mtu

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ukitoka na mtu mkala kisha akakimbia, unawajibika kumlipia bill yake?

    Kisheria anatakiwa alipe bill na ya yule amekimbia au yake tu? Mwanzo kunakuwa na makubaliano ambayo mhudumu anahusika kuhusu mlipa bill?
  2. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya politics is at Next level: Gachagua to Ruto: Kama mtu anahara huwezi shona makalio, you have to deal with the real issues in the stomach

    You have to deal with the real issue within the stomach, not kushona makalio. Huwezi kutuzuia kwenda Kakamega kufanya mkutano kwa kuweka GSU, you have deal with the real issue in the stomach, not stitching the anus! Stool Itapenya tu!
  3. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Kuna changamoto kubwa Sana kwa mtu mzima kuumia au kuteswa na mpenzi, labda alichelewa kuanza mahusiano au changamoto za Kimaisha au kiafya, mimi binafsi kutokana na kujihusisha na mapenzj mapema, nimepitia mishale mingi Sana kiasi ambacho kwa Sasa haiwezekani tena kuumizwa na mpenzi, nishawahi...
  4. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana nafasi ya kuwa tajiri

    Nimeona jamaa anatuandikia nyuzi ndefu lakini ukiangalia hamna point hata moja nilitegemea nyuzi zake ziwe zinatoa suluhisho kwa kijana na mtu yoyote anayetaka kufanikiwa Niliitegemea awaambie hivi. 1.Mtumishi wa serikali/Private usiache kazi ila fanya saving ili baadaye ufungue duka, miamala...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Pikipiki ni tishio sasa, bora wangezingatia mara ya kwanza kuzibiti sheria (leseni). Kwa sasa imechukuliwa kama baiskeli kwa kila mtu

    Mabadiliko ya usafiri kwenye swala la pikipiki yamepokelewa na watu wengi hususani wale wenye vipato vya kati na chini. Lakini limekuwa tishio kwa sasa.Uwelewa wa matumizi ya barabara asilimia kubwa wanaotumia vifaa hivi wengi sio waelewa na wala matumizi ya barabara hawatahamu. Jambo...
  6. insane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona ameniacha ghafla! ana mtu au kaamua kuishi tu peke yake?

    Ipo hivi... Kuna siku nilikuwa napita mahali nikamuona mtoto wa kike jina alikuwa skola nilikuja kumjua baadae ametulia kwao hio asubuh juani akawa ananiangalia sikumsemesha nikapita zangu lakini nikigeuka nyuma alikuwa bado ananiangalia basi mimi nikaachananae tu nikaendelea na mishe zangu...
  7. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mtu jana bado kidogo abomoe na kuivunja TV tukiwa tunaangalia mpira hisia zetu tuziweke pembeni mpira una matokeo matatu

    Kuna kufungwa, kufanga na kutoka sare. Sasa km timu unayoishabikia imefungwa usichukue hisia zako ukawa na hasira kiasi cha kutaka kuvunja mpaka TV. Ilikua hivi mpira umeanza alipofungwa SA dakika za mwanzo kabisa nikaona mtu anaanza kuuma ulimi nikasema emu tusubiri tuone gemu imeendelea mpaka...
  8. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Miaka 25 Kuwa Baba wa Kambo wa Mtu wa Miaka 36, Inawezekana Kweli?

    “Mimi ni mvulana wa miaka 25, nina mapenzi na mwanamke wa miaka 55. Tunakaa pamoja na mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 36 na mvulana huyu haniheshimu kama baba yake wa kambo. Najaribu kumuelimisha kuhusu maisha lakini hasikii. Tafadhali nisaidie,nifanye nini?” Huyu ni kijana anaomba...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ni mafao gani anayostahiki kupata mtu ambaye amefukuzwa kazi serikalini

    Habari wakuu! Natumai mko poa kabisa Moja kwa moja kwenye mada hapo juu Ni mafao gani anayostahili kupata mtu qmbaye kafukuzwa kazi serikalini kwa kosa la kinidhamu? Naomba kuwasilisha wakuu
  10. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Hata Maisha yakukabe vipi Usidhulumu au kutapeli mtu

