johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,440
Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia Tsh. 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!