mtanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Peasant educator

    JamiiForums Tanzania Unataka mtanzania awe mzalendo waikato anashuhudia uvunjifu wa katiba hadharani

    Habari, Nimekuwa nikitoa tahadhari ya kuja kuwa na mtafaruku ndani ya nchi na ikiwezekana vita vya ndani. Kwa sasa kumetamalaki kwa uvunjivu wa katiba yet hasahasa kwa viongozi wetu wa juu pamoja na wakuu wa nchi akiwemo SPIKA wa bunge na hata RAISI mwenyewe. Hao viongozi wengine ndo hawasemeki...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania MTANZANIA aibuka kwenye Video ya Ampiano inayotrend Dunia kwa sasa

    MTANZANIA AIBUKA KWENYE VIDEO INAYOTREND DUNIANI Kuna Video inayotrend kwa sasa Duniani Inayowaonyesha Vijana watatu waliovalia Taulo nyeupe Wakivuka barabara huku walicheza huko Washington DC, Marekani. Moja ya Vijana hao imeripotiwa kuwa ni MTANZANIA, ambaye ni wamwisho kwa Vijana...
  3. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Mtanzania hahitaji Visa kuingia katika nchi hizi

    VISA FREE DESTINATIONS FOR A TANZANIAN 5 February 2016 Sakina Shabbir Manji Most countries require a Visa with your Tanzanian passport in order to enter. However there are some visa free countries that will allow you to enter their premises without a visa or will provide you with one as soon as...
  4. Influenza

    JamiiForums Tanzania Azzan Zungu ataka uwepo wa kodi ya uzalendo itakayokatwa kwenye Mitandao ya simu kwa kila Mtanzania

    Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali. Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540...
  5. BAK

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

    Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China). ______ Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au...
  6. Replica

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Vijana wa Tanzania hawaaminiki, wakiachiwa biashara bila kuiba wanajiona wajinga

    Wakati Waziri Mkuu akiahirisha Bunge baada ya hotuba ya Waziri Mkuu, Spika Ndugai ameongelea suala la uaminifu wa watanzania hasa kwa vijana na kudai wawekezaji wengi wamekuwa wakilalamika. Ndugai amesema mtu anaeanzisha mradi atajikuta tu amefilisika asipokuwa makini. '' Mtu akianzisha labda...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee: Deni la Taifa limefika Tsh. 71 trillion, maana yake kila mtanzania anadaiwa Tsh. 1 million na ushee

    Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia Tsh. 71 trillion. Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points. Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo. Ngoja...
  8. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Kama Mtanzania namshauri Spika Ndugai kuwa huu si muda wa vijembe na utani kwa kina Mbowe. Tujibu hoja chafu za awamu iliyopita

    Nimemsikia Spika wetu akibeza baadhi ya viongozi wa Upinzani na wengineo kuwa hawakufanya lolote wakiwa wabunge akiwemo Mh. Mbowe na wengine. Ati Hai sasa ndo imepata Mbunge wa kuisemea! Nimejiuliza mengi kama Mtanzania kuwa tunataka kujenga nchi ya aina gani? Tutaendelea kuudanganya Ulimwengu...
  9. wazanaki

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kinachoweza kumkasirisha Mtanzania?

    Wakuu turejee, Tunajua kua Watanzania ni watu wapenda amani na ni watu wenye roho nzuri wa kutokupenda makuu. Hata uhuru wetu tulipata kwa njia ya amani. Hatuna historia ya kua wakorofi. Tanzanians behaviour as a culture is totally all about humble and peace. Tofauti na nchi jirani ambapo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Rais John Magufuli ndiye sampuli ya Mtanzania mwenye maadili mema

    KOMREDI JOHN MAGUFULI, NDIYE SAMPULI YA MTANZANIA MWENYE MAADILI MEMA Leo 15:15pm,15/09/2019. Komredi Rais John Magufuli ndiye muungwana na mstaarabu anayefuata mambo mema yaliyokubaliwa katika jamii, naamini ndiye Kiongozi mwenye kuita koleo ni koleo na kijiko ni kijiko, ndiye mwenye...
  11. Display Name

    JamiiForums Tanzania Hadhara Charles Mjeje: Mwanamke Mtanzania aliyesifiwa na Donald Trump kwa umahiri wa kuchezea mpira

    ==== (CNN) — Tanzania rarely features in discussions of Africa's soccer hotspots. But that perception might be changing thanks to the skills of soccer freestyle queen Hadhara Charles, which are winning plaudits from celebrities across the world including US President Donald Trump. A viral...
  12. tatum

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Mataifa Mazingira

    Hongera sana Ms Joyce Msuya kwa nafasi hiyo ya Deputy Executive Director of UN Environment. Naona Watanzania sasa wanakamata nafasi za kimataifa tena wakina mama hongereni sana. ====== New York, 21 May 2018 – United Nations Secretary-General António Guterres today announced the appointment of...
  13. BAK

    JamiiForums Tanzania Chiku Mkalu Ali: 'Mtanzania' Diwani Jimbo la Berjen Norway

    Chiku Mkalu Ali: 'Mtanzania' Diwani Jimbo la Berjen Norway *Alikwenda kwa shughuli za sanaa, hakurudi akaolewa huko huko *Bado anaenzi nyumbani, amejenga shule ya msingi kwao Singida Na Rashid kejo Mwananchi MARA baada ya Richa Adhia kutangazwa kuwa Mrembo wa Tanzania mwaka huu, mengi...
Back
Top Bottom