City ( Mwanza) vs Mlimani City & City mall ( Dar es Salaam)

    Nimekuwa mtu wa kuja Dar es salaam na kuondoka mara kwa mara bila kufanikiwa kufika ndani ya majengo mawili yaliyondani ya jiji hili la dar es salaam( MLIMANI CITY & CITY MALL). Nashukuru awamu hii nimefanikwa kufika na kutembea ndani ya majengo hayo. kiukweli ni majengo ya kawaida sana katika...
  10. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Wakuu unafanyaje ili dagaa wa Mwanza wasiwe hivi?

    I Kila nikinunua niwatunze ndani ya wiki kadhaa tu wanakuwa na vumbi na kuwa kama nimewaokota Nipeni mbinu ya kuwahifadhi bila hii changamoto
  11. N

    JamiiForums Tanzania Video: Kocha wa Yanga Zahera akizomewa na kutupiwa chupa za maji huko Mwanza

    Wasukuma sasa hivi wako juu ya sheria kuanzia Bashite hadi kule makao makuu, ni noooma duuh halafu majinga ya Jangwani yakasema yakapeleke mechi uskumani. Weweeeeee jinga kabisa mngepeleka Chato stadium bora
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi ni nani aliyewadanganyeni kuwa ukimuhamisha ' Taahira ' toka Muhimbili Dar es Salaam ataenda ' Kuponea ' Bugando Mwanza?

    Wewe tumekuambia mapema sana kuwa tibiwa Hospitali ya Muhimbili Mkoani Dar es Salaam utapona haraka dhidi ya Ugonjwa wako wa ‘ Pyramid Mwarabu Fever ‘ ukatuona wenye Akili akina GENTAMYCINE ni ‘ Mapopoma ‘ na ukasema kuwa unataka kwenda Kutibiwa Hospitali ya Bugando Mkoani Mwanza ambapo sasa...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mchezaji mahiri na muhimu Yanga SC Kelvin Yondan akosa mazoezi kisa 'chai' huko mkoani Mwanza

    Tukisema kuna 'njaa' mnakasirika na kununa. Chanzo: Gazeti la Mtanzania la 26/10/2019, ukurasa wa 21.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha: Wenye frame Mwanza wadaiwa kufadhili Uchangudoa kwa Watoto wadogo

    Nimezipata habari hizi kwa rafiki yangu Mhindi anayeishi kwenye flats za NHC jirani na hapo sokoni Mwanza kwenye stand ya magari Bwiru Inasikitisha sana ni kama Sodoma na Gomorah tena kuna hadi ka binti cha miaka 9 kanajiuza unakuta average ya wanaojiuza ni miaka 12 wakubwa ni 18 Anasema...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Huku ‘ Mwarabu ‘ akiwa tayari ‘ Kumbikiri ‘ Mtu huko Mwanza Jumapili tayari Mabondeni Mafuriko FC wameshaanza ‘ Visingizio ‘ vyao

    Kocha wa Yanga sc amesema moja kati ya vitu ambavyo wachezaji wamekosa ni malengo.. . “ Inatakiwa toka mwanzo wa msimu mchezaji aweke malengo kwamba mimi kama kiungo lazima nitoe pasi za mwisho zaidi ya kumi na kufunga magoli zaidi ya kumi ktk msimu. Lakini ukiangalia wengi wanavyocheza ni kama...
  16. Ndebile

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Hospitali ya mkoa wa Mwanza kwa ubunifu huu

    Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya ndio changamoto kubwa, changamoto nyingine ni watumishi wachache waliopo kufanya kazi zaidi ya uwezo wao. Mfano nesi mmoja kuwahudumia wagonjwa hadi 40 au zaidi kwa siku na wakati mwingine hata kunyimwa siku za mapumziko kwa sababu ya baadhi ya zamu kukosa...
  17. Parabora

    JamiiForums Tanzania Supplier wa samaki Sangara na Sato kutoka Mwanza anahitajika

    Namtafuta supplier wa samaki aina ya sangara na sato kutoka Mwanza, nahitaji kufahamu mambo haya kutoka kwake 1. Bei ya kilo moja kwa sato na sangara kwa jumla samaki wakiwa mwanza ili na mimi niwauze kwa jumla nikiwa Dar. 2. Namna watakavyozipack katika vifurushi na kuzigandisha kabla ya...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ole wako Wewe Mkuu wa hiyo ' Hospitali ' hapo Mkoani Mwanza uruhusu ' Maiti ' itolewe ili izikwe Kirumba kusudi ' Mwarabu ' afe Jumapili

    Tunawajua ndani nje na kama kuna ' Uchawi ' wenu ambao huwa kila mkiwa Mkoani Mwanza katika Mechi yoyote ngumu mnautumia na huwa unawasaidia kwa 99.9% ni wa kwenda ' Kuiba ' Maiti Usiku Hospitalini kisha mnaifukia Uwanjani na baada ya Mechi mnaifukua. Si mnajifanya mnajua Mpira na nyie ni...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam ,Dodoma na Mwanza. SIFA ZAO ★Wanajua ufundi wa magari ★Wamepitia mafunzo ya udereva ★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu ★wastaarabu ★Wasafi Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKARA wilayani Ukerewe. Wakazi wa Ukerewe wakiwa mita chache kutoka kivuko kilipozama ==== Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na...
Back
Top Bottom