Habarini za usiku wanaJf,
Mchumba wangu alienda Mpanda kipindi cha Corona. Huko mambo yakabadilika ikathibitika pasiposhaka kuwa amenisaliti.
Aliporudi akaenda kwa jamaa mwingine ambapo tena akanisaliti. Nilipokuja kumbana na ushahidi wa picha za majamaa wakiwa naye live bed. Amelia kilio ananiomba msamaha eti ni shetani.
Ananiomba nimsamehe kwakuwa aliwahi kamata SMS za mwanamke kwenye simu yangu akanisamehe. Ananibembeleza kuwa kwa sasa amejifunza nimuoe hatorudia kamwe.
Je, unaweza samehe kosa la usaliti?
Mchumba wangu alienda Mpanda kipindi cha Corona. Huko mambo yakabadilika ikathibitika pasiposhaka kuwa amenisaliti.
Aliporudi akaenda kwa jamaa mwingine ambapo tena akanisaliti. Nilipokuja kumbana na ushahidi wa picha za majamaa wakiwa naye live bed. Amelia kilio ananiomba msamaha eti ni shetani.
Ananiomba nimsamehe kwakuwa aliwahi kamata SMS za mwanamke kwenye simu yangu akanisamehe. Ananibembeleza kuwa kwa sasa amejifunza nimuoe hatorudia kamwe.
Je, unaweza samehe kosa la usaliti?