johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,750
Ni vema wale wakuu wa wilaya na mikoa wenye tuhuma za kutesa, kuteka, kuumiza na kutupa watu korokoroni bila sababu za msingi wakawekwa pembeni zama hizi za awamu ya 6.
Na Kigwangalla akawaombe radhi wale wazee aliowapigisha push up baada ya kuwahoji "mzaha siyo mzaha?" kinyume kabisa na sheria ya utumishi.
Ni angalizo tu maana kuna viongozi walishajigeuza kuwa majambazi.
Niishie hapo
Na Kigwangalla akawaombe radhi wale wazee aliowapigisha push up baada ya kuwahoji "mzaha siyo mzaha?" kinyume kabisa na sheria ya utumishi.
Ni angalizo tu maana kuna viongozi walishajigeuza kuwa majambazi.
Niishie hapo