mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Wajuvi wa sheria wa humu ndani,naomba mnijuze Katiba/sheria inauzungumziaje uongo? Au nao ni TUNU ya taifa
Nataka jicho la kisheria,au nako imeutambua uongo katika muktadha ulousema?Inategemea uongo huo umeleta hasara gani kwa taifa!!Maana sheria hutungwa kwa kuilinda Dola kwanza ndio raia wafate!!
Huna adabu!!!!Asante mkuu
Mfano waziri mkuu alidanganya kuhusu afya ya Magufuli
Raisi aliyopo naye akiwa tanga aliongopa.