Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,625
- 218,056
Ratiba ya Nchi inaonyesha kwamba Mwanza kuna kongamano la BAVICHA Jumapili hii na litahutubiwa na Katibu Mkuu wa chama Mhe. John Mnyika
Ewe kijana wa Mwanza hutakiwi kukosa kongamano hili hasa ikizingatiwa kwamba , Bavicha ndio Taasisi bora kabisa ya vijana kwa sasa barani Africa , njoo upate madini yatakayokusaidia katika maisha yako yote yaliyosalia hapa duniani .
UPDATES