mtu

  1. APPROXIMATELY

    TAJA SHULE ULIYESOMA YA MSINGI,ikiwemo mwaka uliyoanza na kumaliza,ili upate mtu uliyesoma nae hapa jamii mpige story....

    Kama kichwa kinavyojieleza.. Naanza nimesoma shule ya msingi sanawari primary school,shule ipo arusha. Mwaka (1998-2004)..nawakumbuka walimu waliokuwa wanachapa hatari sana,kuna mwalimu mdee,mwalimu mollel,hawa sitawasahau kwa kichapo heavy. Nawakaribisha tukumbushane ya zamani...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

    Kwema Wakuu! Kuna mtu alianzisha mada hapa akiuliza swali, je wanawake wanatamani Kama wanaume? Kabla hujajibu swali hilo unatakiwa ujue kuwa Mwanamke ni Binadamu Kama wewe Kwa 100%. Ikiwa mwanamke ni Binadamu Kama wewe basi jibu la swali hilo ni ndio, Wanawake wanatamani tena sio kidogo...
  3. Saint Leo

    Kuna haja ya kuwa na mtu wa Employment opportunities kwenye kila college vyuoni

    Employment officer wa college. Habarini wanajukwaa. Najua tatizo la ajira kwa vijana wanaotoka vyuoni ni janga kwa taifa hili. Hii inatokana na sababu kwamba wahitimu wengine wanamaliza chuoni pengine hata bila kujua ni sehemu gani wanaweza omba nafasi za kazi ambazo marachache chache zinaweza...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Uchunguzi; Tatizo la walioajiriwa ni utegemezi; usimpe pesa mtu ambaye hajaitolea jasho

    UCHUNGUZI; TATIZO LA WALIOAJIRIWA NI UTEGEMEZI. USIMPE PESA MTU AMBAYE HAJAITOLEA JASHO Anaandika, Robert Heriel. Tatizo sio kuajiriwa, tatizo ni wategemezi, tatizo ni extended Family. Tofauti ya mtu aliyejiajiri na aliyeajiriwa IPO kwenye utegemezi. Waliojiajiriwa hawategemewi Sana...
  5. William Mshumbusi

    Mwigulu Akiendelea kuwa waziri Basi ndie Rais ajae tutake tusitake. Atakuwa na timu Bora na zaidi ya Tillion 2 kibindoni

    Wanaomchukulia Mwigulu kirahisi rahisi wanakosea Sana. Siwezi zungumzia uadilifu wake lkn najua anavyojua kusaka pesa akiwa kwenye mamlaka. Alipokuwa naibu tu Wizara ya fedha kwa miaka 2 tu aliunda pesa za kutosha. Mwaka 2015 Akaanza kampeni za uraisi kirahisi Sana. Akalipia matangazo ya redio...
  6. Gordian Anduru

    Mtu huyu alitunga post ya uongo kuipaisha Simba yake

    Aibu kwa mtu anaitwa platinum member eti sasa rasmi Simba haitaanzia preliminary Na Jamaa lingine akapost Matokeo yake tukaanzia preliminary Ma mods wa jf tusaidieni hizi post zisizoluwa na source
  7. Samia atosha tukutane2030

    Mbeya: Viongozi wa dini waongoza maombi ili kuzuia ajali Inyala

    Hi gentlemen and ladies! Hapo chini kuna video ya viongozi wa dini waliokusanywa na viongozi wa serikali kwenda kukemea ajali huko Inyala Mbeya. Hapo serikali ambayo inakusanya kodi ilipaswa kupanua barabara, kuondoa vichocheo vya ajali na kuweka alama muhimu za barabarani. Ina maana wataalamu...
  8. Webabu

    Urusi ikishindwa, China ijitayarishe na Marekani hatamtawala mtu

    Kasi ya kusambaratika jeshi na nguvu ya Urusi ni kubwa kiasi kwamba natabiri hatoweza kuidhibiti Ukraine ijapokuwa tayari ameikamata pazuri. Hapo sioni yeyote kuwa ni shujaa katika kuleta hali hii. Si kwamba Zelensky ni shujaa wa vita wala si kwamba HIMARS ndio zimeleta mabadiliko hayo. Na wala...
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je, jini mahaba, wachawi na popobawa wanaweza kubikiri na kumpa mtu mimba?

    Tukiachana na tereza wa kule Kigoma ambao ni wanaume ambao walikuwa wakitembea uchi usiku huku mwili mzima wakiwa wamejimiminia mafuta ya mawese kisha kwenda kwenye majumba ya watu, kuvunja milango na kisha kuwaingilia wanawake kimwili, ambapo mwanamke akishtuka hutoka mbio na hawakamatiki...
  10. B

    Kwanini ni vigumu sana kukutana na mtu mtakaependana kwa kiwango sawa?

