Ukweli halisi ni kwamba Kila mtu anaiona dunia kwa namna yake,kulingana na akili yake, ama katika kuwaza jinsi maisha yanafananaje kinamna ya yeye !
Nikiwa katika hali ya utulivu mwingi, ndani ya ulimwengu wangu wa kufikiri...
Nilijikuta nikianza kutathmini kwa namna ambavyo binadam wote...