johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,962
- 141,961
Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amesema chama chao kinafanya kampeni za kimkakati na kitovu cha kampeni zao ni jiji la DSM.
Mbowe amesema mgombea urais wa CHADEMA kesho atakuwa jijini Arusha na keshokutwa atakuwa jijini Mwanza kwa shughuli za kampeni.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe amesema mgombea urais wa CHADEMA kesho atakuwa jijini Arusha na keshokutwa atakuwa jijini Mwanza kwa shughuli za kampeni.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!