    Ewe msoma mada jiulize wewe mwenyewe nafsini kwako, huyo mpenzi ulie nae unampenda kweli? (Ni dream partner wako tangu siku ya kwanza ulivomuona), au upo nae ili muda uende, nahis kwenye mahusiano watu wengi wameamua kuridhika na wenza walio nao, ila kiuhalisia tangu mwanzo hawakufurahia uwepo...
  11. Suzy Elias

    Chongolo: CCM ni kubwa kuliko mtu mmoja

    CCM ni kubwa kuliko mtu. Wapo watu wanatengeza safu za watu dhaifu ili waje kuwasaidia huko mbele ya safari. CCM si ya watu dhaifu bali chagueni watu wenye weredi na wachapakazi ili wakijenge chama chetu. Chongolo.
  12. Lady Whistledown

    Tahadhari ya Baa la njaa duniani yatolewa, mtu mmoja hufariki kila baada ya Sekunde 4

    Katika barua ya wazi kwa viongozi wanaokutana katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Jijini NewYork, Mashirika 238 kutoka Nchi 75, yakiwemo #Oxfam, #SaveTheChildren na #PlanInternational yameelezea hali ya wasiwasi ongezeko la viwango vya njaa Barua hiyo imebainisha kuwa Mtu mmoja...
  13. Google Diggers

    Nimeachana naye, najisikia faraja sana

    Huyu mwanadamu ni nyoka. Alinipendaga sana. Tukatoka sana tulibary Sana na kula bata na kudingana, mwenzie mie nikizama na yeye alioza. Wkt yeye akielezea Siri za ndani za Mr wake nikamuon hee huyu vipi ....? Mumewe ni ugonjwa na hali ya uchumi ya familia na kwakweli sikupendezewa na tabia...
  14. Suzy Elias

    Daniel Chongolo ni mtu muungwana na asiye mjivuni

    Ndiye Katibu Mkuu wa CCM asiyejivuna na ni mtu muungwana sana! Daniel ni moja ya vijana waliokuzwa na kulelewa na CCM na kuiva hasa. Ucha Mungu wake pia ni ushahidi tosha Daniel anaiishi misingi ya kiimani. Namna anavyozungumza na kujali hakika unaweza kuona wazi huyo bwana si mtu aliye na...
  15. MOONFISH

    Kwanini pale mtu anapofariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa?

    Habari wakuu natumaini ni wazima wa afya kabisa. Swali langu kubwa ni kuwa hivi kwanini pale mtu anapo fariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa. Mfano kama mimi kuna mzazi wangu mmoja ali tangulia ila hata kabla hawaja mzikaa wakakusanya nguo zake zote na kuzikunja na kuzipack yani...
  16. 42774277

    Mwanaume aghairi Harusi baada ya mchumba wake kukataa kumtaja mtu aliyempa Iphone 13 Pro Max

    Ni huko kwa wanaijeria. Walikuwa tayari wameshaengage na kilichokuwa kinasubiriwa ikawa ni Wedding. Mwanamke alirudi na Iphone 13 Pro Max na alipoulizwa kwamba nani kamnunulia simu hiyo ya Gharama akadali ni Family member. Alipoulizwa huyo Family member ni nani akagoma kudisclose Identity...
  17. L

    Hakuna mtu mwenye kujitambua na mwenye Akili Timamu anayeweza kuishabikia au kuiunga mkono CHADEMA kwa Sasa

    Ndugu zangu huo ndio ukweli japo Ni mchungu lakini ndio uhalisia wenyewe wa mambo, kwa Sasa hakuna mtu mwenye Akili Timamu na anayejiheshimu anayeweza akaanza kuiunga mkono Chadema Kwa Sasa Ni chama kilichokosa dira na muelekeo, Ni chama kilichokosa uongozi wenye kufanya maamuzi ya mwisho na...
  18. AbuuMaryam

    Ni nani aliyefanya research iliyoleta maamuzi kuwa mtoto anakuwa mtu mzima akiwa na miaka 18?

    Hili swali najiuliza sana...? Ni nani anayemjua mwanadamu kiasi kwamba akatuamulia dunia nzima tukasema.... Mtu ataendelea kuwa ni mtoto mpaka afikishe umri wa miaka 18. Kiasi kwamba ile sheria ya ndoa inaruhusu mtu mwenye umri wa miaka 15 na kuendelea anaweza kufunga ndoa...hawa wanaharakati...
  19. S

    Hatujaona mtu akizimia Uingereza, kwenye msiba wa fulani hapa Tanzania kulikuwa na FUTUHI ya watu kuzimia

    Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno. ...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera. ...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki. ...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia...
  20. Suzy Elias

    Huyu mtu ni nani hasa katika siasa za Tanzania?

    Huyu mtu mbona Mamlaka za nchi hii zinazo heshima kubwa kwake? Yupo bungeni leo lakini unaweza kuona mara zote hukaa kwenye viti vya watu mashuhuli kabisa! Ni nani huyu mtu kwenye siasa za Tanzania?! Ana nguvu gani mtu huyu kwenye siasa zetu hapa Tanzania?!
Back
Top Bottom