Tsh 96 billion set to transform Mwanza Airport

tereweni

JF-Expert Member
Aug 15, 2012
617
361
Good afternoon wadau

After ujio wa Rais Magufuli Mwanza; government has embarked on a sh 96bn project for the expansion and upgrading of mwanza Aiport to international standards.

Ukiangalia kwa haraka unaweza sema Mwanza wamechelewa mno kwenye kurekebisha miundombinu yake ili kuendana na kasi ya ukuaji wa biashara inyodhihirika miongoni mwa nchi zetu za ukanda wa EAC.

Hivyo basi kufuatia neema hiyo ya kuanza kushughulikiwa kwa uwanja wetu wa ndege tutashuhudia watu wengi wa nyanja mbalimbali wakinufaika na kukamilika kwa project iyo; wakulima, wavuvi, na wafanya biashara wa matunda nk.
 
So Chattle na Mwanza zote zitakuwa zakimataifa
FB_IMG_1576576523453.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
tereweni,
Hilo kaambiwa na rafiki yake Kagame ili autumie uwanja huo kwa ndege zake na zile za ETIHAD ambao ameingia nao mkataba mnono. Sisi kama kawaida shamba la bibi.
 
Hilo kaambiwa na rafiki yake Kagame ili autumie uwanja huo kwa ndege zake na zile za ETIHAD ambao ameingia nao mkataba mnono. Sisi kama kawaida shamba la bibi.
Mtaongea saana kipindi hiki,wakati mawaziri wa mikoa ya kilimanjaro walipokua wakihujumu inchi na kwenda kuendeleza wilaya za kasikazini wala hamkupiga kelele,mfano david creopa msuya nenda mwanga kuna lami mbk vijijini,waziri mmoja wa fedha kutoka rombo kashiliki kuhujumu ATCL mradi tu ndege shilika lenu procision likue,kuna mengi mlioyafanya serikarini na kustawisha kasikazini lakini ss wa mikoa mingine tupo kimya.kuna mkoa gani uliouzidi kilimanjaro ukiachia dar,sasa ni zamu ya mikoa mengine nyie mmeshapewa train tulieni mwanza na kusini ijengwe,mmeanzisha chama cha siasa hili mpate ridhaa ya kuongoza mtupige vizuri,mungu yupo chama chenu cha kasikazini kipo njiani kufa subirini mwakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duwex40,
Mimi si wa Kilimanjaro.

Na Kilimanjaro haijawahi kuwa na Rais wa nchi. Kuna lami zilikuwepo kabla ya uhuru.
Haya ya sasa hayakuwahi kufanya na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. That is the point!
 
M
Duwex40,
Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?
 
Sasa kilimanjaro kaeneo kenyewe kadogo. Udongo wenyewe wa mfinyanzi., bila lami huko milimani patapitika kweli ? Muwe mnatumia aklii kidogo mnapochangia kwenye jukwaa hili.
M

Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M

Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?
Hivi Mwanza kwenye kuendelea ilibebwa na nan?
 
Wakati huo umeme unapelekwa mpaka mgombani sio kubebwa mkuu. Ama kujazana TRA kisa ya mramba kuwabeba sio upendeo. Tulieni si mlisingizia shule saivi na huko wamesoma ama kuna hoja
M

Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?
 
Back
Top Bottom