Adhabu ya mtu muongo ni nini?

mtimawachi

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
2,017
3,037
Wajuvi wa sheria wa humu ndani,naomba mnijuze Katiba/sheria inauzungumziaje uongo? Au nao ni TUNU ya taifa
 
Inategemea uongo huo umeleta hasara gani kwa taifa!!Maana sheria hutungwa kwa kuilinda Dola kwanza ndio raia wafate!!
Nataka jicho la kisheria,au nako imeutambua uongo katika muktadha ulousema?
 
Back
Top Bottom