Hivi mtu mmoja aliisimamisha nchi?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Sep 11, 2010
4,271
2,401
Najiuliza hili swali hadi nachoka. Kwa mapinduzi yanayoendelea leo kupitia awamu ya sita iliwezekanaje? Ni utii wa aina gani watu hujengewa? Au ni uoga wa aina gani watu hupandikizwa? Au ni heshima? Leo hii Rais aliye madarakani anasema ni mpumbavu pekee asiye ns akili kufikiria uhusiano na nchi jirani ni tatizo.

Leo naona barakoa kwenye matukio ya kitaifa. Ni walewale waliokatazwa leo wanavaa tena kwa uhuru na kutoa ufafanuzi kwa nini barakoa (mwanangu alikuwa akisema basikora).

Najiuliza, mfano mwendazake ndio angekuwa kamaliza muda wake halafu kaingia mama. Angefanya haya tuyaonayo ilhali mstaafu anaona?
 
Kwani shida iko wapi kujikinga .

Hata kama hakuna korona kuchukua hatua ni muhimu sana.hebu fikiria wenzetu huko india sasa hivi.
 
Ehhh mama ni kama nesi anakuchoma sindano halafu anakuambia pole mwanangu utaponaa ehhh
 
Najiuliza hili swali hadi nachoka. Kwa mapinduzi yanayoendelea leo kupitis awamu ya sita iliwezekanaje? Ni utii wa aina gani watu hujengewa? Au ni uoga wa aina gani watu hupandikizwa? Au ni heshima? Leo hii Rais aliye madarakani anasema ni mpumbavu pekee asiye ns akili kufikiria uhusiano na nchi jirani ni tatizo.

Leo naona barakoa kwenye matukio ya kitaifa. Ni walewale waliokatazwa leo wanavaa tena kwa uhuru na kutoa ufafanuzi kwa nini barakoa (mwanangu alikuwa akisema basikora).
Najiuliza, mfano mwendazake ndio angekuwa kamaliza muda wake halafu kaingia mama. Angefanya haya tuyaonayo ilhali mstaafu anaona?
Habari .

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?

Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?

Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?

Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
 
hapo ndipo unatakiwa kuogopa kweli kweli.

waswahili wanasema kimya cha msemaji kinashtusha,lakini kelele za mkimya zina mambo mengi zaidi.
 
Si alikuwa muuaji. Kila mmoja aliogopa kuuawa, SIMPLE. Masikitiko ni kuwa waliokuwa wanatumwa kuutelekeza mauaji hayo bado waako ofisini
 
Najiuliza hili swali hadi nachoka. Kwa mapinduzi yanayoendelea leo kupitis awamu ya sita iliwezekanaje? Ni utii wa aina gani watu hujengewa? Au ni uoga wa aina gani watu hupandikizwa? Au ni heshima? Leo hii Rais aliye madarakani anasema ni mpumbavu pekee asiye ns akili kufikiria uhusiano na nchi jirani ni tatizo.

Leo naona barakoa kwenye matukio ya kitaifa. Ni walewale waliokatazwa leo wanavaa tena kwa uhuru na kutoa ufafanuzi kwa nini barakoa (mwanangu alikuwa akisema basikora).
Najiuliza, mfano mwendazake ndio angekuwa kamaliza muda wake halafu kaingia mama. Angefanya haya tuyaonayo ilhali mstaafu anaona?
Hivi toka Magufuli afe hadi sasa mbona umepita muda mrefu tu kama ingekuwa kweli hawavai barakoa kwa sababu ya Magufuli basi wangekwishaanza kizivaa mapema sana ila haikuwa hivyo, ukiangalia hizo barakoa zinavaliwa pale anapokuwa rais tu ila kwengine huwaoni kuvaa.
 
Mwenye hekima akishika hata kisu mkononi mwake, bado unaweza kubishana naye. Lakini usithubutu kubishana na mtu ambaye unahisi ana matatizo ya akili, akiwa ameshika kisu.
Saa tatizo mtu mmoja kashika kisu na watu mia wanamtazama huku wakiwa na hofu ya kumpora
 
Najiuliza hili swali hadi nachoka. Kwa mapinduzi yanayoendelea leo kupitis awamu ya sita iliwezekanaje? Ni utii wa aina gani watu hujengewa? Au ni uoga wa aina gani watu hupandikizwa? Au ni heshima? Leo hii Rais aliye madarakani anasema ni mpumbavu pekee asiye ns akili kufikiria uhusiano na nchi jirani ni tatizo.

Leo naona barakoa kwenye matukio ya kitaifa. Ni walewale waliokatazwa leo wanavaa tena kwa uhuru na kutoa ufafanuzi kwa nini barakoa (mwanangu alikuwa akisema basikora).
Najiuliza, mfano mwendazake ndio angekuwa kamaliza muda wake halafu kaingia mama. Angefanya haya tuyaonayo ilhali mstaafu anaona?
Mwendazake alikuwa mwendawa.... na ndo maana jana kwenye uzi nilisema kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo na sio mfumo wajuu tu kwanzia chini kabsa ngazi za mitaa civil servants wanatatizo si wote bali asilimia kubwa haiwezekani katba inavunjwa na wanakula scrutinized wanaenda kama sijui nn people don't question themselves neither their leaders
 
Najiuliza hili swali hadi nachoka. Kwa mapinduzi yanayoendelea leo kupitis awamu ya sita iliwezekanaje? Ni utii wa aina gani watu hujengewa? Au ni uoga wa aina gani watu hupandikizwa? Au ni heshima? Leo hii Rais aliye madarakani anasema ni mpumbavu pekee asiye ns akili kufikiria uhusiano na nchi jirani ni tatizo.

Leo naona barakoa kwenye matukio ya kitaifa. Ni walewale waliokatazwa leo wanavaa tena kwa uhuru na kutoa ufafanuzi kwa nini barakoa (mwanangu alikuwa akisema basikora).
Najiuliza, mfano mwendazake ndio angekuwa kamaliza muda wake halafu kaingia mama. Angefanya haya tuyaonayo ilhali mstaafu anaona?
Unafikili mwendazake angekubali kusitaafu
 
Kwa sababu ya katiba mbovu ndio maana katiba mpya ni muhimu sana.
 
Kwa sababu ya katiba mbovu ndio maana katiba mpya ni muhimu sana.
Lakini katiba ado haina uwezo wa kushika akili na utashi watu. Sema tu kwa kuwa tunajengewa hofu na Dola inakuwa rahisi kuhofia matokeo ya kutumia mabavu
 
kodi haitakusanywa kuwaogopa wafanyabiashara, pesa itatoka wapi? itatoka kwenye mikopo, je massharti ya mikopo yakoje? ndio barakoa nakadhalika
 
kodi haitakusanywa kuwaogopa wafanyabiashara, pesa itatoka wapi? itatoka kwenye mikopo, je massharti ya mikopo yakoje? ndio barakoa nakadhalika
Inawezekana kabisa tuna corona ila haituathiri. Inawaathiri wenye vinasaba vingine. Sasa kwa kuwa sisi sio kisiwa, na kwa kuwa sisi ni carrer, na kwa kuwa tunavibeba na kuwaambukiza wengine, ni heri tukachukua tahadhari mapema hili janga likadhibitiwa ili isije kutumika nguvu baadaye dhidi yetu tukaanza kulalama
 
Back
Top Bottom