Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,376
Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza CCM Mwanza lakini amepata wapi uwezo huu?
Sawa acha tuoneHamna kitu hapo ccm ndio baba lao
Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpandaHuyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Kijana halisi wa Nyamagana toka Butimba.Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
asante kwa kushirikiWewe uliyetuletea ukiwa humjui sisi tutamjuaje!
Hamuwezi kumjua sababu mmeshindwa kumuengua kihuni, utamjuaje Sasa habari zake?Wewe uliyetuletea ukiwa humjui sisi tutamjuaje!
Ccm imekufa mwanza, vp Chadema mshashinda?Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Wahuni huwa wanajiengua!Hamuwezi kumjua sababu mmeshindwa kumuengua kihuni, utamjuaje Sasa habari zake?
Wewe uliyetuletea ukiwa humjui sisi tutamjuaje!
Ndio zako ukitaka kulala!Kajambe ulale
Naona Lumumba mnaparuana tu hapo koridoni, posho hamjagawana vyema?Kajambe ulale
Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
Ni vema kujifariji. "Kwanza ni mbichi hizo"...Sungura kanena.Hamna kitu hapo ccm ndio baba lao