Ninauza kiwanja Million 10 nafungua majadiliano kwenye bei.
Kiwanja ni kikubwa kipo Kisesa eneo la Mwandulu. Urefu 42 na upana 36.
Kiwanja ni changu kimepimwa, upimaji shirikishi.
Kiwanja kimebakia katikati pekee, hakijajengwa majirani wote wamejenga tayari.
Kwa maelezo zaidi namba yangu ni...