    Anayedhulumu haki ya mtu / pesa kwa kisingizio ana maisha magumu ni mwizi kama wezi wengine, kisheria anaitwa mhalifu ktk ngazi ya kidini ni mwenye dhambi.
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Shida ya kuwa mpole maofisini Utapendwa na kila mtu lakini michongo yote inakukwepa

    Dunia ya sasa yenye vita ya uchumi kila kona Ukiwa mpole sana, mstaarabu, huna ugomvi na watu, unaongea kwa sauti ya chini kama padre watu watakupenda sana. Kila mtu atasema huyu jamaa ana roho nzuri hanaga shida na mtu, ana maadili Lakini sasa ukifika muda wa michongo ndiyo utaanza kuona...
  12. Lycaon pictus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haifai: Mtu akikueleza tatizo usikimbilie kumshauri.

    Wengine wanataka tu mtu wa kumsikiliza ajihisi nafuu. We kukimbilia kumshauri ni kama unadogosha tatizo lake. Unakuwa kama unamuona hana akili anahangaika na katatizo kadogo ambako wewe unaweza kusolve ndani ya dk chache tu. Mtu akikueleza tatizo au changamoto anayopitia kwanza acknowledge...
  13. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kim Philby: Jasusi wa MI6 aliyesaliti kila mtu mpaka kivuli chake mwenyewe.

    Kisi hiki cha Kim Philby ni moja ya visa vya kusisimua zaidi katika historia ya ujasusi Duniani. Ni simulizi ya mtu aliyefika kileleni mwa idara ya siri ya Uingereza huku akiwa anaitumikia adui wao mkubwa kwa siri kwa zaidi ya miaka 30 akiwa kama double agent. Kivipi? Philby akiwa na miaka...
  14. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kim Philby: Jasusi wa MI6 aliyesaliti kila mtu mpaka kivuli chake mwenyewe.

    Kisi hiki cha Kim Philby ni moja ya visa vya kusisimua zaidi katika historia ya ujasusi Duniani. Ni simulizi ya mtu aliyefika kileleni mwa idara ya siri ya Uingereza huku akiwa anaitumikia adui wao mkubwa kwa siri kwa zaidi ya miaka 30 akiwa kama double agent. Kivipi? Philby akiwa na miaka...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu kinanishangaza. Kwanini watu waliotekwa kisha wakafariki inalazimishwa wazikwe haraka?

    Huu mchezo wa utekaji na kwa mtindo huu unazidi kuwa na nguvu sana. Nilishuudia mkoa X walitekwa watu zaidi ya wanne.Mmoja alipatikana kijiji cha mbele akiwa amefariki ila wanakijiji walipotoa taarifa polisi na polisi ikaamuru kuzikwa haraka bila kuuliza lolote. Ndugu wa marehemu walipojaribu...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Najitolea kuwa Mentor

    kama unataka kuwa na personal development, au unatafuta mtu wa kukuelekeza kwenye mambo mbalimbali kupitia falsafa. basi mimi ninajitolea kua mentor nitawaongoza watu wawili kwa mwaka mzima mentor wangu Mr Rohn alisema don't wish for less challenges, wish for more skills. don't wish for less...
  17. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Sio mapenzi, sio pesa sio Nini, jitahidi sana chozi la mtu lisidondoke wewe ukiwa chanzo. Una umiza hisia za mtu au watu, unajitapa we bingwa wa kuumiza watu kwenye mapenzi, una dhutumu una ibia watu una ua watu wanao tegemewa na familia zao, kisa pesa au kisa uonekane mzuri sana. Una kutana...
  18. E

    JamiiForums Tanzania Sumu za kummaliza mtu bila ushahidi zinapatikana Russia!?

    Katika visa na Mikasa ya kijasusi nimesikia warusi Wana sumu kali ya kuwamaliza mahasimu wao ikiwemo wasaliti kwa sumu zisizokuwa na shaka
  19. Moles_OG

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mtu anayefanya kazi NIDA Arusha

    Habari za wakati huu ndugu zangu, kwanza nikiri tu kwamba JF imekuwa msaada sana kwangu pindi ninapokuwa na issues mbalimbali, response imekuwa kubwa. Kwa leo nilikuwa naomba mawasiliano au kama kuna mtu anayefanya kazi ofisi za NIDA Arusha (Especially ofisi za Kisongo) ili nimuombe anisaidie...
Back
Top Bottom